Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

Sio kweli, mama mkwe sio tatizo. Tatizo ni mke wake kamfungulia mlango mama yake.

Huyo mke sio mtoto wa kuendeshwa na mama. Angekuwa wa kuendeshwa angemsikiliza mume au kuendeshwa na mume
mama mtu ni mtu mzima na ana uzoefu na mambo ya ndoa, ilitakiwa akatae kuingilia mambo ya ndoa ya mwanae.
Sasa hapo inaonesha mama mtu ndio anapenda hizo mambo.
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Upo sawa mtu huwez kupokea Mwanamke na watoto wanne ngumu sana Cha msingi akuletee watoto
 
Una uhakika ni wa kwako hao watoto au ndo tuseme watoto ni malaika hivyo twapaswa kuwapenda tu.
 
Mkuu mkeo anakujua fika hufulukuti. mama mkwe kabisaa anajua hapa hakuna mwanaume.
Mimi mama mkwe hawezi hata kupiga simu kunambia hivyo.Mkeo navyohisi hii sio mara ya kwanza kwenda nawewe ukamfuata tena kwa kumuomba msamaha huku ukimhakikishia huwezi ishi bila yeye. kwa hali hii kuondoka na watoto4 sio rahisi hivyo wanajua utalilia tu na kumuomba arudi tena.

Ushauri kwa vile una uhakika yupo kwao na anawasiliana na majirani ili arudi funga kabisa kwako uwe unakuja kwa machalee tu akikupgia simu mwambie watoto apandishe kwenye gari na umwambie "WEWE ENDELEA NA UMALAYA WAKO" Mjomba sio mwehu kumwambia arudishe watoto halafu yeye aendelee kula usimbe vizuri unajua wazi mtu akiitwa msimbe.
 
mama mtu ni mtu mzima na ana uzoefu na mambo ya ndoa, ilitakiwa akatae kuingilia mambo ya ndoa ya mwanae.
Sasa hapo inaonesha mama mtu ndio anapenda hizo mambo.
Ndugu yangu, bado haujawafaham wanadamu vyema.

1. Nani alikudanganya wajinga hawazai?
2. Nani alikudanganya wajinga hawawi watu wazima?
3. Nani alikudanganya wajinga hawazeeki?

Kuwa makini na kila mtu, utu uzima na uzee sio kipimo cha HEKIMA
 
mama mtu ni mtu mzima na ana uzoefu na mambo ya ndoa, ilitakiwa akatae kuingilia mambo ya ndoa ya mwanae.
Sasa hapo inaonesha mama mtu ndio anapenda hizo mambo.
Kwanza tu hapo onavyoonekana mama mtu hana mume. Kwanini?

Jamaa kaongelea wajomba wanasema hawawezi kulea watoto wa mtu.

Kwanini aseme wajomba na sio baba ya huyo mke wake. Huyo mama mtu ndoa ilishamshinda na anaharibu ya mtoto.

Halafu tena, mama ndie alimpigia sim mkwe kumwambia ameshindwa kukaa na mtoto wake hivyo hatakaa amuone. Baba yupo wapi hapo? Simuoni na hata yeye huyo muoaji haongelei kabisa habari ya baba wa aliekuwa mke wake😄
 
Kwanza tu hapo onavyoonekana mama mtu hana mume. Kwanini?

Jamaa kaongelea wajomba wanasema hawawezi kulea watoto wa mtu.

Kwanini aseme wajomba na sio baba ya huyo mke wake. Huyo mama mtu ndoa ilishamshinda na anaharibu ya mtoto.

Halafu tena, mama ndie alimpigia sim mkwe kumwambia ameshindwa kukaa na mtoto wake hivyo hatakaa amuone. Baba yupo wapi hapo? Simuoni na hata yeye huyo muoaji haongelei kabisa habari ya baba wa aliekuwa mke wake😄
Mama mtu ni kivuruge anataka avuruge na ndoa ya mwanae.
 
k
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi KWAnza sio maada ni MADA....pili nilidhani kaondoka na MAHELA uliyoficha uchagoni...KUMBE WATOTO! tena WANNE..!? MUACHE AENDE NAO, NA SIKU AKIRUDI NAO KWANZA MTIMUE NAO😎..MWANAMKE ANAWEZA KIMBIA NA WATOTO WANNE PASI NA SABABU!? KUMBUKA UMESEMA MAMA MKWE WAKO ALIKWAMBIA WACHA AKATAFUTE MWINGINE😅🙌🏾, we KALAGHABAHO..!
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Poleni
 
