Mke wangu huwa anarudi usiku sana, nifanyaje?

Mke wangu huwa anarudi usiku sana, nifanyaje?

Akitoka ananiacha na watoto na mfanyakazi wa ndani, Naakirudi nashindwa kumkemea, sana sana naishiakumpa pole na pilika. Hauwezi kunishauri kitu nikakuelewa namuelewa sana.

Juzi wakati natoa mpira wa mtoto uvunguni mwa kitanda nikakuta kichwa cha bata kimefunga mdomo na kufuli sijui nini na nilipomuuliza akanambia hizo kacha tu za kimasai je nikweli au ndio nimefungwa mdomo eti wakongwe misumari hii ni kitu gani

View attachment 2080915

View attachment 2080920
Acha hadithi za kutunga makufuli haya sasa hivi hayapo kwenye soko
 
Kama wewe ndiwe ulianza nyendo za mashaka na kukosa uaminifu akafuata yeye basi stahamili!

Alolala usimwamshe!
 
Mke wangu amekeketwa hajisiakigi nyege kabisa kwa hilo sidhani
Ok kumbeee wa hivyo huwa viwembe balaaa kwa sababu anataka kuipata ile ladha haipati badala yake ataitafuta kwa kila me ili aifeel
 
Akiwa anarudi iyo mida ..wee mpe pole halafu mpelekee motoo ..Yani wewe peleka Moto tu ..wewe mpelekee Moto tu ..
 
Back
Top Bottom