Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Mwanaume wa mkoani akienda kwa ndugu yake na kama ana kifua kikubwa kubali kuitwa lijitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kimbaumbau kuliko kitambi aseeNasubiri mrejesho hapa jamvini. Lakini wanawake mna mateso kiaina sasa kweli uko busy na lijitu wakati mwenzi wako kimbaumbau si ni kumuharibu kisaikolojia.
Teh Wee prince wewe kwahiyo Lijitu ni la mkoani sio??Mwanaume wa mkoani akienda kwa ndugu yake na kama ana kifua kikubwa kubali kuitwa lijitu
OyeeeeeeeWanaume wa mikoani oyeeeee!!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Mtihani na Hilo jitu...lol
Mikoani ndo kunaongoza kutoa aina ya lijitu kama ilo analolilalamikia jamaa hapo[emoji1] [emoji1]Teh Wee prince wewe kwahiyo Lijitu ni la mkoani sio??
Linakula linashiba haswa??
Halina muda wa kujipodoa sio?? Ama Sijakuelewa!!???[emoji15] [emoji15]
Cc Smart911
Mhhhhhhhh ningekuwa mimi namfukuza tu maana ni nyumbani kwangu mfukuze au kama unahera kiasi furani kinachoweza kuwasafilisha kwenda sehemu yoyote ambayo mnaweza kupanga chumba hata siku tatu mnamuambia tu kwamba sisi tunasafiri kama linawafuata fanya lolote lile mmtoloke mfunge ndani
Kwakweli, hadi anamuita binamu yake 'lijitu'.Mate Kitambi sioooo[emoji23]
Sasa mgeni kaja lakini ww unajifanya bosi... Hutaki kuwa karibu nae.. Unaenda bonanza kwanini usiende nae.???hapo kusema lijitu nitayari unaonyesha unatabia zakibinafsi nakujisikia kujiona ww mbora kuliko wengine... Ndugu yako unamwita lijitu... Usikute jamaa hata hana Habari nahayo mambo na anawaheshim watu wote humo ndani... Kuvaa Box sijui kufua wengine huwa wanachukulia Lawanda kabisa.. Kuna rafiki yangu huwa naenda nyumbani kwake kumona Mamake akija kutoka mkoa namkuta kakaa namamake mzazi mshikaji akiwa na Box pekeyake... Lakini mm siwezi kabisa ..so binadam tunatofautina. Acha kumchukia ndugu yako..Waheshimiwa nina mgeni ambae sasa anaelekea kumaliza wiki akiwa hapa kwangu, ni binamu yangu huwa anaishi mkoani amekuja kwa shughuli zake binafsi, ataondoka atapokamilisha yaliyomleta.
Nimewaandikia kwa sababu, huyu jamaa amenishangaza sana, imagine weekend hii iliyokwisha anashinda na boxer kutwa nzima tena kifua wazi, au kwasababu amevimba kifua anataka tumwone au?
Mke wangu na house girl wanafua nguo Jumamosi asubuhi eti anaenda pale awasaidie kufua, natoka ndani namuuliza wife mbona mgeni anafua nguo, najibiwa kuwa eti ameomba mwenyewe, hii ni sawa kweli?
Yote tisa, kumi ni Jana, inafikia hatua linamkuta wife jikoni anasonga ugali linaomba limsaidie kusonga ugali, mgeni gani wa namna hii?
Wadau nitumie njia gani kulitimua hili jitu hapo nyumbani? Kabla halijaleta madhara maana mdogo wa mke wangu naona kama yuko nalo karibu sana, pia wife kaniuliza kama mimi pia naweza kufanya mazoezi nikawa kama hilo jitu badala ya kitambi, ingawa alinieleza kwa utani huku tukifurahi na kutaniana ila najiuliza kwanini aseme sasa wakati hili jitu lipo?
Linakaa hapo sebuleni kwenye video hadi usiku mwingi likiwa na mdogo wa mke wangu bila kujali maadili.
Jumapili nilienda kwenye Bonanza la timu yetu ya veterans narudi nimekuta nyumba nzima hawapo wameenda beach wote pamoja na huyu jamaa.
Hivi unaendaje ugenini halafu unaanza kuleta ujuaji wa namna hii?
Wadau msaada wa mawazo unatakiwa haraka.
Na hapo ndio tatizo lilipo!hahaha majitu ya namna hiyo yako mengi sana,
sifa yao ya kwanza huwa hayachukii.