Mke wangu kakuta condom ndani

Mke wangu kakuta condom ndani

Oya masela ee. Kuna kibinti kinatutukana huku. Nikipe onyo ama nikianzishie kipondo ama vyote kwa pamoja. Nasubiri jibu jamani
Mkuu asante kwa kunichekesha.

Acha nitoke nduki japokuwa hawanaga shida na mimi.

🙊🙊🙊🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️
 
Kama ilivyo jieleza hapo juu mimi ni mtumishi wa afya katika zahanati fulani, mwezi uliopita mkewangu alienda kwao kutokana na matatizo fulani na mimi nilikuwa ndio naanza likizo.

Kun
Ninyi ndio wezi wa dawa na vitendea tiba vya kazini!
 
Kama ilivyo jieleza hapo juu mimi ni mtumishi wa afya katika zahanati fulani, mwezi uliopita mkewangu alienda kwao kutokana na matatizo fulani na mimi nilikuwa ndio naanza likizo.

Kunasiku jamaa mmoja aliniomba tu nimchukulie Condom atazipitia maana ilikuwa ni mda wa kufunga zahanati, baada ya hapo jamaa hakupita na mimi nikwa nimejisahau kama kuna Condom.

Likizo ilianza nikaondoka huku mke wangu akijiandaa kurudi, si akarudi hiyo leo ile anaingia ndani sianakutana na Condom bhana, dah akanipigia sim nimeshindwa hata nimjibu nini hapa maana hato niamini hata nikimwambia ukweli [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kila mtu anachopanda huwa anavuna msimu wake ukifika
 
Kwanza kama zingekuwa ni zako kwa mwwnamke mwenye akili anakuona ww ni mume mzuri mana unajali afya yako na yake pia safi iyo nzuri ww mchane tuu basi ishu ndogo sana iyo
 
Kakuta zimetumika au hazijatumika!?? Kama hazijatumika hakuna kesi hapo utamwambia nimechukua za majaribio..
 
Back
Top Bottom