kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
- Thread starter
- #21
Za nin?Viagra tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za nin?Viagra tu
Una utoto kwa sababu mbiliHabari za leo wananchi wenzangu wanyonge.
Poleni na msiba wa kiongozi wetu sisi wanyonge.
Ndugu zangu,naombeni ushauri wenu wa mawazo,leo nilikuwa nimekaa na wife tunacheck tv,ikaingia message kwenye simu yangu, wife akaichukua haraka haraka na kuisoma,nikashangaa ameniangalia usoni kisha akanilabua kibao kwenye shavu, akanirushia simu yangu kisha akaingia chumbani, me nikaisoma ile message ilikuwa imetoka kwa mdada mmoja tumezoeana kutaniana, yeye huwa anapenda kunitania kwa kuniita husband nami namuita wife, so nimeshangaa wife wangu hajaniuliza kitu badala yake kanipa kelebu.
Je nifanyaje wakuu?
Anigegede au nimgegede?Nenda chumbani akugegede kabisa, kama umeshindwa kukwepa kibao hata tu kuzuia 😄
yani anazambwa kibao na mwanamke🤣, hapo ukute hata maamuzi ya familia anatoa mwanamkeSema kimeumana [emoji3][emoji3]
Ushauri wako ni nini mkuu?una utoto kwa sababu mbili
1.una mazoea mabaya na mkeo hadi anakulamba kofi tena msimu wa masika !!! na baridi hizi
2.umeoa alafu bado unabebishana na vidada huko nje, huu ni ufala
3.baridi zote hizi unakaa na mkeo mnaangalia Tv, tena itakua mnacheki tamthilia ya mama kimbo😂
Basi una genes za wa darMe sio wa dar mkuu
hahaha😂 nyie ndio wale ambao mwalimu katoa notice za advantages za kitu fulani alafu kwenye test akaleta swali utaje disadvantages na bado mnakosaUshauri wako ni nini mkuu?
Sawa mkuu..umeelewekahahaha😂 nyie ndio wale ambao mwalimu katoa notice za advantages za kitu fulani alafu kwenye test akaleta swali utaje disadvantages na bado mnakosa
ukinisoma hapo nimetoa na ushauri kwamba, u act kama mwanaume hapo nyumbani kwako na uache mazoea ya kitoto na vibinti mtaani maana wewe umeoa
We si unapigwa vibao tu mzee,Anigegede au nimgegede?
Sorry boss Umgegede 😄 mpaka apoteze kumbukumbu za textAnigegede au nimgegede?
Wewe ungekuta meseji kama hiyo kwenye Simu yake ungefanyaje?..Habari za leo wananchi wenzangu wanyonge. Poleni na msiba wa kiongozi wetu sisi wanyonge.
Ndugu zangu,naombeni ushauri wenu wa mawazo. Leo nilikuwa nimekaa na wife tunacheck tv, ikaingia message kwenye simu yangu, wife akaichukua haraka haraka na kuisoma. Nikashangaa ameniangalia usoni kisha akanilabua kibao kwenye shavu, akanirushia simu yangu kisha akaingia chumbani.
Mimi nikaisoma ile message ilikuwa imetoka kwa mdada mmoja tumezoeana kutaniana, yeye huwa anapenda kunitania kwa kuniita husband nami namuita wife, so nimeshangaa wife wangu hajaniuliza kitu badala yake kanipa kelebu.
Je, nifanyaje wakuu?
Habari za leo wananchi wenzangu wanyonge. Poleni na msiba wa kiongozi wetu sisi wanyonge.
Ndugu zangu,naombeni ushauri wenu wa mawazo. Leo nilikuwa nimekaa na wife tunacheck tv, ikaingia message kwenye simu yangu, wife akaichukua haraka haraka na kuisoma. Nikashangaa ameniangalia usoni kisha akanilabua kibao kwenye shavu, akanirushia simu yangu kisha akaingia chumbani.
Mimi nikaisoma ile message ilikuwa imetoka kwa mdada mmoja tumezoeana kutaniana, yeye huwa anapenda kunitania kwa kuniita husband nami namuita wife, so nimeshangaa wife wangu hajaniuliza kitu badala yake kanipa kelebu.
Je, nifanyaje wakuu?
We ni wa Dar sehemu gani?Habari za leo wananchi wenzangu wanyonge. Poleni na msiba wa kiongozi wetu sisi wanyonge.
Ndugu zangu,naombeni ushauri wenu wa mawazo. Leo nilikuwa nimekaa na wife tunacheck tv, ikaingia message kwenye simu yangu, wife akaichukua haraka haraka na kuisoma. Nikashangaa ameniangalia usoni kisha akanilabua kibao kwenye shavu, akanirushia simu yangu kisha akaingia chumbani.
Mimi nikaisoma ile message ilikuwa imetoka kwa mdada mmoja tumezoeana kutaniana, yeye huwa anapenda kunitania kwa kuniita husband nami namuita wife, so nimeshangaa wife wangu hajaniuliza kitu badala yake kanipa kelebu.
Je, nifanyaje wakuu?