Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

Usikubali kabisa Kumpokea atakutesa yeye na mama mkwe wako. Tena ikibidi karipoti serikali za mtaa kabisa ili akija Ukatae kumpokea. watakuja kukuua ili wale Maisha. kuna kila dalili ya usaliti na steling ni mama yake
tayari ana watoto 4 naye, watoto wanamhitaji baba, na baba anawahitaji watoto, ama la, atavuna mabua, ukiachia mwanamke watoto wataharibika na ni hasara kwako, pia yeye atakuja kusamehewa na watoto ila wewe hautasamehewa watoto wakiwa na akili watauliza hata kama mama alikosea wewe kama baba ulitakiwa utupambanie haukutakiwa kututelekeza. malezi ya baba na mama ni muhimu sana sana asikwambie mtu. umizaneni ila hakikisheni kuumizana na kushindana kwenu hakuahthiri watoto.
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
NAshauri KAA KIMYA KABISA. UTAPATA MAJIBH KARIBUNI. HUYO MKWE ATACHOKA KUTUNZA WATOTO. TOA TAARIFA KITUO CHA POLISI PATA RB ITAKUSAIDIA BAADAE. RB YA UTORKSHAJI WA WATOTO.
 
Umri 32 nnaishi kwangu ila kuna kadalili mama mkwe hua analazimisha kuniendesha hapo ndipo hua tunapishana na katka kunidharau hivyo inaweza kua huyu mtoto wao hua ananisema vbaya ndio maana yanatokea hayo ya mama kutoheshimiana nae
Miaka 32 mwanaume tayari una watoto wanne?
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi

Pole Sana.

Hana adabu.
Mama yake Hana adabu.

Ukiruhusu akarudi huna AKILI.
 
Umri 32 nnaishi kwangu ila kuna kadalili mama mkwe hua analazimisha kuniendesha hapo ndipo hua tunapishana na katka kunidharau hivyo inaweza kua huyu mtoto wao hua ananisema vbaya ndio maana yanatokea hayo ya mama kutoheshimiana nae

Mwanamke yeyote hawezi kujaribu kukuendesha kama hajapima maji na kuona anayamudu.
Huyo mama amekudharau.
Mkeo naye anaakili za Mamaake.

Kwa Sisi Watibeli hiyo Kesi ingeisha mapema Sana.
 
Japo haujaelezea kiundani, Ila kuna namna wote mna makosa, Tuanze kwako, Inaonekana haukumjibu vyema na kwa hekima mama mkwe wako, Inaonekana alikuomba kistaarabu, Ulipaswa kutumia kauli nzuri kumuelezea na sababu muhimu ya wewe kumkatalia ombi lake, Angekuelewa. Pili Mke wako hakupaswa kumsikiliza yeyote na maamuzi ya mwisho kuhusu kubaki au kuondoka yalipaswa kuwa juu yako, Mpaka kufikia hatua ya kudharau maamuzi yako, maana yake kuna level kubwa ya uchoyo na ubinafsi umemuonyesha. Kwa mfano, amekwambia kwamba ana mgonjwa, kikawaida na kibinadamu ulipaswa umruhusu na umpatie nauli, Je kama mgonjwa ni ndugu wa karibu? je angefariki? pia inaonekana huwa haumhudumii vizuri na kuna cases nyingi ambazo haujazielezea mpaka wao kufikia hatua hiyo.


SOLUTION; kaeni chini, wakiwepo wazazi na wazee, mzungumze, yaishe kwa ajili ya watoto.
Nikiiweka voice hapa hutorudisha neno
 
Yaani mwanamke hana hela yoyote mpaka atumiwe hela ndo apange Safar. Mpe uhuru ila wenye mipaka asiishi kama yuko gerezani kumbe yuko katika ndoa mapungufu ni mengi ya ndoa ila jaribu kuona lililo njema muishi vyema na watoto wenu . Kingine mama mkwe ana adabu kabisa mambo ya familia yako yeye anayaingilia ili iweje
 
Mke wako aliombwa kwao ukakataa, sababu ni Nini? haya ameomba nauli ukamnyima sababu ni Nini? Endelea kujimwambafai, baba wa familia huonekana wa maana kama mke wake na watoto wanakula, wanavaa na hawapungukiwi na kitu. Mfate mke wako na usiende kuongea upuuzi ukweni. Kaa chini na mkeo mzungumze, hofu yangu inawezekana wewe hata hutakagi mkeo aende ukweni kwa kuogopa utaonekana unendeshwa na wakwe; Acha upuuzi fata mke na watoto maana naamini watoto bado wadogo hao, Dunia imeharibika wanao wakiharibika wewe umechangia kwa kiasi kikubwa, amka baba, vaa roho ya ujasiri mtangulize Mungu, fata familia yako
Ni mwanamke mwenzie ndo maana unamshauri mwamba ujingaaa
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi

Zaa wengine
 
tayari ana watoto 4 naye, watoto wanamhitaji baba, na baba anawahitaji watoto, ama la, atavuna mabua, ukiachia mwanamke watoto wataharibika na ni hasara kwako, pia yeye atakuja kusamehewa na watoto ila wewe hautasamehewa watoto wakiwa na akili watauliza hata kama mama alikosea wewe kama baba ulitakiwa utupambanie haukutakiwa kututelekeza. malezi ya baba na mama ni muhimu sana sana asikwambie mtu. umizaneni ila hakikisheni kuumizana na kushindana kwenu hakuahthiri watoto.
Ujinga uliotukuka huu
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Una uhakika hao watoto ni wako?
 
Huyo mama mkwe ana mume? Ni kama swali la kijinga lakini lina maana kubwa sana
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
 
Bado hujawa na uzoefu na wanawake wajinga.

Huyu ni wa kuacha, hatakiwi kupigiwa hata simu na akitaka kurudi unamzuia mpaka wewe uende huko mkayaongee, halafu hauendi sasa mpaka maji aitwe mma.

Huyu atamsumbua sana kwa hii tabia alioanzisha. Mkatalie kurudi.
Umeongea kama nilivyokuwa nawaza mimi
 
Back
Top Bottom