Mke wangu kawa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya jirani yangu

Mke wangu kawa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya jirani yangu

Pole mwanangu.

Huyo mke wa mtu kamkabidhi kwa wasimamizi wa ndoa au kwa wachungaji waliofunga hiyo ndoa.

Mkeo mkanye na mpe onyo.

Usivunje ndoa yako kwa ajili ya mwanamke malayah.
Dada napingana na wewe, mke wake ndiye aliyefanya connection za kuwakutanisha Malaya, naye si msafi, Kama anafanya nyumba ya mumewe kuwa danguro Kuna mke hapo? Huenda hata mke wake anaingiza wanaume kwa upuuzi huu
 
Wakuu,
Naandikaga Uzi huu nikiwa nmefedheheka Sana, kuna depression naifeel kabisa kufuani mwangu maana hata jamii sasa inanitizama tofauti Sana.

NI HIVI,
Kuna binti mmoja hapa mtaani Ni shoga ake na wife wangu kaolewa mwaka Jana kwa harusi na Jamaa mmoja Ni Ticha wa shule ya sekondari kajenga Hapa Hapa mtaani kwetu.

Kabla ya kuolewa na ticha,
Huyu binti Alishazalishwa mtoto mmoja wa kike na jamaa mmoja asiyejulikana,
binti anasema jamaa alkua Ni mchaga.

Kwa maelezo ya binti,
Ni kwamba uyo baba wa mtoto wake alienda South Africa kutafta maisha tangu 2015 alimuacha akiwa na mimba ya miez 8 na hajawai kurudi kabisa Wala Hawana mawasiliano yoyote na uyo mzazi mwenzie.

Na kweli Miaka yote 6 binti yupo Hapa mtaani anaishi TU kwa kujitegemea kwa deiwaka za kupika kwenye saiti mbalimbali za ujenzi,Yaan pakiwa mahali ujenzi unaendelea, ataomba kazi ya upishi kwa mafundi na kulipwa kwa kila sahani ya chakula.

Asipofanya huo upishi,
Basi atapiga vibarua vingine vya saidia fundi, kulima bustani, kukata majani ya ng'ombe, na shughuli nyngn Ndogo ndog za kuunga unga ili kupata kula.

Sometimes akikosa kabisa atakuja kwa wife amsaidie kazi mbili tatu ili mradi apate hata chakula Chake na mwanae na maisha yanasonga.

Akipata kazi za mbali,
atamuacha binti yake kwa wife siku mbili tatu ataenda mbali uko kufanya vibarua vyake ,akirud anamchukua binti Yake na kuendelea na maisha yake.

Hata uyu mme aliemuoa bila shaka walikutana kwenye hivo vibarua maana hata nyumba ya uyo ticha alojenga, yule binti kawapikia sana mafundi wake. Kuna kipindi Nilikua namkuta sana pale anapika maana ticha aliniungisha Sana material za ujenzi kipind chote mpaka anamaliza nyumba yake. Nilikua nafanya delivery.

Sijui nn kiliendelea hapo katikati,
Ila nakumbuka mwaka jana binti alituletea kadi ya mwaliko wa harusi, Na Kwasababu ya ukaribu wangu na uyo ticha, afu ukaribu wa wife na uyo binti. Tulishauriana tuwasapoti vizur.

Mimi na wife Tulichangia kadi ya kamati kabisa, na wife Aliparticipate Sana kwenye kamati mpk harusi nzima inaisha. Mi nilikua bize sana, sema nilihudhuria TU siku ya harusi Kama wengine.

Na ticha rasmi akamhamishia binti kwenye nyumba yake mpya na wakaanza kuishi Kama MKE na mme.
Nasisi tukawa Kama family frendi na majiran zao wa karibu sana.

Sasa Always simu ya wife wangu huwa iko under my surveillance 24/7.
Sio kwenye calls,sms hadi WhatsApp. (Hapa Msinipopoe kwann namspy wife, Kila abiria achunge mzigo wake [emoji4])

sasa Hivi karibuni
Nilikuja gundua Simu ya wife wangu karibu wiki nzima Kuna namba ngeni huwa Anaongea nayo Sana,Tena mDA ambao ndo nakua nmeenda kazini (saa 2asbh- saa 5 asbh).

Wikend ilopita asbh
wife katoka church Ikabd kumuuliza
"Huwa Ni Nani uyu naba Yake inaishia na 23 mnawasiliana sana nnapokua nmeenda kazin na dkk zote hizi mnakuaga mnaongea nn"

Wife Akanambia sio yeye anayepiga Hii namba, Ni shoga ake mama D ndo huwa anaazima Simu Yake kuwasiliana, Nikaomba namba Yake mama D na kumpgia kua aje nyumban kwangu mara Moja namhitaji. Kweli akaja.

Nikamuita pemben na kumuuliza khs Iyo namba, Akanambia uyo Ni mzazi mwenzie yaan baba D. Nikamuuliza una uhakika? akasema ndio.
Nikamwambia Piga Hapa Hapa kwa simu ya wife muongee kdg nimskie, kweli akampigia jamaa ikiwa loudspika wakaongea mawili matatu ikawa imeisha hivyo, nikamruhusu aondoke.

Ila Sasa baada ya kuondoka nikabaki najiuliza maswali,
-kwann atumie Simu ya wife na wkt Simu yake anayo?
-kama Ni kuishiwa vocha labda siku Moja, kwann Ni wiki nzima mfulurizo?
-kuna Nini anaficha mpk aongee na mzazi mwenzie kwa Siri namna Hii?
-usikute anamcheat ticha kwa mzazi mwenzie afu dalali mkuu Ni wife wangu?
-hivi ticha akija kujua Hii kitu atanichukuliaje Mimi na familia yangu?

Anyway,
Ikabd Kumuita Tena binti
na kweli akarudi na Nikamuuliza maswali yote Hapo juu.

Akajitetea kwamba
" Baba D mwezi wa 6 alnipigia anasema namba yangu kaipata facebook na ndo amerud toka South Africa anataka tuoane ili tushirikiane kumlea D. nikamwambia nishaolewa tayar akaelewa. Baadae mme wangu akagundua tunawasiliana wakajibizana Sana kwenye Simu na kunambia niifute namba yake na kuiblock kabisa.

