Mke wangu kaniambia nimwandikie kurasa ishirini za sababu kwanini mpaka sasa nimeshindwa kununua gari

Mke wangu kaniambia nimwandikie kurasa ishirini za sababu kwanini mpaka sasa nimeshindwa kununua gari

😀😀

Mkuu hii ni Njia ya HEKIMA kweli. Mimi nataka mambo yakae Sawa sio kuchochea huu mgogoro
Mwanamke akianza kupata ujasiri wa kuropoka, jua kumeanza kupambazuka
Suruhu ya kweli siioni hadi wanaomlisha maneno wapotee kweny uso wa dunia

Mwanamke hulishwa maneno hasa yule asie na asili ya kuropoka
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Mtafaruku ni Mkubwa. Huu mwaka naona unaisha vibaya Mno. Kama sitakuwa macho nyumba yangu inaweza kuvunjika.

Sorry nianze kwa Salamu maana Leo mtanifaa Sana kwa ushauri Bora.

Assalam alyekum kwa Waislam,
Tumsifu Yesu Kristo kwa Waislam.
Wapagani, salama!!

Nimeoa Miaka tisa iliyopita. Nimejaliwa watoto wawili sasa.
Juzi familia yangu ilipata mualiko kwenda kwenye sherehe ya harusi ambayo ukumbi ulikuwa kwenye Moja ya visiwa vilivyoko bahari ya Hindi karibu na Jiji la Dar.

Basi huko mambo yalienda vizuri kwa upande wangu lakini nilishangaa kuona mke wangu Akiwa Hana furaha.
Sikumzingatia Sana ili asijeiharibu furaha yangu nikiwa nimepanga kumuuliza tukiwa tumerudi nyumbani.

Kufika nyumba, mwanamke amevuta mdomo kama kang'atwa na Nyigu. Kulikoni Mke wangu. Ndipo akaanza kushusha risala ndefu yenye shutuma, lawama na kejeli.

Nilinangwa!

Nilikaangwa!

Oooh! Miaka yote tisa tunapanda Daladala Mpaka tumekariri vituo kama Makonda wa Daladala.

Miaka tisa yote nimevumilia.

Watoto wadogo kina Chief Godlove wamezuka huko wanakupiga bao kama mjingamjinga.

Nikasema kimoyomoyo. toba! Nimekuwa mjinga tena.

Hivi gari la Milioni Saba tuu hata kama ni used umekosa?
Hata kama ni mkwechemkweche gari ni gari.

Alafu unajiita Taikon, taikon gani.
Nitakupeleka kwa Kina Mwamposa wakupe Upako wa Gari.
Nikasema mmmh! Yamefikia huko.

Akaendelea;
Mimi kukupenda usichukulie kama udhaifu wa KUFIKIRI sipendi maisha mazuri. Nataka maisha mazuri Mimi. Nimechoka Baby T kukimbizana na Daladala.

Mambo ya kunukishana mijasho na kubambiwa sitaki.

"Eeeh! Aaa mke wangu Maneno gani tena hayo" nikasema.

Wewe unafikiri mbanano ule wa Daladala nitaachwa kubambiwa na kunukishwa mijasho?
Nikasema, aaaah!

Akaendelea;
Wewe si bingwa wa kuandika mamakala mrefu huko Mitandaoni ambayo hayakuingizii chochote. Alafu unanikeraga Sana.

Sasa niandikie kurasa ishirini za sababu zilizokufanya ushindwe Kununua gari tangu unioe huu mwaka wa Tisa.
Ziwe sababu zilizoshiba.

Akaenda bafuni akiniacha nimetekewa. Alaaah!

Sasa Mimi nitaandika nini jamani!
Yaani hapa kichwa kimefura sijui niandike nini.
Pointi haziji.

Naombeni ushauri. Wenye matusi Leo sitayajibu. Siwezi jibu matusi wakati ndoa yangu IPO taabani .

Leo sipumziki.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Yeye amewezaje kununua wewe hujanunua bado?
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Mtafaruku ni Mkubwa. Huu mwaka naona unaisha vibaya Mno. Kama sitakuwa macho nyumba yangu inaweza kuvunjika.

Sorry nianze kwa Salamu maana Leo mtanifaa Sana kwa ushauri Bora.

Assalam alyekum kwa Waislam,
Tumsifu Yesu Kristo kwa Waislam.
Wapagani, salama!!

Nimeoa Miaka tisa iliyopita. Nimejaliwa watoto wawili sasa.
Juzi familia yangu ilipata mualiko kwenda kwenye sherehe ya harusi ambayo ukumbi ulikuwa kwenye Moja ya visiwa vilivyoko bahari ya Hindi karibu na Jiji la Dar.

Basi huko mambo yalienda vizuri kwa upande wangu lakini nilishangaa kuona mke wangu Akiwa Hana furaha.
Sikumzingatia Sana ili asijeiharibu furaha yangu nikiwa nimepanga kumuuliza tukiwa tumerudi nyumbani.

Kufika nyumba, mwanamke amevuta mdomo kama kang'atwa na Nyigu. Kulikoni Mke wangu. Ndipo akaanza kushusha risala ndefu yenye shutuma, lawama na kejeli.

Nilinangwa!

Nilikaangwa!

Oooh! Miaka yote tisa tunapanda Daladala Mpaka tumekariri vituo kama Makonda wa Daladala.

Miaka tisa yote nimevumilia.

Watoto wadogo kina Chief Godlove wamezuka huko wanakupiga bao kama mjingamjinga.

Nikasema kimoyomoyo. toba! Nimekuwa mjinga tena.

Hivi gari la Milioni Saba tuu hata kama ni used umekosa?
Hata kama ni mkwechemkweche gari ni gari.

