Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Ila mie naye sijui nikoje tu, yaani badala ya nikupe ushauri nimejikuta cheko zimenibana sijui kwanini, hahahahahahahahahah
 
..MKUU POLE SANA, JIKAZE KISABUNI. MI NACHOONA HAPO BINAMU KESHAFANYA YAKE, NA USIPOANGALIA ATAKAA HATA MWAKA
 
Nasubiri mrejesho hapa jamvini. Lakini wanawake mna mateso kiaina sasa kweli uko busy na lijitu wakati mwenzi wako kimbaumbau si ni kumuharibu kisaikolojia.
Bora kimbaumbau kuliko kitambi asee
Mkuu ujue mume mtu ni kitambi meneja tofauti na Lijitu

Cc Smart911
 
[emoji1] kwanini bora kimbaumbau...
Hahahaah niliexpect this question..

Unaeza kuta kimbaumbau ila ana msuliii tofauti na manyamanyama

Though Inategemea na kaziii a.k.a muziikiii wa muhusika regardless kitambi ama mbau mbau

Cc Smart911
 
Teh Wee prince wewe kwahiyo Lijitu ni la mkoani sio??
Linakula linashiba haswa??
Halina muda wa kujipodoa sio?? Ama Sijakuelewa!!???[emoji15] [emoji15]

Cc Smart911
Mikoani ndo kunaongoza kutoa aina ya lijitu kama ilo analolilalamikia jamaa hapo[emoji1] [emoji1]
 


Yan wew nae walewale ... Ukimbie nyumba yako ukaishi ka mkimbizi kwenye nyumba za kupanga kisa mtu mmoja.... Akina James Delicious ni wadogo zako nn...
 
kumbe una kitambi mimi ngoja nipite tu maana utakuwa mwanaume wa dar
 
Pole sana aisee, kuna mijitu inaboa.
Leo liite liulize linaondoka lini? Uliambie unalipa siku tatu liwe limemaliza shughuli zake lirudi lilikotoka.
Mzaha mzaha....
 
Sasa mgeni kaja lakini ww unajifanya bosi... Hutaki kuwa karibu nae.. Unaenda bonanza kwanini usiende nae.???hapo kusema lijitu nitayari unaonyesha unatabia zakibinafsi nakujisikia kujiona ww mbora kuliko wengine... Ndugu yako unamwita lijitu... Usikute jamaa hata hana Habari nahayo mambo na anawaheshim watu wote humo ndani... Kuvaa Box sijui kufua wengine huwa wanachukulia Lawanda kabisa.. Kuna rafiki yangu huwa naenda nyumbani kwake kumona Mamake akija kutoka mkoa namkuta kakaa namamake mzazi mshikaji akiwa na Box pekeyake... Lakini mm siwezi kabisa ..so binadam tunatofautina. Acha kumchukia ndugu yako..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…