"Kwaiyo Ndo nikawa nawasiliana nae kutumia Simu ya mamaG, ila ni kuhusu maendeleo ya mtoto wetu na sio mambo ya mapenzi na nilifanya ivo ili nisimkwaze mme wangu. Nisamehe sana Kama nmekukosea baba G"

Nikamwambia,
"Hujanikosea Mimi Bali umemkosea uyo mmeo, Hiki unachofanya Ni uhuni na utovu wa nidham kwa mmeo. Heshimu kauli ya mmeo. Kama jamaa anataka kumuona au kuongea na mwanae, mpeleke mtoto kwa Bibi yake jamaa akaongee nae uko uko na sio hiki unachokifanya kupitia mgongo wa mke wangu"
Akasema sawa kanielewa, tukaagana na akaondoka.

Nikarud kwa wife na kumwambia
"Iwe mwanzo na mwisho kurudia hiki ulichokifanya, sitaki familia yangu iwe chanzo Cha migogoro kwenye ndoa za Watu."
Wife Akasema "sawa nmekuelewa" ikaisha hivyo.

Sasa Jana asbh nikiwa kazini nikapigiwa simu na wife niende nyumban Kuna Tatizo, nikamwambia ntakuja. Sijakaa sawa mwenyekiti wa mtaa nae ananipigia niende nyumban Kuna matatzo, nikajua this is serious.
Nikaweka mambo yangu sawa, nikaenda.

Nmefka home nakuta watu hawapo, naambiwa wako kwa mwenyekiti,
Sio mbali Sana, nikaenda tu kwa mguu.
Nmefika kwa mwenyekiti namkuta wife, binti, yule ticha na jamaa mmoja na mwanamke mmoja wako wanaendelea kutoa maelezo mmoja baada ya mwingine.nami nikaketi nikasikiliza.

Kwa maelezo ya pale,
Inaonekana Binti alikwenda kukutana na mzazi mwenzie mazingira ya nyumban kwangu kwa ajili ya maongezi na kumuona mtoto.
Na iyo jana ilkua Ni Mara yao ya 3 jamaa anafika pale wanakutana na kuongea.

But this time
Mchaga alikuja na dada yake lengo Ni kumshawishi binti warudiane wakaishi wote, iliposhindikana baada ya binti kumueleza kwamba keshaolewa na hawezi kumuacha mme wake(ticha).
Basi mchaga na dada yake yake wakawa wanalazimisha waondoke na mtoto wao, na hapo hapo ndipo mzozo zaidi ukaibuka na kupelekea binti na dada yake mchaga wakaanza rushiana Maneno, matusi Kisha kupigana na kujaza watu.
Mchaga, wife na baadhi ya waliofika wakawa wanaamulia ugomvi ule.

Sasa Mzozo ulivokua mkali zaidi,
ticha kapigiwa Simu na majiran na kufika pale. katika majibizano ya hapa na pale. Ticha na Mchaga nao wakaanza kupigana ngumi na kupelekea kujaza watu zaidi Hadi mwenyekiti wa mtaa kuitwa na kufika pale,kisha kuwaamulia na kanipigia Simu Mimi niende kwake.

Kwa maelezo ya ticha,
Ni kwamba lawama zote anazielekeza kwa MKE wangu maana ndio kiunganishi kikuu na chanzo Cha ugomvi wote Ni yeye kua daraja la kuwakutanisha na wale jamaa.
Ticha Anasema kuna siku alisikia kwamba Huwa wanakutana pale kwangu na kumfata kumuuliza MKE wangu UKWELI wa habari hizo, ila MKE wang alikana kata kata hizo habari, nae kwa kumuheshimu akapotezea.
Leo mchaga anasema mwenyewe mara ya 3 wanakutania pale kwangu. Ameumia na Amejiskia vibaya Sana.

Ticha akahitimisha kwa kusema kua alishamuonya Sana MKE wake ila amekaidi uku akiendelea na nyendo zake za Siri na mzazi mwenzie.
Ni wazi kabisa MKE wake bado ana mapenz na mzazi mwenzie, hivyo hawez lazimisha kua nae tena na amemuachia rasmi mchaga wakaishi wote, mchaga akakubali ila binti kakataa uku akilia na kusema bado anamhitaji mme wake. Ticha akaondoka.

Kiukweli ticha baada ya kuondoka pale nilijihisi hasira sana kila nikimuangalia wife anavojieleza vitu having mashiko, nikaona Kama nikiendelea kukaa pale kumsikikiza naweza mzaba makofi mbele ya mwenyekiti afu iwe fedhea tena.
Ni Bora niondoke pale kuepusha Shari.

Nikamuaga mwnykiti kua natoka Mara moja,pale nmeacha milango ya Gari wazi kuna documents muhimu ila sikawii Sana, nikaenda kuwasha gar na kuondoka Moja kwa moja mpk dukan kwangu nikaingia stoo nikajifungia na kutuliza KICHWA mpk MDA wa kufunga alipofika.

Jion nmefika nyumbani
Namkuta yule binti na mwanae wakiwa na wife seblen wanaangalia tv. Sikuwasemesha nikapitiliza moja kwa Moja mpk dining kuchukua maji baridi ya kunywa na kumfata shemej yangu jikoni (mdg wake na wife) na kumuuliza khs yule binti na mwanae wamefata Nini hapa.

Akasema
"Ticha kampiga na kumfukuza na begi lake Moja kwa Moja, Na Ndo kaja hapa kwa dada analia, wako seblen wanajadiliana wafanyeje"
nikasema "sawa" nikapitiliza mpk chumban kwangu kulala, nmefumba macho hata usngz hauji maana nna hasira sana na wife afu Nawaza sana ticha ananichukuliaje kwa kuamini familia yangu kuhusika kushiriki kumvunjia ndoa yake.

Haukupita MDA Sana wife nae akaja kulala, Nikamwamsha na kumwambia
"Nakupa siku ya kesho TU,
uyo binti sitaki kumuona hapa,
Fanya arudi kwa mume wake na warudiane haraka sana."

akasema
"Anarudije sasa na mme wake mkorofi kampiga na kumtupia begi lake nje"

Nikamwambia
"Atarudije au watarudianaje Hilo mimi Halinihusu, nnachojua wee Ndo chanzo Cha yote. Ikishindikana wao kurudiana na wewe nikirudi jioni nisikukute, uende kwenu."
Hakujibu chochote, Basi nikalala zangu

Leo alfajir Kama kawaida nmekuja dukan kwangu, kwenye saa 3 nmempigia shemej yangu (mdg wake na wife) kumuuliza Kama binti bado yupo nyumban akanambia kwamba wameondoka na wife kwenda kwenye jumuia kanisani.

