Mke wangu karudi kwenye dini yake

Mke wangu karudi kwenye dini yake

Zipo ndoa ambazo watu wanaishi kila mtu na dini yake na mambo yanakwenda vizuri.
Kama mna amani mwache arudi katika dini yake.
Kila mtu siku ile ya Hukumu atasimama mbele za Mungu mwenyewe!
Mwisho nyakati hizi ni za mwisho,Yesu Kristo anawarudisha Kanisani watu wake hata kama walipotelea mbali au walibadilishwa dini.
 
Kikubwa awe mcha mungu maana ata uislam unataka hicho tatizo ni kuwa mfuasi wa wale wauzaji wa leso,maji,mafuta,chumvi na n.k hapo hapana aisee
 
Zamu yako sasa.
Na we kuwa mkristu , uone ilivyo kazi kuwa imani isiyo yako.

Kajionea mazito tu.
Miaka 18 hakuna mtoto atayeyumba kiimani kwa muda huo hayupo wa kupelekwa msikitini wala kanisani!

Wote wana utashi wa kuamua by huu muda.
Muache autafute uso wa Muumba wake kwa amani,

Ishi naye kama dadako tu oa mwingine kama dini imekukaa sana.
Vinginevyo life iendelee tu.
 
Niliambiwa nisilete Binti wa kumsilimisha nyumbani........by mama.
 
Nyie waislamu watu wa hovyo sana, eti Muna sera yenu ya kuwaoa mabinti wa kikristo ili kukuza uislamu huku mkiwazuia mabinti wa kislamu kuolewa na wakristo.

Hata Mimi Leo hii huwezi nibadili dini unipeleke Kwa samaleko kisa papuchi,nitakubali tu ila lengo likitimia narudi ukristoni.

Nampa pongezi huyo mkeo kafanya jambo zuri sana,shughuli iliyobaki ni kuwabadili watoto wawe wakristo
 
Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta.

Kwanza fuatilia vizuri ujue huwenda uisilamu unaruhusu kumuoa asiyekuwa muisilamu, fuatilia hiyo kwa mashekhe wa kila aina utapata jawabu zuri kama inafaa ama haifai.

Ukishajua kwamba inafaa basi jambo la kwanza linalobaki ni ndoa iendelee, kwa sababu miaka 18 sio kidogo na endapo mkiachana italeta shida pengine.

Lakini kuhusu watoto wewe usijali jambo la msingi ni mama asilazimishe awabadili na watoto hapo atakuwa ana kuoutshine na kulazimisha yeye ndio adominate.

Hakikisha watoto wanapata malezi mema kwa sababu hakuna dini inayofundisha maovu.
Uislam/Madrassa wanafundisha watoto kiburi,dharau,ubaguzi,ugaidi na kila aina ya chuki dhidi ya wasio waislam.

KURAN NI UGANGA NA UCHAWI. HAKUNA DINI YA MUNGU MULE.

(MASIHI DAJALI)

NB: Hakuna mkristo kwa akili zake timamu anaweza kubadili dini na kuwa muislamu .Hakuna.

Wanakutupia jini anaitwa ZAMZAM.
 
Pambana tu watoto wako uwapeleke madrasa waijue dini yako waishike. Ila kwa mwanamke wa kikristo kubadili kuwa muislam hiyo 95% anazuga kwa muda tu, kutokana na itikadi za kiislam kwa mwanamke, ni sawa na kumtoa uraiani kumpeleka jela
 
Naimagine siku eti nimebadili dini.
Hakyamamangu vile Baba yangu anaweza aniibukie usiku ndotoni anitandiiiiiiiikeeeeee!
EHEHEHEHEHHEHHE
yani Mkatoliki yule anaweza anitandike mpk niungane naye tu ajue moja!

Nakwambia yule Mzee atanitokea usiku
Anitaandikeeh! mpk nikate kamba nikakae nae tu kuume kwa Baba!
Hataweza kutulia pale Kinondoni mimi nikiwa naitwa Kuruthumu.
Haki ataomba arudi tu ili anipe mikwaju!
 
Asante sana mkuu nalifanyia kazi hili
Unapoteza muda bila sababu. Unachunguza nini leo wakati ndoa ni shekhe alikufungia msikitini. Au viongozi wako wa dini waliokufungia ndoa hawaijui dini yenu vzr.

Ishi na mkeo mlee watoto maisha yaendelee.

NB;AU WEWE BADILI UWE MKRISTO ILI MUENDE SAWA KAMA UNADHANI NI JAMBO RAHISI.
 
Wanawake wa Kiislam zile ni jela zinazotembea. Nani anataka huo utumwa?
 
