Mke wangu kawa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya jirani yangu

Pole mwanangu.

Huyo mke wa mtu kamkabidhi kwa wasimamizi wa ndoa au kwa wachungaji waliofunga hiyo ndoa.

Mkeo mkanye na mpe onyo.

Usivunje ndoa yako kwa ajili ya mwanamke malayah.
Dada napingana na wewe, mke wake ndiye aliyefanya connection za kuwakutanisha Malaya, naye si msafi, Kama anafanya nyumba ya mumewe kuwa danguro Kuna mke hapo? Huenda hata mke wake anaingiza wanaume kwa upuuzi huu
 
Chai
 
Ivi ulishamalizaga matatizo yako na mume wako au una mume mwingine?
 
Mkeo ni Kabila gani mkuu maana inaonekana ana tabia za kiswahili sana
 
Itakuwa baba D amekuwa akimrushia vihela mama D, vya kumfumbaaa

** sio mahusiano yote mwenza wako akikwambia yameisha kila mtu kivyake ni kweli waalahi vileee siku ya siku wanabanduana tuuu

*kuendelea kuwasiliana na mwenza/mpenzi wako wa zamani ni sawa na kutembelea kipisi cha mua kama mkongojo jangwani saa na muda wowote unatafunaa hamna pingamizi
 
Wewe Ni genius, talented and charismatic fella
 
M ninachoshauri kaa na ticha kma m.me mwenzako muelezee uhalisia ulivo amrudishe mke wake
 
Samahanini kwa ushauri mbovu
Ungekuwa na uwezo anza kuchapa marafiki wa mke wako, siku akijua hatorudia kukaribisha mashoga zake hapo nyumbani
Kwakwel ni aibu
 
Kuna post niliwahi sema humu, ukioa single mother hakikisha UMEONA MAITI ya baba wa mtoto, vinginevyo utakuja kutia.

Kosa lako mkuu ni hili: kwa nini uliruhusu mkeo awe kuwadi wa mke wa Mwalimu? Hakuchukua hatua za kutosha kuzuia upumbavu huu, ndio maana waliendelea. Sasa ukweli uko hivi, huyo mwanamke ni msiri wa mkeo, hivyo hata kama kuna njemba watamtaka mkeo tayari kuna njia ya kupita kiurahisi sana tu. Ni muhimu kuchagua marafiki wa mkeo, hilo ni muhimu kabisa, acha unyonge.
 
Usemalo Ni kweli kabisa mkuu,
Sema binti alitakiwa kujua Yuko kwenye mahusiano mengine kabisa.

Tena mahusiano serious na official kabisa
Hakupaswa ku-entertain upuuzi wa namna hiyo kwa jamaa
 
Kuna post niliwahi sema humu, ukioa single mother hakikisha UMEONA MAITI ya baba wa mtoto, vinginevyo utakuja kutia.

Kosa lako mkuu ni hili: kwa nini uliruhusu mkeo awe kuwadi wa mke wa Mwalimu?
Niliruhusu vip wkt matukio yote yanatokea nilikua Sijui,
Mkuu, mi sio mtu wa kushinda nyumbani

Nikiondoka asbh, kurudi ni saa 5 au 6 usiku
 
Safi sana. Kuna siku niliandika nikasema kuna maroho mwanaume au mwanamke anaechepuka anaweza kuyaleta nyumbani. Sasa mkeo yumkin ndo maroho yashaanza kumvaa..au yashamvaa tayari. Nakumbuka ulisemaga ana hofu ua Mungu...is this hofu ya Mungu uliokua unaiongelea.

Ukitaka kujua akili zetu sisi viumbe kaangalieni page ya lamata leah kwa kisa kinachoendelea kwenye tamthilia ya juakali..kule kuna mwanamke alitendwa na mwanaume msomi wa nchi za nje. Akahangaika mpk akapata ukichaa. Akaja kupona.

Akapata mpenzi mwngne. Tena jamaa kampenda sana yule dada. Dada akapata safar ya South. Kwenda kule kakutana na jamaa wa mwanzo. Dada kamuacha bwana dereva wa magari chumbani. Akamdanganya anaenda kwenye party ya ofisi. Kumbe kaenda kidate.

Akaliwa...mengne kama uko interested utaenda kusoma. Sasa kasome comments kule. Ndo utaelewa point ninayotaka kusema. Aisee kule wadad weng wamemsupport yule dada kurudiana na bwana wa mwanzo aka ex.

Wanaume mnaweza imagine. Wanawake wengi wamesupport yule dada kurudiana na ex wake. Eti wanasema ni handsome, wengne wanasema anajielewa..huyu kapuku achana nae. Sasa imagine ndo umeoa mwanamke wa dizain hii. Na mnawapenda maana wana vyura hatari. Kumbe mnavamia mitumbwi ya vibwengo. Mkisoma comments kule mtasikitika sana.

Janga la watu kurudiana na maex naona linazidi kukuwa. Very sad na aibu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…