Kiukweli hii naiona Kama Ni dharau kubwa sana kwa maelekezo niliyokwishampa tayar khs kumrudisha uyu binti na ndoa yake kwa mumewe.

Nimedhamiria Kama kweli nikirudi jion na kumkuta binti nyumban kwangu, itabidi waondoke wote maana Itakua inaonekana kama nmeoa wake wawili.
MKE wangu ntamrudisha kwao,kama wakiamua wakaishi wote uko kwao na shoga yake sawa TU itakua juu yao.
Siwez beba lawama ya kuvunja ndoa ya watu Kisha MKE wa mtu aliyefukuzwa akaishi kwangu.

Wakuu,
Sijui Kama ntakua nmekosea sana kwa maamuz haya, nmefikira Sana hiki suala na akili yangu imefikia hapo.

Kama Kuna la ziada kunishaur nawakaribishen wakuu[emoji120]
Chai
 
Maisha ya kiswahili plus.
Kuna siku nilikua nasikiliza redio muda wa kuwafunda wanawake.
"Unakuta mwanaume anatoka kazini,mke wake yupo seblen na mashoga zake wanachek zao tamthilia"
Hapo kasema alirudi akaingia chumbani moja kwa moja na wala mkewe hakumfata aliendelea na shoga ake kuchek movie
Hahaahaa ila watu wangepata mtu kama mume wangu
Kesho yake asubuhi tu unaenda kwenu
Ivi ulishamalizaga matatizo yako na mume wako au una mume mwingine?
 
Wakuu,
Naandikaga Uzi huu nikiwa nmefedheheka Sana, kuna depression naifeel kabisa kufuani mwangu maana hata jamii sasa inanitizama tofauti Sana.

NI HIVI,
Kuna binti mmoja hapa mtaani Ni shoga ake na wife wangu kaolewa mwaka Jana kwa harusi na Jamaa mmoja Ni Ticha wa shule ya sekondari kajenga Hapa Hapa mtaani kwetu.

Kabla ya kuolewa na ticha,
Huyu binti Alishazalishwa mtoto mmoja wa kike na jamaa mmoja asiyejulikana,
binti anasema jamaa alkua Ni mchaga.

Kwa maelezo ya binti,
Ni kwamba uyo baba wa mtoto wake alienda South Africa kutafta maisha tangu 2015 alimuacha akiwa na mimba ya miez 8 na hajawai kurudi kabisa Wala Hawana mawasiliano yoyote na uyo mzazi mwenzie.

Na kweli Miaka yote 6 binti yupo Hapa mtaani anaishi TU kwa kujitegemea kwa deiwaka za kupika kwenye saiti mbalimbali za ujenzi,Yaan pakiwa mahali ujenzi unaendelea, ataomba kazi ya upishi kwa mafundi na kulipwa kwa kila sahani ya chakula.

Asipofanya huo upishi,
Basi atapiga vibarua vingine vya saidia fundi, kulima bustani, kukata majani ya ng'ombe, na shughuli nyngn Ndogo ndog za kuunga unga ili kupata kula.

Sometimes akikosa kabisa atakuja kwa wife amsaidie kazi mbili tatu ili mradi apate hata chakula Chake na mwanae na maisha yanasonga.

Akipata kazi za mbali,
atamuacha binti yake kwa wife siku mbili tatu ataenda mbali uko kufanya vibarua vyake ,akirud anamchukua binti Yake na kuendelea na maisha yake.

Hata uyu mme aliemuoa bila shaka walikutana kwenye hivo vibarua maana hata nyumba ya uyo ticha alojenga, yule binti kawapikia sana mafundi wake. Kuna kipindi Nilikua namkuta sana pale anapika maana ticha aliniungisha Sana material za ujenzi kipind chote mpaka anamaliza nyumba yake. Nilikua nafanya delivery.

Sijui nn kiliendelea hapo katikati,
Ila nakumbuka mwaka jana binti alituletea kadi ya mwaliko wa harusi, Na Kwasababu ya ukaribu wangu na uyo ticha, afu ukaribu wa wife na uyo binti. Tulishauriana tuwasapoti vizur.

Mimi na wife Tulichangia kadi ya kamati kabisa, na wife Aliparticipate Sana kwenye kamati mpk harusi nzima inaisha. Mi nilikua bize sana, sema nilihudhuria TU siku ya harusi Kama wengine.

Na ticha rasmi akamhamishia binti kwenye nyumba yake mpya na wakaanza kuishi Kama MKE na mme.
Nasisi tukawa Kama family frendi na majiran zao wa karibu sana.

Sasa Always simu ya wife wangu huwa iko under my surveillance 24/7.
Sio kwenye calls,sms hadi WhatsApp. (Hapa Msinipopoe kwann namspy wife, Kila abiria achunge mzigo wake [emoji4])

sasa Hivi karibuni
Nilikuja gundua Simu ya wife wangu karibu wiki nzima Kuna namba ngeni huwa Anaongea nayo Sana,Tena mDA ambao ndo nakua nmeenda kazini (saa 2asbh- saa 5 asbh).

Wikend ilopita asbh
wife katoka church Ikabd kumuuliza
"Huwa Ni Nani uyu naba Yake inaishia na 23 mnawasiliana sana nnapokua nmeenda kazin na dkk zote hizi mnakuaga mnaongea nn"

Wife Akanambia sio yeye anayepiga Hii namba, Ni shoga ake mama D ndo huwa anaazima Simu Yake kuwasiliana, Nikaomba namba Yake mama D na kumpgia kua aje nyumban kwangu mara Moja namhitaji. Kweli akaja.

Nikamuita pemben na kumuuliza khs Iyo namba, Akanambia uyo Ni mzazi mwenzie yaan baba D. Nikamuuliza una uhakika? akasema ndio.
Nikamwambia Piga Hapa Hapa kwa simu ya wife muongee kdg nimskie, kweli akampigia jamaa ikiwa loudspika wakaongea mawili matatu ikawa imeisha hivyo, nikamruhusu aondoke.

Ila Sasa baada ya kuondoka nikabaki najiuliza maswali,
-kwann atumie Simu ya wife na wkt Simu yake anayo?
-kama Ni kuishiwa vocha labda siku Moja, kwann Ni wiki nzima mfulurizo?
-kuna Nini anaficha mpk aongee na mzazi mwenzie kwa Siri namna Hii?
-usikute anamcheat ticha kwa mzazi mwenzie afu dalali mkuu Ni wife wangu?
-hivi ticha akija kujua Hii kitu atanichukuliaje Mimi na familia yangu?

