luchelele mzunguko
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 1,206
- 1,641
Ni mtu wa muhimu uyu wewe ni mgeni humu ujamjua vizuri endelea kumfatilia utamsoma.sijawahi kuona Uzi wako JF tofauti na mambo ya Mapenzi,Mchepuko nk,kazi kwelikweli
Laiti ningepataga ushauri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]@Deepond, Kwa ufupi kuoa single maza,ni kama una beti
Ila mkuu kuna upande wa mkeo unaujua na hujausema hapa makusudi.Niliruhusu vip wkt matukio yote yanatokea nilikua Sijui,
Mkuu, mi sio mtu wa kushinda nyumbani
Nikiondoka asbh, kurudi ni saa 5 au 6 usiku
Unaona sasa, utamlaumu bure mkeo ila hawezi kumtema mshirika wake kwa kuwa yamebuma upande wake.MREJESHO.....
Jana nmefika home mida ya saa 3 usiku, sjamkuta binti nyumbani Wala mtoto wake,
Nmemuuliza shemej yangu anasema binti kapelekwa kwa dada yake, kaondoka na mizigo yake yote.
Cha kushangaza
Leo alfajir nmeamka nakagua kagua mifugo yangu nikamuona mtoto wake na yule binti akitokea nyumba ndogo ya nje kwny chumba alikukokua anakaa kijana wangu mmoja wa dukan (sahv hayupo) akiwa na beseni dogo la maji machafu kaja kumwaga kwny shimo la taka.
Moja kwa moja Kuna picha nkaipata,
Either shemej yangu Ni wale wale maana kanidanganya kaondoka ili kunipoza kumbe wamemlaza nyumba ya nje.
ANYWAY, BADO NATAFAKARI CHA KUMFANYA HUYU NAE SHEMEJ YANGU[emoji848]
Pia, mda mfupi ulopita nmefanikiwa kwenda kuongea na Ticha, kanielewa na kasema Hana ugomvi wowote na Mimi Maana yote yanatokea sikufahamu Mana sishindi nyumbani lawama Ni kwa wake zetu.
Nmemsihi Suala la kurudiana na MKE wake, kasema Hilo Halinihusu na hataki nimuingilie wala nimshaur lolote, Hiyo Ni ndoa yake kwaiyo nimuachie yeye.
Nmeshindwa kuongeza neno.
Plan yangu kwa Sasa bado Ni ile Ile kumrudisha wife kwanza kwao akafundwe vzur, naona Kama vile ameizoea Sana ndoa.
Kia's kwamba tunavunjiana Sana heshima
Punguza hasira mkuuNimepata hasira kukuzidi wewe, huyo mke wako Ana makosa 3,,
1. Sio mshauri mzuri kwa rafiki yake.
2. Hana adabu na anakudharau.
3. Kamkosea sana teacher!
Nasikiaga tu kuhusu single mothers, kwa hii simulizi, kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Kwako Sasa mdau, the assumptions is this, mke wako a naona ni sawa kabisa mtu kuwasiliana na x wake na kuonana naye, mke wako is a time bomb. Weka msimamo mkali akishindwa fukuza.
Unawatoto wangapi mupendwaBinadamu bhana, kweli tuna vichwa ngumu...,kwann uwasiliane na MTU ambaye hakukupa thamani...ivi wanajua maana ya ex kweli? Inaumiza sana....kiukweli masingle mom tuacheni tu hata msituoe...tumekubuhu..khaa
Nanyi mnatuchanganya kuweka avatar za kichawa humu!Aiseee,, bro anazingua, shemeji amempa nguvu nyingi sana, Mimi mke wangu hawezi ruhusu kuingiza mashoga zake ndani kwangu bila kunijulisha kwanza Kuna ugeni, hata Kama siko nyumbani