Mke wangu kaninasa kibao, nifanyeje?

Kwanza nikukosoe kidogo Mnyonge ni wewe na familia yako.
 
Kuna kila sababu za kufundisha mila ngumu za kiafrika kwa vijana wateke wateke kama wewe, hivi kwanza inawezekanaje yaani mwanamke anashika simu yako? haya tuache hilo, inawezekanaje yaani mwanamke anakuzaba kibao?hivi mnaishije na hawa wanawake qhumamae zenu? mwanamke anatakiwa akiona simu yako inaita anakimbia nje akupishe upokee, sasa kafika hatua ya kukunasa vibao, kuna siku atakuchokonoa na bikari takoni, maneiner
 
Kinachotakiwa hapa ni kumfuata chumbani uone ana hali gani ,tutakushauri baada ya wewe kuonana na kusikia umechukua jukumu gani kisolve issue
 
Mle 0679
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Acha kuchepuka mkuu
 
yaani mwanaume mzima unakunja ngumi kumpiga mwanamke!
 
Nenda police kachukue PF3
 
Nenda dawati la jinsi na watoto,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…