Anyway,
Ikabd Kumuita Tena binti
na kweli akarudi na Nikamuuliza maswali yote Hapo juu.

Akajitetea kwamba
" Baba D mwezi wa 6 alnipigia anasema namba yangu kaipata facebook na ndo amerud toka South Africa anataka tuoane ili tushirikiane kumlea D. nikamwambia nishaolewa tayar akaelewa. Baadae mme wangu akagundua tunawasiliana wakajibizana Sana kwenye Simu na kunambia niifute namba yake na kuiblock kabisa.

"Kwaiyo Ndo nikawa nawasiliana nae kutumia Simu ya mamaG, ila ni kuhusu maendeleo ya mtoto wetu na sio mambo ya mapenzi na nilifanya ivo ili nisimkwaze mme wangu. Nisamehe sana Kama nmekukosea baba G"

Nikamwambia,
"Hujanikosea Mimi Bali umemkosea uyo mmeo, Hiki unachofanya Ni uhuni na utovu wa nidham kwa mmeo. Heshimu kauli ya mmeo. Kama jamaa anataka kumuona au kuongea na mwanae, mpeleke mtoto kwa Bibi yake jamaa akaongee nae uko uko na sio hiki unachokifanya kupitia mgongo wa mke wangu"
Akasema sawa kanielewa, tukaagana na akaondoka.

Nikarud kwa wife na kumwambia
"Iwe mwanzo na mwisho kurudia hiki ulichokifanya, sitaki familia yangu iwe chanzo Cha migogoro kwenye ndoa za Watu."
Wife Akasema "sawa nmekuelewa" ikaisha hivyo.

Sasa Jana asbh nikiwa kazini nikapigiwa simu na wife niende nyumban Kuna Tatizo, nikamwambia ntakuja. Sijakaa sawa mwenyekiti wa mtaa nae ananipigia niende nyumban Kuna matatzo, nikajua this is serious.
Nikaweka mambo yangu sawa, nikaenda.

Nmefka home nakuta watu hawapo, naambiwa wako kwa mwenyekiti,
Sio mbali Sana, nikaenda tu kwa mguu.
Nmefika kwa mwenyekiti namkuta wife, binti, yule ticha na jamaa mmoja na mwanamke mmoja wako wanaendelea kutoa maelezo mmoja baada ya mwingine.nami nikaketi nikasikiliza.

Kwa maelezo ya pale,
Inaonekana Binti alikwenda kukutana na mzazi mwenzie mazingira ya nyumban kwangu kwa ajili ya maongezi na kumuona mtoto.
Na iyo jana ilkua Ni Mara yao ya 3 jamaa anafika pale wanakutana na kuongea.

But this time
Mchaga alikuja na dada yake lengo Ni kumshawishi binti warudiane wakaishi wote, iliposhindikana baada ya binti kumueleza kwamba keshaolewa na hawezi kumuacha mme wake(ticha).
Basi mchaga na dada yake yake wakawa wanalazimisha waondoke na mtoto wao, na hapo hapo ndipo mzozo zaidi ukaibuka na kupelekea binti na dada yake mchaga wakaanza rushiana Maneno, matusi Kisha kupigana na kujaza watu.
Mchaga, wife na baadhi ya waliofika wakawa wanaamulia ugomvi ule.

Sasa Mzozo ulivokua mkali zaidi,
ticha kapigiwa Simu na majiran na kufika pale. katika majibizano ya hapa na pale. Ticha na Mchaga nao wakaanza kupigana ngumi na kupelekea kujaza watu zaidi Hadi mwenyekiti wa mtaa kuitwa na kufika pale,kisha kuwaamulia na kanipigia Simu Mimi niende kwake.

Kwa maelezo ya ticha,
Ni kwamba lawama zote anazielekeza kwa MKE wangu maana ndio kiunganishi kikuu na chanzo Cha ugomvi wote Ni yeye kua daraja la kuwakutanisha na wale jamaa.
Ticha Anasema kuna siku alisikia kwamba Huwa wanakutana pale kwangu na kumfata kumuuliza MKE wangu UKWELI wa habari hizo, ila MKE wang alikana kata kata hizo habari, nae kwa kumuheshimu akapotezea.
Leo mchaga anasema mwenyewe mara ya 3 wanakutania pale kwangu. Ameumia na Amejiskia vibaya Sana.

Ticha akahitimisha kwa kusema kua alishamuonya Sana MKE wake ila amekaidi uku akiendelea na nyendo zake za Siri na mzazi mwenzie.
Ni wazi kabisa MKE wake bado ana mapenz na mzazi mwenzie, hivyo hawez lazimisha kua nae tena na amemuachia rasmi mchaga wakaishi wote, mchaga akakubali ila binti kakataa uku akilia na kusema bado anamhitaji mme wake. Ticha akaondoka.

Kiukweli ticha baada ya kuondoka pale nilijihisi hasira sana kila nikimuangalia wife anavojieleza vitu having mashiko, nikaona Kama nikiendelea kukaa pale kumsikikiza naweza mzaba makofi mbele ya mwenyekiti afu iwe fedhea tena.
Ni Bora niondoke pale kuepusha Shari.

Nikamuaga mwnykiti kua natoka Mara moja,pale nmeacha milango ya Gari wazi kuna documents muhimu ila sikawii Sana, nikaenda kuwasha gar na kuondoka Moja kwa moja mpk dukan kwangu nikaingia stoo nikajifungia na kutuliza KICHWA mpk MDA wa kufunga alipofika.

Jion nmefika nyumbani
Namkuta yule binti na mwanae wakiwa na wife seblen wanaangalia tv. Sikuwasemesha nikapitiliza moja kwa Moja mpk dining kuchukua maji baridi ya kunywa na kumfata shemej yangu jikoni (mdg wake na wife) na kumuuliza khs yule binti na mwanae wamefata Nini hapa.

Akasema
"Ticha kampiga na kumfukuza na begi lake Moja kwa Moja, Na Ndo kaja hapa kwa dada analia, wako seblen wanajadiliana wafanyeje"
nikasema "sawa" nikapitiliza mpk chumban kwangu kulala, nmefumba macho hata usngz hauji maana nna hasira sana na wife afu Nawaza sana ticha ananichukuliaje kwa kuamini familia yangu kuhusika kushiriki kumvunjia ndoa yake.

