Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Huna akili
 
Baba mkwe wako Yu wapi!? Historia ya ndoa ya mama mkwe wako unaijua!?Ulioa Kwa familia ya msimbe(single mother)? Imekula kwako
Baba mkwe[emoji24] ni mwaka mzma sasa na mama mkwe katka historia mzee alipofiwa na mke wake wa ndoa ndipo akamuoa huyu mama
 
Unajua mpaka Mama Mkwe atoe hayo maneno wa Najua tabia ya Jamaa
Bro, wamama wa kiswahili ni shida tu. Pia namna mke alivyopeleka malalamiko kwa Mama yake inaweza kuchochea Mama yake apanic.

Hata hivyo, bado haimpi ruhusu Mama mkwe atoe maneno kama hayo kwa Mume. Huyo Mama ni mswahili tu. Mama mkwe aliye na busara angetuma nauli kwa binti yake akamuone mgonjwa na Mke angepeleka taarifa kwa Mme wake kwamba nauli anayo, anaomba kuruhusiwa kuondoka. Kama Mme angekataa hapo sasa hiyo ingekuwa ni shida ya Mme.

Ila Mama mkwe kutuma nauli ya kutorosha mke na watoto haijakaa sawa hiyo.
 
Amini mie mwenyewe yamenikuta hayo. Ubaya baba mkwe ndo alileta upuuzi huo mpaka nilihisi anatembea nae. Nilitumia ukali na biti ndo akashuka chini. Nilimweleza laivu kua mimi na mwanaume kama wewe usitake kuniendesha kisa binti yako. Ilikua mara oo huyu ana ndg zake, mara sijui anatakiwa awe anatoka mara upuuzi upuuzi mpaka upendo ulitaka kunitoka. Nashukuru yaliisha.
 
Amini mie mwenyewe yamenikuta hayo. Ubaya baba mkwe ndo alileta upuuzi huo mpaka nilihisi anatembea nae. Nilitumia ukali na biti ndo akashuka chini. Nilimweleza laivu kua mimi na mwanaume kama wewe usitake kuniendesha kisa binti yako. Ilikua mara oo huyu ana ndg zake, mara sijui anatakiwa awe anatoka mara upuuzi upuuzi mpaka upendo ulitaka kunitoka. Nashukuru yaliisha.
Nyie mlioa kabila zipi hizo za kutokatoka? wa kwangu sasa ni miaka 9 hajabaduka kuenda popote haliakua bado wazazi wake wapo akimuambia aende kuwa salimia anakuambia hiyo nauli bora ni watumie wapate sukali na chumvi, anakuambia hapa ndo kwangu kule ni kwao.
 
Japo haujaelezea kiundani, Ila kuna namna wote mna makosa, Tuanze kwako, Inaonekana haukumjibu vyema na kwa hekima mama mkwe wako, Inaonekana alikuomba kistaarabu, Ulipaswa kutumia kauli nzuri kumuelezea na sababu muhimu ya wewe kumkatalia ombi lake, Angekuelewa. Pili Mke wako hakupaswa kumsikiliza yeyote na maamuzi ya mwisho kuhusu kubaki au kuondoka yalipaswa kuwa juu yako, Mpaka kufikia hatua ya kudharau maamuzi yako, maana yake kuna level kubwa ya uchoyo na ubinafsi umemuonyesha. Kwa mfano, amekwambia kwamba ana mgonjwa, kikawaida na kibinadamu ulipaswa umruhusu na umpatie nauli, Je kama mgonjwa ni ndugu wa karibu? je angefariki? pia inaonekana huwa haumhudumii vizuri na kuna cases nyingi ambazo haujazielezea mpaka wao kufikia hatua hiyo.


SOLUTION; kaeni chini, wakiwepo wazazi na wazee, mzungumze, yaishe kwa ajili ya watoto.
 
Kama unampenda mkeo
Basi mpigie mama mkwe mtukane kwanza vya kutosha

Afu mfate mkeo,akigoma kurudi basi mwache

Afu wanawake ni wajinga sana,anaondokaje na watoto wote hao
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Una hakika hao watoto ni mikojo yako kweli? Usijekuta ndiyo kawapeleka kwa baba yao halisi.
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
hauna ushirikiano na mkeo, ishi na mkeo kama rafiki, usiishi naye kama mtumwa. pia jali hisia za mwenzako, kama ilikuwa lazima aende nyumbani usingepungukiwa kitu kama ungemruhusu, kama mamamke hadi amefikia kutamka hayo kwako, ina maana umeshadharaulika, wameshaona tabia yako haustahili heshima. Mamamkwe wangu mimi siku zote yupo upande wangu kwa sababu huwa naishi naye vizuri, hawezi kunikosea heshima hata siku moja, na hata mke wangu akifanya lisilo la maana yeye ndio huwa wa kwanza kumrudisha. mngeishi kama rafiki na kama mwili mmoja msingefikia huko, mna watoto 4 lakini bado ndoa yenu inaonekana changa haijaiva, hampo pamoja kwanini? punguza umwinyi.
 
Usikubali kabisa Kumpokea atakutesa yeye na mama mkwe wako. Tena ikibidi karipoti serikali za mtaa kabisa ili akija Ukatae kumpokea. watakuja kukuua ili wale Maisha. kuna kila dalili ya usaliti na steling ni mama yake
 
Back
Top Bottom