Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbili uliziacha wapi???Ilikua moja mkuu dah!
Oya masela ee. Kuna kibinti kinatutukana huku. Nikipe onyo ama nikianzishie kipondo ama vyote kwa pamoja. Nasubiri jibu jamaniHayo madude mnavyoyarukaga maili 100 aisee.
Na ukute ndo yanawafanya muwepo hai mpaka leo kenge nyie.
Vita ya tatu ya dunia hiyo sasa. Hayo majibu tutatoa tu pale watakapoleta bunduki ya ak 59Unatudanganya kitoto sana.....
Kwani ukisema uliingiza goma ukapiga tutakuua????
Mkuu asante kwa kunichekesha.Oya masela ee. Kuna kibinti kinatutukana huku. Nikipe onyo ama nikianzishie kipondo ama vyote kwa pamoja. Nasubiri jibu jamani
ha haaaaa.....Ilikua moja mkuu dah!
Daaaa we jamaa ni nykoooo😂😂😂😂Zilikatika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Condom tu unaogopa hivyo ungekutwa na ky je??
Ninyi ndio wezi wa dawa na vitendea tiba vya kazini!Kama ilivyo jieleza hapo juu mimi ni mtumishi wa afya katika zahanati fulani, mwezi uliopita mkewangu alienda kwao kutokana na matatizo fulani na mimi nilikuwa ndio naanza likizo.
Kun
Kama ilivyo jieleza hapo juu mimi ni mtumishi wa afya katika zahanati fulani, mwezi uliopita mkewangu alienda kwao kutokana na matatizo fulani na mimi nilikuwa ndio naanza likizo.
Kunasiku jamaa mmoja aliniomba tu nimchukulie Condom atazipitia maana ilikuwa ni mda wa kufunga zahanati, baada ya hapo jamaa hakupita na mimi nikwa nimejisahau kama kuna Condom.
Likizo ilianza nikaondoka huku mke wangu akijiandaa kurudi, si akarudi hiyo leo ile anaingia ndani sianakutana na Condom bhana, dah akanipigia sim nimeshindwa hata nimjibu nini hapa maana hato niamini hata nikimwambia ukweli [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]