Haukupita MDA Sana wife nae akaja kulala, Nikamwamsha na kumwambia
"Nakupa siku ya kesho TU,
uyo binti sitaki kumuona hapa,
Fanya arudi kwa mume wake na warudiane haraka sana."

akasema
"Anarudije sasa na mme wake mkorofi kampiga na kumtupia begi lake nje"

Nikamwambia
"Atarudije au watarudianaje Hilo mimi Halinihusu, nnachojua wee Ndo chanzo Cha yote. Ikishindikana wao kurudiana na wewe nikirudi jioni nisikukute, uende kwenu."
Hakujibu chochote, Basi nikalala zangu

Leo alfajir Kama kawaida nmekuja dukan kwangu, kwenye saa 3 nmempigia shemej yangu (mdg wake na wife) kumuuliza Kama binti bado yupo nyumban akanambia kwamba wameondoka na wife kwenda kwenye jumuia kanisani.

Kiukweli hii naiona Kama Ni dharau kubwa sana kwa maelekezo niliyokwishampa tayar khs kumrudisha uyu binti na ndoa yake kwa mumewe.

Nimedhamiria Kama kweli nikirudi jion na kumkuta binti nyumban kwangu, itabidi waondoke wote maana Itakua inaonekana kama nmeoa wake wawili.
MKE wangu ntamrudisha kwao,kama wakiamua wakaishi wote uko kwao na shoga yake sawa TU itakua juu yao.
Siwez beba lawama ya kuvunja ndoa ya watu Kisha MKE wa mtu aliyefukuzwa akaishi kwangu.

Wakuu,
Sijui Kama ntakua nmekosea sana kwa maamuz haya, nmefikira Sana hiki suala na akili yangu imefikia hapo.

Kama Kuna la ziada kunishaur nawakaribishen wakuu[emoji120]
Mkeo ni Kabila gani mkuu maana inaonekana ana tabia za kiswahili sana
 
Itakuwa baba D amekuwa akimrushia vihela mama D, vya kumfumbaaa

** sio mahusiano yote mwenza wako akikwambia yameisha kila mtu kivyake ni kweli waalahi vileee siku ya siku wanabanduana tuuu

*kuendelea kuwasiliana na mwenza/mpenzi wako wa zamani ni sawa na kutembelea kipisi cha mua kama mkongojo jangwani saa na muda wowote unatafunaa hamna pingamizi
 
Wakuu,
Naandikaga Uzi huu nikiwa nmefedheheka Sana, kuna depression naifeel kabisa kufuani mwangu maana hata jamii sasa inanitizama tofauti Sana.

NI HIVI,
Kuna binti mmoja hapa mtaani Ni shoga ake na wife wangu kaolewa mwaka Jana kwa harusi na Jamaa mmoja Ni Ticha wa shule ya sekondari kajenga Hapa Hapa mtaani kwetu.

Kabla ya kuolewa na ticha,
Huyu binti Alishazalishwa mtoto mmoja wa kike na jamaa mmoja asiyejulikana,
binti anasema jamaa alkua Ni mchaga.

Kwa maelezo ya binti,
Ni kwamba uyo baba wa mtoto wake alienda South Africa kutafta maisha tangu 2015 alimuacha akiwa na mimba ya miez 8 na hajawai kurudi kabisa Wala Hawana mawasiliano yoyote na uyo mzazi mwenzie.

Na kweli Miaka yote 6 binti yupo Hapa mtaani anaishi TU kwa kujitegemea kwa deiwaka za kupika kwenye saiti mbalimbali za ujenzi,Yaan pakiwa mahali ujenzi unaendelea, ataomba kazi ya upishi kwa mafundi na kulipwa kwa kila sahani ya chakula.

Asipofanya huo upishi,
Basi atapiga vibarua vingine vya saidia fundi, kulima bustani, kukata majani ya ng'ombe, na shughuli nyngn Ndogo ndog za kuunga unga ili kupata kula.

Sometimes akikosa kabisa atakuja kwa wife amsaidie kazi mbili tatu ili mradi apate hata chakula Chake na mwanae na maisha yanasonga.

Akipata kazi za mbali,
atamuacha binti yake kwa wife siku mbili tatu ataenda mbali uko kufanya vibarua vyake ,akirud anamchukua binti Yake na kuendelea na maisha yake.

Hata uyu mme aliemuoa bila shaka walikutana kwenye hivo vibarua maana hata nyumba ya uyo ticha alojenga, yule binti kawapikia sana mafundi wake. Kuna kipindi Nilikua namkuta sana pale anapika maana ticha aliniungisha Sana material za ujenzi kipind chote mpaka anamaliza nyumba yake. Nilikua nafanya delivery.

Sijui nn kiliendelea hapo katikati,
Ila nakumbuka mwaka jana binti alituletea kadi ya mwaliko wa harusi, Na Kwasababu ya ukaribu wangu na uyo ticha, afu ukaribu wa wife na uyo binti. Tulishauriana tuwasapoti vizur.

Mimi na wife Tulichangia kadi ya kamati kabisa, na wife Aliparticipate Sana kwenye kamati mpk harusi nzima inaisha. Mi nilikua bize sana, sema nilihudhuria TU siku ya harusi Kama wengine.

Na ticha rasmi akamhamishia binti kwenye nyumba yake mpya na wakaanza kuishi Kama MKE na mme.
Nasisi tukawa Kama family frendi na majiran zao wa karibu sana.

Sasa Always simu ya wife wangu huwa iko under my surveillance 24/7.
Sio kwenye calls,sms hadi WhatsApp. (Hapa Msinipopoe kwann namspy wife, Kila abiria achunge mzigo wake [emoji4])

sasa Hivi karibuni
Nilikuja gundua Simu ya wife wangu karibu wiki nzima Kuna namba ngeni huwa Anaongea nayo Sana,Tena mDA ambao ndo nakua nmeenda kazini (saa 2asbh- saa 5 asbh).

Wikend ilopita asbh
wife katoka church Ikabd kumuuliza
"Huwa Ni Nani uyu naba Yake inaishia na 23 mnawasiliana sana nnapokua nmeenda kazin na dkk zote hizi mnakuaga mnaongea nn"

Wife Akanambia sio yeye anayepiga Hii namba, Ni shoga ake mama D ndo huwa anaazima Simu Yake kuwasiliana, Nikaomba namba Yake mama D na kumpgia kua aje nyumban kwangu mara Moja namhitaji. Kweli akaja.

