Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

1. Hakumnyima, amesema kulingana na mipango na ratiba za hapo nyumbani aliona kabanana hivyo hakumruhusu. Yawezekana kulikuwa na kaproject kanaendelea kanaitaji usimamizi, hivyo mke alitakiwa asimamie mume akiwa kazini
2. Hakumnyima, alimwambia hana. Hiyo ni kawaida kama kuna mipango mingine ya kifamilia inaendelea.

Ni kweli sio kila kitu cha kushindana na mwanamke ila pia sio kila kitu cha kumruhusu mwanamke. Kwahiyo hatujui ni vingapi vilikataliwa na vingapi vilikubaliwa.

Upo sahihi, nakuelewa
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Pole,ishini nao kwa akili,na hapo kama mama mkwe naye kashajiingiza shida itazidi kuwa kubwa.Mkwe na ndugu wa damu wakishaanza kuingilia mahusiano yenu basi hapo jiandae mkuu...
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Kwanza kabisa ni kabila gani huyo mwanamke
2.Mkeo ana umri gani?
3.Hata akirudi kata mawasilianino yakijinga na huko kwao maana watakupoteza yaani mwanamke anamsikiliza sana mzazi wake kuliko maendeleo ya familia yake
 
Umri 32 nnaishi kwangu ila kuna kadalili mama mkwe hua analazimisha kuniendesha hapo ndipo hua tunapishana na katka kunidharau hivyo inaweza kua huyu mtoto wao hua ananisema vbaya ndio maana yanatokea hayo ya mama kutoheshimiana nae
Mkalishe mama mkwe chini muambie aache mazoea ya kipumbavu katika ndoa za watu
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Yaani mtu kaenda alikozaliwa unasema katoroka🤣🤣🤣🤣. Lala usingizi wewe
 
Umri 32 nnaishi kwangu ila kuna kadalili mama mkwe hua analazimisha kuniendesha hapo ndipo hua tunapishana na katka kunidharau hivyo inaweza kua huyu mtoto wao hua ananisema vbaya ndio maana yanatokea hayo ya mama kutoheshimiana n
 
Umri 32 nnaishi kwangu ila kuna kadalili mama mkwe hua analazimisha kuniendesha hapo ndipo hua tunapishana na katka kunidharau hivyo inaweza kua huyu mtoto wao hua ananisema vbaya ndio maana yanatokea hayo ya mama kutoheshimiana nae
Upo sahihi hawa mama wakwe wanachangia sn kuharibu ndoa za watoto wao usiri uliopitiliza kati ya mama na mtoto hupelekea waanze kukujadili na mkeo kuanza kutoa siri za ndani na mwisho mambo yanaharibika

Nyie wakwe embu tulieni basi nyie mshakula ujana wenu acheni watoto wenu watulie kwenye ndoa zao
 
Mke wako aliombwa kwao ukakataa, sababu ni Nini? haya ameomba nauli ukamnyima sababu ni Nini? Endelea kujimwambafai, baba wa familia huonekana wa maana kama mke wake na watoto wanakula, wanavaa na hawapungukiwi na kitu. Mfate mke wako na usiende kuongea upuuzi ukweni. Kaa chini na mkeo mzungumze, hofu yangu inawezekana wewe hata hutakagi mkeo aende ukweni kwa kuogopa utaonekana unendeshwa na wakwe; Acha upuuzi fata mke na watoto maana naamini watoto bado wadogo hao, Dunia imeharibika wanao wakiharibika wewe umechangia kwa kiasi kikubwa, amka baba, vaa roho ya ujasiri mtangulize Mungu, fata familia yako
Asiende kuongea upuuzi ukweni wkt wenyewe ndio wameanza upuuzi alah, yaani mkwe aparamie ndoa yangu halafu nimchekee, waanze kujiheshimu wao kwanza ndio nitawaheshimu,

Kuhusu sababu za kumzuia kwenda kwao na kumnyima nauli mwamba amezieleza hapo ulitaka afanyeje, nyie ndio kila asemacho mwanamke mnakubali mkiamini ni mapenzi kumbe ni ujinga tu.
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Arudi wapi tena?mwambie ushaoa mke mwingine,na watoto abaki nao..si wake pia?utazaa wengine. Sheinzy zake na mamake.
 
Ulipomnyima mkeo nauli ulikua huna hela kweli au ulitaka kumkomesha tu?

Kama ungemsemesha kistaarabu angekuelewa tu wala isingekua issue,
Ungeweza hata kumwambia kua ''Kwasasa sina hela,nisubiria kidogo nitakupatia,au subiri mpaka siku fulani tutakwenda wote''

Mke ni kama mtoto tu ambaye anatakiwa kua controlled na wewe,

Mkwe wako anapata Info kutoka kwa Mkeo,na anaelezewa mambo mabaya,kama mzazi anapata uchungu wa mwanae,ndio maana akakwambia hivyo,

Solution,
Maisha ni yenu,na watoto ni wenu ambao wanahitaji malezi bora ya Baba na Mama,siri za ndani hazitakiwi kutoka nje,

Cha kufanya,

Mueleze Mkeo msimamo wako kua hutaki mtu wa nje aingilie maisha yenu wala awapangie jinsi ya kuishi,kama mkeo atakubaliana na wewe,msamehe na muendelee kulea watoto wenu ambao wanahitaji malezi ya Baba na Mama,pia na wewe upunguze kumnyanyasa kama ulivyomjibu kua ''Sina nauli'' kua na lugha nzuri unapoongea nae,kila Mwanamke/Binadamu ana mapungufu yake,unaweza kupata Mwanamke mwingine ila akaja kua worst kuliko huyo mkeo,

Sioni kama kuna kosa kubwa sana la mpaka kupelekea wewe na mkeo muachane,

All the Best Mkuu.
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Muache Apumzike tu, watoto popote watakapo kuwa bado ni wa kwako, kama atawarudisha no vizuri Zaid ila yeye Muache akaishi na mamaye!
 
Nakwenda kwenye maada

Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo

Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia

Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu

Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake

Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.

Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi

Ulimuoa huyo mwanamke au sogea tuishi? Maana unapangiwaje maamuzi kwenye familia yako?
 
Kuna namna ulitengeneza mazingira ya mke na mama yake kukutawala, na ninahisi huyu mama hana mume, ila pia kuna uwezekano mke wako mnashare na mtu na mama mkwe anamjua.
Kuolewa, maana yake mke hatakiwi kuondoka bila ruhusa yako, kwa jambo lolote lile, kwa kuwa ameondoka bila ruhusa, na wewe usikubali arudi sio tu bila ruhusa, familia waje waombe msamaha, na wakiomba piga ban kwanza mwezi mzima. Ila hakikisha umenunua chakula huko kwao kwa ajili ya watoto (mchele,unga, mafuta, sukari, maharage) usimpe hela au kutuma.
Kwenye kikao weka principle zako wazi;

  • huyu kashatoka huko kwao, na wewe ndio kila kitu, kama hawaridhiki wakae na mtoto wao.
  • Maamuzi ya nyumbani kwako hawatakiwi kuingilia labda kutoa ushauri
  • Akiwa na shida akashtaki kwenu sio kwao, failure to do so ni dismissal
Shida kuna vitabia ulivi intertain ndio vimeleta shida zote hizo
Wewe ni dhaifu sana
 
Back
Top Bottom