Msumari Wa Shaba
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 344
- 464
mama mtu ni mtu mzima na ana uzoefu na mambo ya ndoa, ilitakiwa akatae kuingilia mambo ya ndoa ya mwanae.Sio kweli, mama mkwe sio tatizo. Tatizo ni mke wake kamfungulia mlango mama yake.
Huyo mke sio mtoto wa kuendeshwa na mama. Angekuwa wa kuendeshwa angemsikiliza mume au kuendeshwa na mume
Upo sawa mtu huwez kupokea Mwanamke na watoto wanne ngumu sana Cha msingi akuletee watotoNakwenda kwenye maada
Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo
Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia
Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu
Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake
Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.
Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Talaka itumwe tu whatsapp ataiprint huko huko alikoMsindikizie talaka atakutana nayo stendi, msisitize watoto apandishe gar utawasubiria shekilango
Ndugu yangu, bado haujawafaham wanadamu vyema.mama mtu ni mtu mzima na ana uzoefu na mambo ya ndoa, ilitakiwa akatae kuingilia mambo ya ndoa ya mwanae.
Sasa hapo inaonesha mama mtu ndio anapenda hizo mambo.
Kwanza tu hapo onavyoonekana mama mtu hana mume. Kwanini?mama mtu ni mtu mzima na ana uzoefu na mambo ya ndoa, ilitakiwa akatae kuingilia mambo ya ndoa ya mwanae.
Sasa hapo inaonesha mama mtu ndio anapenda hizo mambo.
Mama mtu ni kivuruge anataka avuruge na ndoa ya mwanae.Kwanza tu hapo onavyoonekana mama mtu hana mume. Kwanini?
Jamaa kaongelea wajomba wanasema hawawezi kulea watoto wa mtu.
Kwanini aseme wajomba na sio baba ya huyo mke wake. Huyo mama mtu ndoa ilishamshinda na anaharibu ya mtoto.
Halafu tena, mama ndie alimpigia sim mkwe kumwambia ameshindwa kukaa na mtoto wake hivyo hatakaa amuone. Baba yupo wapi hapo? Simuoni na hata yeye huyo muoaji haongelei kabisa habari ya baba wa aliekuwa mke wake😄
Nakwenda kwenye maada
Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo
Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia
Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu
Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake
Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.
Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi KWAnza sio maada ni MADA....pili nilidhani kaondoka na MAHELA uliyoficha uchagoni...KUMBE WATOTO! tena WANNE..!? MUACHE AENDE NAO, NA SIKU AKIRUDI NAO KWANZA MTIMUE NAO😎..MWANAMKE ANAWEZA KIMBIA NA WATOTO WANNE PASI NA SABABU!? KUMBUKA UMESEMA MAMA MKWE WAKO ALIKWAMBIA WACHA AKATAFUTE MWINGINE😅🙌🏾, we KALAGHABAHO..!
PoleniNakwenda kwenye maada
Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo
Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia
Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu
Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake
Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.
Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Asante mkuu.Kuna namna ulitengeneza mazingira ya mke na mama yake kukutawala, na ninahisi huyu mama hana mume, ila pia kuna uwezekano mke wako mnashare na mtu na mama mkwe anamjua.
Kuolewa, maana yake mke hatakiwi kuondoka bila ruhusa yako, kwa jambo lolote lile, kwa kuwa ameondoka bila ruhusa, na wewe usikubali arudi sio tu bila ruhusa, familia waje waombe msamaha, na wakiomba piga ban kwanza mwezi mzima. Ila hakikisha umenunua chakula huko kwao kwa ajili ya watoto (mchele,unga, mafuta, sukari, maharage) usimpe hela au kutuma.
Kwenye kikao weka principle zako wazi;
Shida kuna vitabia ulivi intertain ndio vimeleta shida zote hizo
- huyu kashatoka huko kwao, na wewe ndio kila kitu, kama hawaridhiki wakae na mtoto wao.