Nikamuita pemben na kumuuliza khs Iyo namba, Akanambia uyo Ni mzazi mwenzie yaan baba D. Nikamuuliza una uhakika? akasema ndio.
Nikamwambia Piga Hapa Hapa kwa simu ya wife muongee kdg nimskie, kweli akampigia jamaa ikiwa loudspika wakaongea mawili matatu ikawa imeisha hivyo, nikamruhusu aondoke.

Ila Sasa baada ya kuondoka nikabaki najiuliza maswali,
-kwann atumie Simu ya wife na wkt Simu yake anayo?
-kama Ni kuishiwa vocha labda siku Moja, kwann Ni wiki nzima mfulurizo?
-kuna Nini anaficha mpk aongee na mzazi mwenzie kwa Siri namna Hii?
-usikute anamcheat ticha kwa mzazi mwenzie afu dalali mkuu Ni wife wangu?
-hivi ticha akija kujua Hii kitu atanichukuliaje Mimi na familia yangu?

Anyway,
Ikabd Kumuita Tena binti
na kweli akarudi na Nikamuuliza maswali yote Hapo juu.

Akajitetea kwamba
" Baba D mwezi wa 6 alnipigia anasema namba yangu kaipata facebook na ndo amerud toka South Africa anataka tuoane ili tushirikiane kumlea D. nikamwambia nishaolewa tayar akaelewa. Baadae mme wangu akagundua tunawasiliana wakajibizana Sana kwenye Simu na kunambia niifute namba yake na kuiblock kabisa.

"Kwaiyo Ndo nikawa nawasiliana nae kutumia Simu ya mamaG, ila ni kuhusu maendeleo ya mtoto wetu na sio mambo ya mapenzi na nilifanya ivo ili nisimkwaze mme wangu. Nisamehe sana Kama nmekukosea baba G"

Nikamwambia,
"Hujanikosea Mimi Bali umemkosea uyo mmeo, Hiki unachofanya Ni uhuni na utovu wa nidham kwa mmeo. Heshimu kauli ya mmeo. Kama jamaa anataka kumuona au kuongea na mwanae, mpeleke mtoto kwa Bibi yake jamaa akaongee nae uko uko na sio hiki unachokifanya kupitia mgongo wa mke wangu"
Akasema sawa kanielewa, tukaagana na akaondoka.

Nikarud kwa wife na kumwambia
"Iwe mwanzo na mwisho kurudia hiki ulichokifanya, sitaki familia yangu iwe chanzo Cha migogoro kwenye ndoa za Watu."
Wife Akasema "sawa nmekuelewa" ikaisha hivyo.

Sasa Jana asbh nikiwa kazini nikapigiwa simu na wife niende nyumban Kuna Tatizo, nikamwambia ntakuja. Sijakaa sawa mwenyekiti wa mtaa nae ananipigia niende nyumban Kuna matatzo, nikajua this is serious.
Nikaweka mambo yangu sawa, nikaenda.

Nmefka home nakuta watu hawapo, naambiwa wako kwa mwenyekiti,
Sio mbali Sana, nikaenda tu kwa mguu.
Nmefika kwa mwenyekiti namkuta wife, binti, yule ticha na jamaa mmoja na mwanamke mmoja wako wanaendelea kutoa maelezo mmoja baada ya mwingine.nami nikaketi nikasikiliza.

Kwa maelezo ya pale,
Inaonekana Binti alikwenda kukutana na mzazi mwenzie mazingira ya nyumban kwangu kwa ajili ya maongezi na kumuona mtoto.
Na iyo jana ilkua Ni Mara yao ya 3 jamaa anafika pale wanakutana na kuongea.

But this time
Mchaga alikuja na dada yake lengo Ni kumshawishi binti warudiane wakaishi wote, iliposhindikana baada ya binti kumueleza kwamba keshaolewa na hawezi kumuacha mme wake(ticha).
Basi mchaga na dada yake yake wakawa wanalazimisha waondoke na mtoto wao, na hapo hapo ndipo mzozo zaidi ukaibuka na kupelekea binti na dada yake mchaga wakaanza rushiana Maneno, matusi Kisha kupigana na kujaza watu.
Mchaga, wife na baadhi ya waliofika wakawa wanaamulia ugomvi ule.

Sasa Mzozo ulivokua mkali zaidi,
ticha kapigiwa Simu na majiran na kufika pale. katika majibizano ya hapa na pale. Ticha na Mchaga nao wakaanza kupigana ngumi na kupelekea kujaza watu zaidi Hadi mwenyekiti wa mtaa kuitwa na kufika pale,kisha kuwaamulia na kanipigia Simu Mimi niende kwake.

Kwa maelezo ya ticha,
Ni kwamba lawama zote anazielekeza kwa MKE wangu maana ndio kiunganishi kikuu na chanzo Cha ugomvi wote Ni yeye kua daraja la kuwakutanisha na wale jamaa.
Ticha Anasema kuna siku alisikia kwamba Huwa wanakutana pale kwangu na kumfata kumuuliza MKE wangu UKWELI wa habari hizo, ila MKE wang alikana kata kata hizo habari, nae kwa kumuheshimu akapotezea.
Leo mchaga anasema mwenyewe mara ya 3 wanakutania pale kwangu. Ameumia na Amejiskia vibaya Sana.

Ticha akahitimisha kwa kusema kua alishamuonya Sana MKE wake ila amekaidi uku akiendelea na nyendo zake za Siri na mzazi mwenzie.
Ni wazi kabisa MKE wake bado ana mapenz na mzazi mwenzie, hivyo hawez lazimisha kua nae tena na amemuachia rasmi mchaga wakaishi wote, mchaga akakubali ila binti kakataa uku akilia na kusema bado anamhitaji mme wake. Ticha akaondoka.

Kiukweli ticha baada ya kuondoka pale nilijihisi hasira sana kila nikimuangalia wife anavojieleza vitu having mashiko, nikaona Kama nikiendelea kukaa pale kumsikikiza naweza mzaba makofi mbele ya mwenyekiti afu iwe fedhea tena.
Ni Bora niondoke pale kuepusha Shari.

