Mke wangu kaninasa kibao, nifanyeje?

Mke wangu kaninasa kibao, nifanyeje?

Vipi wewe ungekuta msg kwenye simu ya mkeo kuna muhuni kamuita wife?

Ukiwa na mke lazima uwe na mpaka wa masihara.. Utani utani ndio mtu anapakuliwa kweli, usiruhusu mianya mianya..

Kama kakupiga la kulia mgeuzie la kushoto ili adabu ikukae.
 
Hakikisha kesho unamuachia "KIMBA" kwa kitanda adhabu yake[emoji2211]
 
Over !! Another man down we need air support !! We need air support !! ⛑️⛑️ to save one out from battle field🚑
 
Ata km angenikuta niko juu ya mtu unaanzaje kupigwa kibao af bila aibu unakuja kulalamika huku.
 
Sasa wewe ni mnyonge hata tukikushauri utaweza kweli kufata uahauri wetu. Toa unyonge jivike ujasiri ndo uje kuomba ushauri hapa
 
Alitakiwa akuvunje taya kabisa umezingua na hamna namna ya kujitetea unamkula huyo aliekutumia message na kama hujamla ulikuwa kwenye process za kumla,ninavyojua hakuna utani wa namna hiyo kati ya mwanaume na mwanamke halafu mtu asiliwe labda kama una vi-element vya ulaini flan hivi ndio mtakuwa marafiki.unatakiwa upigwe tena ili kesho ukae chini ufikirie vizur uwe na mbinu za kibaharia za kuweza kuongoza kundi la wanawake unaowagegeda.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kazi kweli kweli pole sana kwa kipigo.
 
Lia



Utani gani wa kipuuzi huo?

Ingekuwa mkeo anataniana hivyo na mwanaume ungeshangilia?
 
Back
Top Bottom