Kuna namna ulitengeneza mazingira ya mke na mama yake kukutawala, na ninahisi huyu mama hana mume, ila pia kuna uwezekano mke wako mnashare na mtu na mama mkwe anamjua.
Kuolewa, maana yake mke hatakiwi kuondoka bila ruhusa yako, kwa jambo lolote lile, kwa kuwa ameondoka bila ruhusa, na wewe usikubali arudi sio tu bila ruhusa, familia waje waombe msamaha, na wakiomba piga ban kwanza mwezi mzima. Ila hakikisha umenunua chakula huko kwao kwa ajili ya watoto (mchele,unga, mafuta, sukari, maharage) usimpe hela au kutuma.
Kwenye kikao weka principle zako wazi;

  • huyu kashatoka huko kwao, na wewe ndio kila kitu, kama hawaridhiki wakae na mtoto wao.
  • Maamuzi ya nyumbani kwako hawatakiwi kuingilia labda kutoa ushauri
  • Akiwa na shida akashtaki kwenu sio kwao, failure to do so ni dismissal
Shida kuna vitabia ulivi intertain ndio vimeleta shida zote hizo
Wewe ni dhaifu sana
Asante mkuu.
 
Sioni:

1. Kwa nini ulimyima kwenda na Mama yake?
2. Kwa nini ulimnyima tena na nauli

Sio kila kitu ni kupambana na mwanamke, kuna siku utaona madhara, kuna vita zisizo za Msingi wewe mwache azishinde vizuri tu kwa amani!
Ushauri wa hovyo kabisa na kama umeona basi wewe ni Mume wa hovyo
 
Mke wako aliombwa kwao ukakataa, sababu ni Nini? haya ameomba nauli ukamnyima sababu ni Nini? Endelea kujimwambafai, baba wa familia huonekana wa maana kama mke wake na watoto wanakula, wanavaa na hawapungukiwi na kitu. Mfate mke wako na usiende kuongea upuuzi ukweni. Kaa chini na mkeo mzungumze, hofu yangu inawezekana wewe hata hutakagi mkeo aende ukweni kwa kuogopa utaonekana unendeshwa na wakwe; Acha upuuzi fata mke na watoto maana naamini watoto bado wadogo hao, Dunia imeharibika wanao wakiharibika wewe umechangia kwa kiasi kikubwa, amka baba, vaa roho ya ujasiri mtangulize Mungu, fata familia yako
Ushauri wa hovyo
 
Kuna namna ulitengeneza mazingira ya mke na mama yake kukutawala, na ninahisi huyu mama hana mume, ila pia kuna uwezekano mke wako mnashare na mtu na mama mkwe anamjua.
Kuolewa, maana yake mke hatakiwi kuondoka bila ruhusa yako, kwa jambo lolote lile, kwa kuwa ameondoka bila ruhusa, na wewe usikubali arudi sio tu bila ruhusa, familia waje waombe msamaha, na wakiomba piga ban kwanza mwezi mzima. Ila hakikisha umenunua chakula huko kwao kwa ajili ya watoto (mchele,unga, mafuta, sukari, maharage) usimpe hela au kutuma.
Kwenye kikao weka principle zako wazi;

  • huyu kashatoka huko kwao, na wewe ndio kila kitu, kama hawaridhiki wakae na mtoto wao.
  • Maamuzi ya nyumbani kwako hawatakiwi kuingilia labda kutoa ushauri
  • Akiwa na shida akashtaki kwenu sio kwao, failure to do so ni dismissal
Shida kuna vitabia ulivi intertain ndio vimeleta shida zote hizo
Wewe ni dhaifu sana
Umemaliza..Ushauri wa kiumeni sana
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Mrejesho
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Peleka shauri hili Dawati la Jinsia polisi ya wilaya unayoishi.

Mama Mkwe piga block ya maana
Mke chapa block
Mkutane Dawati ndo wataelewa thamani ya familia
 
Back
Top Bottom