Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Hivi no jitu au dude
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa kashaanza kuwarukia[emoji1]Dah. Namuonea huruma sana mtoa mada... Jamaa huwa linashinda kifua wazi, na wanaangalia muvi na shemela hadi usiku mnene (kifua wazi). Ninachoogopa ni kuwa atawarukia wote...
Hahahahahahaaaaaaa haya maneno yasijemsababisha jamaa kuchukua maamuzi magumu????? Tulisahau kumuuliza uenyeji wake, kama Iringa sitaki ushahidi....Atakuwa kashaanza kuwarukia[emoji1]
Ha ha ha haweziHahahahahahaaaaaaa haya maneno yasijemsababisha jamaa kuchukua maamuzi magumu????? Tulisahau kumuuliza uenyeji wake, kama Iringa sitaki ushahidi....
Wataalamu wa mambo hayo wanaita 'Mkubwa na mwanawe'Atakuwa kashaanza kuwarukia[emoji1]
Ukiwa boya nani atajali kuwa wewe ndo mwenye nyumba. Hata mkeo atakupuuza tu na atatoka na hilo jitu.Si binamu yako, mwache tu akusaidie kula mkeo kuliko kwenda kuliwa na watu baki.
Hivi wewe mwanaume rijali kabisaaa, anakuja mgeni wa kiume kwako, anajifanya yeye ndo mtawala wa nyumba, anatembea na vichupi ndani ya nyumba yako, anatoa mkeo out alafu wewe umetulia tu kisha unakuja hapa kulalamika, wewe unaakili kweli. Kwambi mimi ndo mkuu wa nyumba, hata akija baba yangu kwangu anatakiwa awe chini yangu na afanye nitakacho mimi.