Nikamuaga mwnykiti kua natoka Mara moja,pale nmeacha milango ya Gari wazi kuna documents muhimu ila sikawii Sana, nikaenda kuwasha gar na kuondoka Moja kwa moja mpk dukan kwangu nikaingia stoo nikajifungia na kutuliza KICHWA mpk MDA wa kufunga alipofika.

Jion nmefika nyumbani
Namkuta yule binti na mwanae wakiwa na wife seblen wanaangalia tv. Sikuwasemesha nikapitiliza moja kwa Moja mpk dining kuchukua maji baridi ya kunywa na kumfata shemej yangu jikoni (mdg wake na wife) na kumuuliza khs yule binti na mwanae wamefata Nini hapa.

Akasema
"Ticha kampiga na kumfukuza na begi lake Moja kwa Moja, Na Ndo kaja hapa kwa dada analia, wako seblen wanajadiliana wafanyeje"
nikasema "sawa" nikapitiliza mpk chumban kwangu kulala, nmefumba macho hata usngz hauji maana nna hasira sana na wife afu Nawaza sana ticha ananichukuliaje kwa kuamini familia yangu kuhusika kushiriki kumvunjia ndoa yake.

Haukupita MDA Sana wife nae akaja kulala, Nikamwamsha na kumwambia
"Nakupa siku ya kesho TU,
uyo binti sitaki kumuona hapa,
Fanya arudi kwa mume wake na warudiane haraka sana."

akasema
"Anarudije sasa na mme wake mkorofi kampiga na kumtupia begi lake nje"

Nikamwambia
"Atarudije au watarudianaje Hilo mimi Halinihusu, nnachojua wee Ndo chanzo Cha yote. Ikishindikana wao kurudiana na wewe nikirudi jioni nisikukute, uende kwenu."
Hakujibu chochote, Basi nikalala zangu

Leo alfajir Kama kawaida nmekuja dukan kwangu, kwenye saa 3 nmempigia shemej yangu (mdg wake na wife) kumuuliza Kama binti bado yupo nyumban akanambia kwamba wameondoka na wife kwenda kwenye jumuia kanisani.

Kiukweli hii naiona Kama Ni dharau kubwa sana kwa maelekezo niliyokwishampa tayar khs kumrudisha uyu binti na ndoa yake kwa mumewe.

Nimedhamiria Kama kweli nikirudi jion na kumkuta binti nyumban kwangu, itabidi waondoke wote maana Itakua inaonekana kama nmeoa wake wawili.
MKE wangu ntamrudisha kwao,kama wakiamua wakaishi wote uko kwao na shoga yake sawa TU itakua juu yao.
Siwez beba lawama ya kuvunja ndoa ya watu Kisha MKE wa mtu aliyefukuzwa akaishi kwangu.

Wakuu,
Sijui Kama ntakua nmekosea sana kwa maamuz haya, nmefikira Sana hiki suala na akili yangu imefikia hapo.

Kama Kuna la ziada kunishaur nawakaribishen wakuu[emoji120]
Wewe Ni genius, talented and charismatic fella
 
Wakuu,
Naandikaga Uzi huu nikiwa nmefedheheka Sana, kuna depression naifeel kabisa kufuani mwangu maana hata jamii sasa inanitizama tofauti Sana.

NI HIVI,
Kuna binti mmoja hapa mtaani Ni shoga ake na wife wangu kaolewa mwaka Jana kwa harusi na Jamaa mmoja Ni Ticha wa shule ya sekondari kajenga Hapa Hapa mtaani kwetu.

Kabla ya kuolewa na ticha,
Huyu binti Alishazalishwa mtoto mmoja wa kike na jamaa mmoja asiyejulikana,
binti anasema jamaa alkua Ni mchaga.

Kwa maelezo ya binti,
Ni kwamba uyo baba wa mtoto wake alienda South Africa kutafta maisha tangu 2015 alimuacha akiwa na mimba ya miez 8 na hajawai kurudi kabisa Wala Hawana mawasiliano yoyote na uyo mzazi mwenzie.

Na kweli Miaka yote 6 binti yupo Hapa mtaani anaishi TU kwa kujitegemea kwa deiwaka za kupika kwenye saiti mbalimbali za ujenzi,Yaan pakiwa mahali ujenzi unaendelea, ataomba kazi ya upishi kwa mafundi na kulipwa kwa kila sahani ya chakula.

Asipofanya huo upishi,
Basi atapiga vibarua vingine vya saidia fundi, kulima bustani, kukata majani ya ng'ombe, na shughuli nyngn Ndogo ndog za kuunga unga ili kupata kula.

Sometimes akikosa kabisa atakuja kwa wife amsaidie kazi mbili tatu ili mradi apate hata chakula Chake na mwanae na maisha yanasonga.

Akipata kazi za mbali,
atamuacha binti yake kwa wife siku mbili tatu ataenda mbali uko kufanya vibarua vyake ,akirud anamchukua binti Yake na kuendelea na maisha yake.

Hata uyu mme aliemuoa bila shaka walikutana kwenye hivo vibarua maana hata nyumba ya uyo ticha alojenga, yule binti kawapikia sana mafundi wake. Kuna kipindi Nilikua namkuta sana pale anapika maana ticha aliniungisha Sana material za ujenzi kipind chote mpaka anamaliza nyumba yake. Nilikua nafanya delivery.

Sijui nn kiliendelea hapo katikati,
Ila nakumbuka mwaka jana binti alituletea kadi ya mwaliko wa harusi, Na Kwasababu ya ukaribu wangu na uyo ticha, afu ukaribu wa wife na uyo binti. Tulishauriana tuwasapoti vizur.

Mimi na wife Tulichangia kadi ya kamati kabisa, na wife Aliparticipate Sana kwenye kamati mpk harusi nzima inaisha. Mi nilikua bize sana, sema nilihudhuria TU siku ya harusi Kama wengine.

Na ticha rasmi akamhamishia binti kwenye nyumba yake mpya na wakaanza kuishi Kama MKE na mme.
Nasisi tukawa Kama family frendi na majiran zao wa karibu sana.

Sasa Always simu ya wife wangu huwa iko under my surveillance 24/7.
Sio kwenye calls,sms hadi WhatsApp. (Hapa Msinipopoe kwann namspy wife, Kila abiria achunge mzigo wake [emoji4])

sasa Hivi karibuni
Nilikuja gundua Simu ya wife wangu karibu wiki nzima Kuna namba ngeni huwa Anaongea nayo Sana,Tena mDA ambao ndo nakua nmeenda kazini (saa 2asbh- saa 5 asbh).