Kikubwa awe mcha mungu maana ata uislam unataka hicho tatizo ni kuwa mfuasi wa wale wauzaji wa leso,maji,mafuta,chumvi na n.k hapo hapana aisee
Kwenye uislamu huwa hatuongei maneno matupu unatakiwa uweke na dalili kutoka either kwenye quran au hadith sahih nje ya hapo unaitwa UROPOKAJI.
 
Naimagine siku eti nimebadili dini.
Hakyamamangu vile Baba yangu anaweza aniibukie usiku ndotoni anitandiiiiiiiikeeeeee!
EHEHEHEHEHHEHHE
yani Mkatoliki yule anaweza anitandike mpk niungane naye tu ajue moja!

Nakwambia yule Mzee atanitokea usiku
Anitaandikeeh! mpk nikate kamba nikakae nae tu kuume kwa Baba!
Hataweza kutulia pale Kinondoni mimi nikiwa naitwa Kuruthumu.
Haki ataomba arudi tu ili anipe mikwaju!
Shida si kubadili dini shida ni je kwanini unabadili dini ? Ikiwa sababu nje ya kuujua ukweli kwa hoja zenye mantiki basi bora usibadili baki ulipokuwepo.
 
Habari wakuu,

Naombeni mnishauri.

Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni.
Kaamua kumrudia Mungu?mwache ndo alichoona kinafaa.
 
Ninaye dadaangu alibadili dini akawa muislamu kisa ndoa.

Akija home anakuwa mkristo na kitimoto anakula, akirudi kwa mumewe swala 5. Siku Moja nilimchana aache huo unafiki anaoufanya, Mungu hapendi huo ujinga.

Mtu akibadili dini, tena kisa mapenzi, kuoa/ kuolewa natemana nae kabisa maana hao watu hawanagana misimamo, kusnitch nje nje.
Ila mkuu kitimoto ni ishu nyingine ile.
 
Sasa wewe ndugu yangu ulitaka tukushauri nini katika jambo binafsi la imani ya mkeo?
Ulitaka kumwacha kisa karudi kwenye dini yake?
Ulitaka kuitisha kikao cha ndugu ili hilo lijadiliwe?

Fahamu tu, imani ni suala binafsi tena jambo la rohoni, mkeo kaamua kuufuata moyo wake na kaamua kutokuwa mnafiki, hapo unatakiwa kumpenda zaidi, kumheshimu zaidi na kuwa karibu naye zaidi ili kuimarisha ndoa yenu.

Kisheria hiyo Ndoa imevunjika Mkuu
 
Habari wakuu,

Naombeni mnishauri.

Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni.
Yupo sahihi mwache aendelee na dini yake na wewe baki na yako. Mbinguni hakuna dini
 
Ila mkuu kitimoto ni ishu nyingine ile.
ni nyama tamu sana lakini kwa upande mwingine ni nyama chafu sana na hatari kwa afya. chukua mfano, hizo kitimoto mnakula mijini siku hizi, nyingi zimefugwa kwa miezi haifiki 4, tayari imechinjwa. hadi mifupa milaini kama nini. why? wanalisha vyakula vya kuwanenepesha wakue haraka kama mikuku, wanalisha madawa ya ARV. ninyi mnaofikiri hamjawahi kula ARV, mshakula sana kupitia kitimoto. watu wanajidanganya kwamba ni nyama nyeupe ila imejaa makemikali.

vitimoto ni vile vyetu sisi wa bush, kitimoto pori kile hakifugwi ni cha mbugani uko, ngiri n.k hata nyama ni tofauti. au nguruwe tu amefugwa kijijini ambao they don't afford kuwawekea madawa au masindano. ulishawahi ona wapi nguruwe anadungwa sindano? au hata kuku anadungwa sindano? maisha ya mijini mnalishwa uchafu mwingi sana. mimi vitimoto ambavyo huwa nakula hasa mikoani ni vile wanachinja minada ya vijijini, hivyo havihitaji hata kupimwa na mganga, ni salama, vimelishwa majani na vitu vya asili. sio hivi vya mjini.
 
Miaka 18 mpo pamoja. Haijatosha kukuaminisha huyo ni mtu sahihi kwako? Umejaribu kufanya utafiti ndoa za siku hizi zinadumu miaka mingapi?

Kila nikisema watu wa dini wanazidiwa upendo na wasio na dini naonekana sio. Angalia huyu jamaa kaishi na mkewe miaka 18 saizi kisa tu yupo dini ambayo sio yake anayoiamini anafikiria kumuacha.

Siamini kuwa Mkristo ni dhambi wala siamini kuwa Muislamu ni dhambi. Naamini dhambi ni dhambi na kila mtu atahukumiwa kutokana na matendo yake.
 
Back
Top Bottom