Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deputy Vice Chancellor unatumia maneno magumu sana , ndicho hiki mko mnawafanyia vijana wetu hapo mjini sio? mamamamamaeningefurahi angekutia na dole!
Kinachotakiwa hapa ni kumfuata chumbani uone ana hali gani ,tutakushauri baada ya wewe kuonana na kusikia umechukua jukumu gani kisolve issueHabari za leo wananchi wenzangu wanyonge. Poleni na msiba wa kiongozi wetu sisi wanyonge.
Ndugu zangu,
Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Leo nilikuwa nimekaa na wife tunacheck tv, ikaingia message kwenye simu yangu, wife akaichukua haraka haraka na kuisoma. Nikashangaa ameniangalia usoni kisha akanilabua kibao kwenye shavu, akanirushia simu yangu kisha akaingia chumbani.
Mimi nikaisoma ile message ilikuwa imetoka kwa mdada mmoja tumezoeana kutaniana, yeye huwa anapenda kunitania kwa kuniita husband nami namuita wife, so nimeshangaa wife wangu hajaniuliza kitu badala yake kanipa kelebu.
Je, nifanyaje wakuu?
Mle 0679Habari za leo wananchi wenzangu wanyonge. Poleni na msiba wa kiongozi wetu sisi wanyonge.
Ndugu zangu,
Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Leo nilikuwa nimekaa na wife tunacheck tv, ikaingia message kwenye simu yangu, wife akaichukua haraka haraka na kuisoma. Nikashangaa ameniangalia usoni kisha akanilabua kibao kwenye shavu, akanirushia simu yangu kisha akaingia chumbani.
Mimi nikaisoma ile message ilikuwa imetoka kwa mdada mmoja tumezoeana kutaniana, yeye huwa anapenda kunitania kwa kuniita husband nami namuita wife, so nimeshangaa wife wangu hajaniuliza kitu badala yake kanipa kelebu.
Je, nifanyaje wakuu?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Una utoto kwa sababu mbili
1. Una mazoea mabaya na mkeo hadi anakulamba kofi tena msimu wa masika !!! na baridi hizi
2. Umeoa halafu bado unabebishana na vidada huko nje, huu ni ufala
3. Baridi zote hizi unakaa na mkeo mnaangalia Tv, tena itakua mnacheki tamthilia ya mama Kimbo[emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Subir mpaka akutie na kidole ndio utaelewa
Acha kuchepuka mkuuHabari za leo wananchi wenzangu wanyonge. Poleni na msiba wa kiongozi wetu sisi wanyonge.
Ndugu zangu,
Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Leo nilikuwa nimekaa na wife tunacheck tv, ikaingia message kwenye simu yangu, wife akaichukua haraka haraka na kuisoma. Nikashangaa ameniangalia usoni kisha akanilabua kibao kwenye shavu, akanirushia simu yangu kisha akaingia chumbani.
Mimi nikaisoma ile message ilikuwa imetoka kwa mdada mmoja tumezoeana kutaniana, yeye huwa anapenda kunitania kwa kuniita husband nami namuita wife, so nimeshangaa wife wangu hajaniuliza kitu badala yake kanipa kelebu.
Je, nifanyaje wakuu?
yaani mwanaume mzima unakunja ngumi kumpiga mwanamke!Ningalikuwa Mimi ningalimshika ningalimsogeza Kisha ningalimpa vifuti vinaitwa dunia hadaa walimwengu shujaa! Hivi huwa vinapigwa kwenye shingo! Kisha ningalimpapasa kwa pigo maarufu liniitwalo mtama lkn mtama huu unakuwa ni mtama uliochangamka yani anapaa kimo Cha mbuzi na kabla hajatua chini akiwa juu juu anakula ngumi mbili za chemba ya moyo Kama sehemu ya kumsindikiza ktk safari yake!
Akitua chini ntahakikisha hapumziki hapohapo naweka pigo moja linaitwa "zunguka huko nami nizunguke huku tumfinye mshenzi" hili ni pigo la pua Yani unampiga kichwa Cha pua na ili liwe tamu zaidi pigo hili linafaa umpige huku umefumba macho! Kisha angali yupo ktk kilio punde si punde unampapasa mbavu zake kwa pigo linaitwa Israel yu malangoni pako! Hilo unapiga kwa kutumia magoti huku ukibana pumzi ili kuhakikisha pigo linapata patamu na kwa spidi ya haramu! Hapa lazima atahema kwa kukosa hewa hivyo akipiga zogo unasimika ngumi ya mdomo ili kuubadilisha usiitwe tena mdomo bali mudomomo!
Narudi..
Sichepuki mkuuAcha kuchepuka mkuu
Umefuraahi?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Nicheke mie
Sawa mkuuYuko sawa na hutakiwi kukijibu hicho kibao. Mlaumu huyo mtani wako au hawara yako.
Odhis *
Nenda police kachukue PF3Habari za leo wananchi wenzangu wanyonge. Poleni na msiba wa kiongozi wetu sisi wanyonge.
Ndugu zangu,
Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Leo nilikuwa nimekaa na wife tunacheck tv, ikaingia message kwenye simu yangu, wife akaichukua haraka haraka na kuisoma. Nikashangaa ameniangalia usoni kisha akanilabua kibao kwenye shavu, akanirushia simu yangu kisha akaingia chumbani.
Mimi nikaisoma ile message ilikuwa imetoka kwa mdada mmoja tumezoeana kutaniana, yeye huwa anapenda kunitania kwa kuniita husband nami namuita wife, so nimeshangaa wife wangu hajaniuliza kitu badala yake kanipa kelebu.
Je, nifanyaje wakuu?
Nenda dawati la jinsi na watoto,Habari za leo wananchi wenzangu wanyonge. Poleni na msiba wa kiongozi wetu sisi wanyonge.
Ndugu zangu,
Naombeni ushauri wenu wa mawazo. Leo nilikuwa nimekaa na wife tunacheck tv, ikaingia message kwenye simu yangu, wife akaichukua haraka haraka na kuisoma. Nikashangaa ameniangalia usoni kisha akanilabua kibao kwenye shavu, akanirushia simu yangu kisha akaingia chumbani.
Mimi nikaisoma ile message ilikuwa imetoka kwa mdada mmoja tumezoeana kutaniana, yeye huwa anapenda kunitania kwa kuniita husband nami namuita wife, so nimeshangaa wife wangu hajaniuliza kitu badala yake kanipa kelebu.
Je, nifanyaje wakuu?
Mweleze mazingira ya huo utani wenu kama utaeleweka.Sichepuki mkuu