Mke wangu kawa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya jirani yangu

Mke wangu kawa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya jirani yangu

@Deepond, Kwa ufupi kuoa single maza,ni kama una beti
Laiti ningepataga ushauri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums1129888738.jpg
 
Niliruhusu vip wkt matukio yote yanatokea nilikua Sijui,
Mkuu, mi sio mtu wa kushinda nyumbani

Nikiondoka asbh, kurudi ni saa 5 au 6 usiku
Ila mkuu kuna upande wa mkeo unaujua na hujausema hapa makusudi.

Ndio maana hata wewe humuamini, unamfuatilia sana.

Naunganisha dots na kitendo chake cha ukuwadi.

Ngumu kukuwadia kama huna tabia za kuchepuka
 
MREJESHO.....
Jana nmefika home mida ya saa 3 usiku, sjamkuta binti nyumbani Wala mtoto wake,
Nmemuuliza shemej yangu anasema binti kapelekwa kwa dada yake, kaondoka na mizigo yake yote.

Cha kushangaza
Leo alfajir nmeamka nakagua kagua mifugo yangu nikamuona mtoto wake na yule binti akitokea nyumba ndogo ya nje kwny chumba alikukokua anakaa kijana wangu mmoja wa dukan (sahv hayupo) akiwa na beseni dogo la maji machafu kaja kumwaga kwny shimo la taka.

Moja kwa moja Kuna picha nkaipata,
Either shemej yangu Ni wale wale maana kanidanganya kaondoka ili kunipoza kumbe wamemlaza nyumba ya nje.
ANYWAY, BADO NATAFAKARI CHA KUMFANYA HUYU NAE SHEMEJ YANGU[emoji848]

Pia, mda mfupi ulopita nmefanikiwa kwenda kuongea na Ticha, kanielewa na kasema Hana ugomvi wowote na Mimi Maana yote yanatokea sikufahamu Mana sishindi nyumbani lawama Ni kwa wake zetu.

Nmemsihi Suala la kurudiana na MKE wake, kasema Hilo Halinihusu na hataki nimuingilie wala nimshaur lolote, Hiyo Ni ndoa yake kwaiyo nimuachie yeye.
Nmeshindwa kuongeza neno.

Plan yangu kwa Sasa bado Ni ile Ile kumrudisha wife kwanza kwao akafundwe vzur, naona Kama vile ameizoea Sana ndoa.
Kia's kwamba tunavunjiana Sana heshima
Unaona sasa, utamlaumu bure mkeo ila hawezi kumtema mshirika wake kwa kuwa yamebuma upande wake.

Hao lao moja
 
Nimepata hasira kukuzidi wewe, huyo mke wako Ana makosa 3,,

1. Sio mshauri mzuri kwa rafiki yake.
2. Hana adabu na anakudharau.
3. Kamkosea sana teacher!

Nasikiaga tu kuhusu single mothers, kwa hii simulizi, kweli sikio la kufa halisikii dawa.

Kwako Sasa mdau, the assumptions is this, mke wako a naona ni sawa kabisa mtu kuwasiliana na x wake na kuonana naye, mke wako is a time bomb. Weka msimamo mkali akishindwa fukuza.
Punguza hasira mkuu
 
Binadamu bhana, kweli tuna vichwa ngumu...,kwann uwasiliane na MTU ambaye hakukupa thamani...ivi wanajua maana ya ex kweli? Inaumiza sana....kiukweli masingle mom tuacheni tu hata msituoe...tumekubuhu..khaa
Unawatoto wangapi mupendwa
 
Wasichana fresh wamejaa nchi hii. Ukienda Mbeya unaweza kurudi na kumi, ukienda Tanga unapata mabikra sio chini ya Mia, halafu MTU Tena ticha anaoa single mother. Hawa mabikra mnatuachia sisi tuliooa?
Single mother unamvalisha shela kabisa, halafu kwa wenzio unajiita unaakili? Singo maza kwa mchepuko sawa lkn sio ndoa.
Vya rahisi vinaponza.
 
Aiseee,, bro anazingua, shemeji amempa nguvu nyingi sana, Mimi mke wangu hawezi ruhusu kuingiza mashoga zake ndani kwangu bila kunijulisha kwanza Kuna ugeni, hata Kama siko nyumbani
Nanyi mnatuchanganya kuweka avatar za kichawa humu!
Sura ya kike, mchango wa kiume!
 
Acha kuwa legelege kaka, masuala ya familia mwanaume hutakiwi uongee mara 2 kwa jambo Moja.

Wanawake huwa wanapima upepo, ukiona mkeo umemwambia jambo la serious kama hilo tangu jana mpaka leo hajatelekeleza, ashakupima na ameona anakumudu.

Binafsi ana uhuru wa kutosha ila upuuzi hathubutu kufanya.
 
Back
Top Bottom