- Maamuzi ya nyumbani kwako hawatakiwi kuingilia labda kutoa ushauri
- Akiwa na shida akashtaki kwenu sio kwao, failure to do so ni dismissal
Wewe ni dhaifu sana
Ushauri wa hovyo kabisa na kama umeona basi wewe ni Mume wa hovyoSioni:
1. Kwa nini ulimyima kwenda na Mama yake?
2. Kwa nini ulimnyima tena na nauli
Sio kila kitu ni kupambana na mwanamke, kuna siku utaona madhara, kuna vita zisizo za Msingi wewe mwache azishinde vizuri tu kwa amani!
Ushauri wa hovyoMke wako aliombwa kwao ukakataa, sababu ni Nini? haya ameomba nauli ukamnyima sababu ni Nini? Endelea kujimwambafai, baba wa familia huonekana wa maana kama mke wake na watoto wanakula, wanavaa na hawapungukiwi na kitu. Mfate mke wako na usiende kuongea upuuzi ukweni. Kaa chini na mkeo mzungumze, hofu yangu inawezekana wewe hata hutakagi mkeo aende ukweni kwa kuogopa utaonekana unendeshwa na wakwe; Acha upuuzi fata mke na watoto maana naamini watoto bado wadogo hao, Dunia imeharibika wanao wakiharibika wewe umechangia kwa kiasi kikubwa, amka baba, vaa roho ya ujasiri mtangulize Mungu, fata familia yako
Umemaliza..Ushauri wa kiumeni sanaKuna namna ulitengeneza mazingira ya mke na mama yake kukutawala, na ninahisi huyu mama hana mume, ila pia kuna uwezekano mke wako mnashare na mtu na mama mkwe anamjua.
Kuolewa, maana yake mke hatakiwi kuondoka bila ruhusa yako, kwa jambo lolote lile, kwa kuwa ameondoka bila ruhusa, na wewe usikubali arudi sio tu bila ruhusa, familia waje waombe msamaha, na wakiomba piga ban kwanza mwezi mzima. Ila hakikisha umenunua chakula huko kwao kwa ajili ya watoto (mchele,unga, mafuta, sukari, maharage) usimpe hela au kutuma.
Kwenye kikao weka principle zako wazi;
Shida kuna vitabia ulivi intertain ndio vimeleta shida zote hizo
- huyu kashatoka huko kwao, na wewe ndio kila kitu, kama hawaridhiki wakae na mtoto wao.
- Maamuzi ya nyumbani kwako hawatakiwi kuingilia labda kutoa ushauri
- Akiwa na shida akashtaki kwenu sio kwao, failure to do so ni dismissal
Wewe ni dhaifu sana
MrejeshoNakwenda kwenye maada
Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo
Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia
Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu
Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake
Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.
Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi
Umemaliza..Ushauri wa kiumeni sana
Ushauri wa hovyo
Peleka shauri hili Dawati la Jinsia polisi ya wilaya unayoishi.Nakwenda kwenye maada
Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo
Sasa tokea nizuie hiyo safari mke kununa mda wote imefikia ijumaa akaniomba nauli aende akasalimie mgonjwa ndugu yake nkamwambia sina nauli akaaza kulia
Mimi nikatoka nikamwacha nikaenda kazini baada ya dakika 20 mama mkwe akanipigia simu ananiambia baba kama umemchoka mwanangu naomba leo akupishe utafute wengine kwamaana wewe nimegundua huna heshima na kuanzia leo usahau kuhusu mwanangu, kifupi aliongea mengi nifupishe tu
Nlirudi jioni nikakuta kaondoka na watoto wote wanne katumiwa nauli na mama yake
Sasa kuna hawa majirani nimeanza kusikia kwamba huko nyumbani kwao kuna fukuto kuna mwanafamilia mmoja mjomba wake kauma msimamo kamwambia rudisha watoto kwa baba yao ndipo urudi kula usimbe vizuri hatuwezi kuhudumia familia ambayo haituhusu, kaona kuna ugumu kukaa mbali na watoto wake kaanza kuwapigia simu majirani nataka nirudi lakini mimi bado hajanipigia simu.
Nipe mawazo yako hapa cha kufanya akirudi