Alafu unajiita Taikon, taikon gani.
Nitakupeleka kwa Kina Mwamposa wakupe Upako wa Gari.
Nikasema mmmh! Yamefikia huko.

Akaendelea;
Mimi kukupenda usichukulie kama udhaifu wa KUFIKIRI sipendi maisha mazuri. Nataka maisha mazuri Mimi. Nimechoka Baby T kukimbizana na Daladala.

Mambo ya kunukishana mijasho na kubambiwa sitaki.

"Eeeh! Aaa mke wangu Maneno gani tena hayo" nikasema.

Wewe unafikiri mbanano ule wa Daladala nitaachwa kubambiwa na kunukishwa mijasho?
Nikasema, aaaah!

Akaendelea;
Wewe si bingwa wa kuandika mamakala mrefu huko Mitandaoni ambayo hayakuingizii chochote. Alafu unanikeraga Sana.

Sasa niandikie kurasa ishirini za sababu zilizokufanya ushindwe Kununua gari tangu unioe huu mwaka wa Tisa.
Ziwe sababu zilizoshiba.

Akaenda bafuni akiniacha nimetekewa. Alaaah!

Sasa Mimi nitaandika nini jamani!
Yaani hapa kichwa kimefura sijui niandike nini.
Pointi haziji.

Naombeni ushauri. Wenye matusi Leo sitayajibu. Siwezi jibu matusi wakati ndoa yangu IPO taabani .

Leo sipumziki.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
punguza mda wa kulala ongeza mda wa kupambana...
 
Huyo mwanamke alitakiwa kwanza ampe baba yake, kaka zake, baba zake wadogo na wakubwa na wajomba zake hilo zoezi la kuandika kurasa 20 kwa nini mpaka sasa wameshindwa kununua magari

Mwanamke masikini amlaumu sana baba yake mzazi kwa kushindwa kumtengenezea maisha mpaka anakuja kusumbua vijana ambao bado wanapambana.

Angekuwa anajiweza angenunua gari lake kwa matumizi yake. Kuoa wanawake waliotokea familia masikini ni changamoto sana

Kwa saikolojia ya wanawake huyo mke wa mtibeli atakuwa ameshaanza kutoa mzigo kwa wenye magari
NAKAZIA
 
mkeo huyu huyu shemeji yangu nayemfahmu Mimi ... au mchepuko unaita mke
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Mtafaruku ni Mkubwa. Huu mwaka naona unaisha vibaya Mno. Kama sitakuwa macho nyumba yangu inaweza kuvunjika.

Sorry nianze kwa Salamu maana Leo mtanifaa Sana kwa ushauri Bora.

Assalam alyekum kwa Waislam,
Tumsifu Yesu Kristo kwa Waislam.
Wapagani, salama!!

Nimeoa Miaka tisa iliyopita. Nimejaliwa watoto wawili sasa.
Juzi familia yangu ilipata mualiko kwenda kwenye sherehe ya harusi ambayo ukumbi ulikuwa kwenye Moja ya visiwa vilivyoko bahari ya Hindi karibu na Jiji la Dar.

Basi huko mambo yalienda vizuri kwa upande wangu lakini nilishangaa kuona mke wangu Akiwa Hana furaha.
Sikumzingatia Sana ili asijeiharibu furaha yangu nikiwa nimepanga kumuuliza tukiwa tumerudi nyumbani.

Kufika nyumba, mwanamke amevuta mdomo kama kang'atwa na Nyigu. Kulikoni Mke wangu. Ndipo akaanza kushusha risala ndefu yenye shutuma, lawama na kejeli.

Nilinangwa!

Nilikaangwa!

Oooh! Miaka yote tisa tunapanda Daladala Mpaka tumekariri vituo kama Makonda wa Daladala.

Miaka tisa yote nimevumilia.

Watoto wadogo kina Chief Godlove wamezuka huko wanakupiga bao kama mjingamjinga.

Nikasema kimoyomoyo. toba! Nimekuwa mjinga tena.

Hivi gari la Milioni Saba tuu hata kama ni used umekosa?
Hata kama ni mkwechemkweche gari ni gari.

Alafu unajiita Taikon, taikon gani.
Nitakupeleka kwa Kina Mwamposa wakupe Upako wa Gari.
Nikasema mmmh! Yamefikia huko.

Akaendelea;
Mimi kukupenda usichukulie kama udhaifu wa KUFIKIRI sipendi maisha mazuri. Nataka maisha mazuri Mimi. Nimechoka Baby T kukimbizana na Daladala.

Mambo ya kunukishana mijasho na kubambiwa sitaki.

"Eeeh! Aaa mke wangu Maneno gani tena hayo" nikasema.

Wewe unafikiri mbanano ule wa Daladala nitaachwa kubambiwa na kunukishwa mijasho?
Nikasema, aaaah!

Akaendelea;
Wewe si bingwa wa kuandika mamakala mrefu huko Mitandaoni ambayo hayakuingizii chochote. Alafu unanikeraga Sana.

Sasa niandikie kurasa ishirini za sababu zilizokufanya ushindwe Kununua gari tangu unioe huu mwaka wa Tisa.
Ziwe sababu zilizoshiba.

Akaenda bafuni akiniacha nimetekewa. Alaaah!

Sasa Mimi nitaandika nini jamani!
Yaani hapa kichwa kimefura sijui niandike nini.
Pointi haziji.

Naombeni ushauri. Wenye matusi Leo sitayajibu. Siwezi jibu matusi wakati ndoa yangu IPO taabani .

Leo sipumziki.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
🤣
 
Ni mstari mmoja tu mkuu ,haihitaji 20 pages.

->Kwasasa sina kitu ,nasikilizia mchongo utikiki ninunue Maybach kama ya Godluv au Range kama ya Lugumi.
 
Back
Top Bottom