Mke wangu kamuambia mchepuko wake hajaolewa

Mke wangu kamuambia mchepuko wake hajaolewa

IMG_5257.jpg
 
Kosa ambalo halisameheki ni kusaliti tu usirudie kosa kuendelea nae ukifanya makosa hayo utapigiwa mpaka basi ukiona mpaka umejua jua amefanya makusudi ujue kesha kuchoka hakuna shetan katika kucheat ni maamuz yake tu

Alivuliwa chupi wakati hayupo na mimi. Once anapokuwa na mimi , aliyoyafanya kipindi cha nyuma hayanihusu

Ishu ni avue chupi pale alipoanza kuwa na mimi
Hakuna msamaha wa mwanamke wa hivi.
Ambao ni self indulgence wanaua kabisa wakawake wa hivo….

Yaani hata kutoa nafasi ya kumsikiliza ni kupoteza muda

Mimi huwa sina muda wa kuchunguza a woman unless she gives reasons to do so .

Tambua nyumba na familia ni mwanamke, sio mwanamme kama inavodhaniwa. So mwanamke akishaanza kutoa nyama nje you are no longer safe Comrade.

Kuanzia watoto zako na usalama wa nyumbani kwako na usalama wako pia.
Ni sawa upo uchi na unachuma mchicha mbele ya wanaume wenzio

Be smart, kuna vitu unatakiwa straightforward kuachana Navo.

Biblia inasema mwanamke mpumbavu anaharibu ndoa/ nyumba yake
, why not mwanaume mpumbavu?

Mwanamke ndio nguzo na usalama wa nyumba , a man is just a provider wa matumizi

, sina muda wa kumchunguza a woman ila akifikia hatua ya kunipa doubts by any means ………. That is straight away
 
Samahani natoka nje ya Mada
Mimi kinacho nifurahisha-ga jamii forum kila mtu anachumba cha Wageni na Muda wote kipo wazi akikorofishana tu na Mpenzi wake mmoja anahamia chumba cha Wageni.!

Kawaida we muha acha ushamba wa mwijaku
 
Usimuache mrudishe kwao kwanza akapigwe na vumbi. Anakujibu ukipokea simu tuachane muache. Mpuuzi sana. Qmmke yake.

Jamaa sio man enough ; kwanza mwanamke hapigwi; torture her emotionally

Mimi the same day ningemwambia call him hapa nyumbani, na jamaa anakuja. The same time naita ndugu wa mwanamke na the same day jamaa anaondoka na huyo mwanamke wangu wakaishi pamoja walane vema

Timua the same day
 
Jamaa sio man enough ; kwanza mwanamke hapigwi; torture her emotionally

Mimi the same day ningemwambia call him hapa nyumbani, na jamaa anakuja. The same time naita ndugu wa mwanamke na the same day jamaa anaondoka na huyo mwanamke wangu wakaishi pamoja walane vema

Timua the same day

kibabe sana
 
Jamaa sio man enough ; kwanza mwanamke hapigwi; torture her emotionally

Mimi the same day ningemwambia call him hapa nyumbani, na jamaa anakuja. The same time naita ndugu wa mwanamke na the same day jamaa anaondoka na huyo mwanamke wangu wakaishi pamoja walane vema

Timua the same day
Haitatimia hii Adhma yako. Huyo mwanaume sio mjinga yeye ajilete kwenye moto
 

Anatha dei tu bi alaivu anatha stori katika pita pita zetu tumshauri.​

Nina mwanamke ambae ni mke wangu wa ndoa naishi nae mwaka wa tano huu, sasa bhana usiku wa kuamkia leo yani jumapili kuamkia jumatatu ya krismass, baada ya kumaliza kula tukawa tunaangalia movie sasa mida ya saa tano akapigiwa sm kucheki jina Matty, nikamuuliza nani huyo anakupigia sm mda huu akajibu achana nae, dah sikuridhika nikamwambia pokea sm akakataa, sm ikakata akapiga tena mimi nikaichukua ile sm ile nataka kupokea, akaniambia kuliko upokee hio sm ni bora tuachane asee daah nilihisi kama nimepigwa shoti sikuamini nlichokiskia, sema nikasema hapa ndo kwenyewe, nikaipokea ile sm, sauti ya kiume, Mazungumzo;Hallo, hallow..Mimi; Mambo vipi..Matty; Poa inakuajeMimi; Fresh mbona sm usiku usiku kwa mke wangu shida nini? Matty; Mke wakoo??? Mimi; daah moyo ukapasuka paah.. kwa hilo swali lake yani ni kama amekua suprised, nikamjibu ndio mke wangu .Matty; Pole sana mimi huyo mwanamke ameshaniambiaga hana mume aliolewa ila ameachana na mume wako mda mrefu sana wamebaki kama wazazi tuu ndio maana unaona napiga sm mpka mda huu nikiamini hana mtu sasa nimeshangaa kuskia ni mke wa mtu.Mimi; Daah kwa hio sasa hivi uko nae kwenye mahusiano yani unamahusiano nae? Matty; Hilo swali muulize yeye.Mimi; daah,, sawa kaka nashukururu usiku mwema.Matty ; Asante na kwako pia.Nikamrudia wife nikamuuliza kwa upole tuu mke wangu ni nini hiki kilichotokea ni nini kinachoendelea mbona sielewi?Akajibu si nilikwambiaga huyo ni rafiki yangu tuu manake kuna kipindi niliwahi kumuuliza baada ya kuona kama wanasliana sana na huyo jamaa, badae sikuona tena nakuja kuona ndo hilo tukio sasa. dah baada ya kujibu hivo nilimlamba bonge ya kibao akaondoka kwenda kulala, na akaenda kulala chumba cha wageni na kajifungia dah, Nilikaa pale sebuleni mpkaa saa kumi usiku sina uaingizi nawaza imekuaje mbona hakuwahi kunioneshea hizi tabia kwamwe? kwa nini amekua jeuri? Nilichukua ile namba ya jamaa nikampigia tena ndipo jamaa akanambia ukweli kuwa wako kwenye mahusiano, dah bro mpka asubuhi sijalala yan nimepigwa na butwaa sielewi nifanye nini hapa; Ninachowaza sasa ivi ni kuachana na huyu mwanamke siwezi kuendelea kuishi nae tena, nahisi nitakua niko sahihi..

cc😛rospernow/twitter
Pole sana
 
Back
Top Bottom