Leo bibi umeachangia pumba kabisa, Kijana anaomba ushauri wa jinsi ya kuirudisha ndoa yake iwe na amani wewe unasema hayo ulioyaandika.
Kwa kipindi chote hiko walichokuwa wakiishi pamoja mbona hakumnyima huo mpododo ila imetokea baada ya mheshimiwa kusafiri.
Toa ushuri mzuri kama vile unamshauri mjukuu wako bibi. Nyinyi ndio vibibi vya mwendo kasi mnatoa ushauri kama watoa ramli chonganishi.
Kumbe nawewe una majibu ya hovyo hivi? Umejipunguzia heshima niliyokuwa nakupa
ndugu nenda nae taratibu labda anajambo flani lakuhisi vibaya juu yako...anaogopa kukuuliza ..nahasa kama si..kawaida yake kukufanyia hivo.Ongeza mke wa pili joh
Kiburi kitamtoka tu huyo
.
Tafuta binti mmoja matata mweke ndani,
Ukitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;
Ni kweli ndo maana huwa nakulavu. Mko attention seekers na akizidisha kutojali anaitoa njeUkitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;
Umefika nyumbani mume kutoka safari usiwe kama mgeni mwingine fika ukiwa na hamu na mkeo kwanza kabla ya kufika unaanza kumuandaa kabisa kwa show wewe ukiingia maji ya kuoga piga mswaki kinachofuata show ya hatari, baada ya hapo ndo maongezi ya safari ndo utoke nje sasa uongee na wageni
wewe kufika tu sijui wageni sijui umeenda kanisani wewe hujui hilo tendo ni ibada? Ungeenda hata misa ya jioni
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] alaaa kumbee asanteee namm nko safarin sasa nkirud tu cha kwanza namchoresha saba kama salomeUkitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;
y aaan uko sawa kbs eti kaoga nawahi kanisani wanaume wa Dar tatizoUkitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;
Vibibi vya mwendokasi [emoji3][emoji3][emoji3]Leo bibi umeachangia pumba kabisa, Kijana anaomba ushauri wa jinsi ya kuirudisha ndoa yake iwe na amani wewe unasema hayo ulioyaandika.
Kwa kipindi chote hiko walichokuwa wakiishi pamoja mbona hakumnyima huo mpododo ila imetokea baada ya mheshimiwa kusafiri.
Toa ushuri mzuri kama vile unamshauri mjukuu wako bibi. Nyinyi ndio vibibi vya mwendo kasi mnatoa ushauri kama watoa ramli chonganishi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Faiza, mmh we kiboko