Wikend ilopita asbh
wife katoka church Ikabd kumuuliza
"Huwa Ni Nani uyu naba Yake inaishia na 23 mnawasiliana sana nnapokua nmeenda kazin na dkk zote hizi mnakuaga mnaongea nn"

Wife Akanambia sio yeye anayepiga Hii namba, Ni shoga ake mama D ndo huwa anaazima Simu Yake kuwasiliana, Nikaomba namba Yake mama D na kumpgia kua aje nyumban kwangu mara Moja namhitaji. Kweli akaja.

Nikamuita pemben na kumuuliza khs Iyo namba, Akanambia uyo Ni mzazi mwenzie yaan baba D. Nikamuuliza una uhakika? akasema ndio.
Nikamwambia Piga Hapa Hapa kwa simu ya wife muongee kdg nimskie, kweli akampigia jamaa ikiwa loudspika wakaongea mawili matatu ikawa imeisha hivyo, nikamruhusu aondoke.

Ila Sasa baada ya kuondoka nikabaki najiuliza maswali,
-kwann atumie Simu ya wife na wkt Simu yake anayo?
-kama Ni kuishiwa vocha labda siku Moja, kwann Ni wiki nzima mfulurizo?
-kuna Nini anaficha mpk aongee na mzazi mwenzie kwa Siri namna Hii?
-usikute anamcheat ticha kwa mzazi mwenzie afu dalali mkuu Ni wife wangu?
-hivi ticha akija kujua Hii kitu atanichukuliaje Mimi na familia yangu?

Anyway,
Ikabd Kumuita Tena binti
na kweli akarudi na Nikamuuliza maswali yote Hapo juu.

Akajitetea kwamba
" Baba D mwezi wa 6 alnipigia anasema namba yangu kaipata facebook na ndo amerud toka South Africa anataka tuoane ili tushirikiane kumlea D. nikamwambia nishaolewa tayar akaelewa. Baadae mme wangu akagundua tunawasiliana wakajibizana Sana kwenye Simu na kunambia niifute namba yake na kuiblock kabisa.

"Kwaiyo Ndo nikawa nawasiliana nae kutumia Simu ya mamaG, ila ni kuhusu maendeleo ya mtoto wetu na sio mambo ya mapenzi na nilifanya ivo ili nisimkwaze mme wangu. Nisamehe sana Kama nmekukosea baba G"

Nikamwambia,
"Hujanikosea Mimi Bali umemkosea uyo mmeo, Hiki unachofanya Ni uhuni na utovu wa nidham kwa mmeo. Heshimu kauli ya mmeo. Kama jamaa anataka kumuona au kuongea na mwanae, mpeleke mtoto kwa Bibi yake jamaa akaongee nae uko uko na sio hiki unachokifanya kupitia mgongo wa mke wangu"
Akasema sawa kanielewa, tukaagana na akaondoka.

Nikarud kwa wife na kumwambia
"Iwe mwanzo na mwisho kurudia hiki ulichokifanya, sitaki familia yangu iwe chanzo Cha migogoro kwenye ndoa za Watu."
Wife Akasema "sawa nmekuelewa" ikaisha hivyo.

Sasa Jana asbh nikiwa kazini nikapigiwa simu na wife niende nyumban Kuna Tatizo, nikamwambia ntakuja. Sijakaa sawa mwenyekiti wa mtaa nae ananipigia niende nyumban Kuna matatzo, nikajua this is serious.
Nikaweka mambo yangu sawa, nikaenda.

Nmefka home nakuta watu hawapo, naambiwa wako kwa mwenyekiti,
Sio mbali Sana, nikaenda tu kwa mguu.
Nmefika kwa mwenyekiti namkuta wife, binti, yule ticha na jamaa mmoja na mwanamke mmoja wako wanaendelea kutoa maelezo mmoja baada ya mwingine.nami nikaketi nikasikiliza.

Kwa maelezo ya pale,
Inaonekana Binti alikwenda kukutana na mzazi mwenzie mazingira ya nyumban kwangu kwa ajili ya maongezi na kumuona mtoto.
Na iyo jana ilkua Ni Mara yao ya 3 jamaa anafika pale wanakutana na kuongea.

But this time
Mchaga alikuja na dada yake lengo Ni kumshawishi binti warudiane wakaishi wote, iliposhindikana baada ya binti kumueleza kwamba keshaolewa na hawezi kumuacha mme wake(ticha).
Basi mchaga na dada yake yake wakawa wanalazimisha waondoke na mtoto wao, na hapo hapo ndipo mzozo zaidi ukaibuka na kupelekea binti na dada yake mchaga wakaanza rushiana Maneno, matusi Kisha kupigana na kujaza watu.
Mchaga, wife na baadhi ya waliofika wakawa wanaamulia ugomvi ule.

Sasa Mzozo ulivokua mkali zaidi,
ticha kapigiwa Simu na majiran na kufika pale. katika majibizano ya hapa na pale. Ticha na Mchaga nao wakaanza kupigana ngumi na kupelekea kujaza watu zaidi Hadi mwenyekiti wa mtaa kuitwa na kufika pale,kisha kuwaamulia na kanipigia Simu Mimi niende kwake.

Kwa maelezo ya ticha,
Ni kwamba lawama zote anazielekeza kwa MKE wangu maana ndio kiunganishi kikuu na chanzo Cha ugomvi wote Ni yeye kua daraja la kuwakutanisha na wale jamaa.
Ticha Anasema kuna siku alisikia kwamba Huwa wanakutana pale kwangu na kumfata kumuuliza MKE wangu UKWELI wa habari hizo, ila MKE wang alikana kata kata hizo habari, nae kwa kumuheshimu akapotezea.
Leo mchaga anasema mwenyewe mara ya 3 wanakutania pale kwangu. Ameumia na Amejiskia vibaya Sana.

Ticha akahitimisha kwa kusema kua alishamuonya Sana MKE wake ila amekaidi uku akiendelea na nyendo zake za Siri na mzazi mwenzie.
Ni wazi kabisa MKE wake bado ana mapenz na mzazi mwenzie, hivyo hawez lazimisha kua nae tena na amemuachia rasmi mchaga wakaishi wote, mchaga akakubali ila binti kakataa uku akilia na kusema bado anamhitaji mme wake. Ticha akaondoka.

Kiukweli ticha baada ya kuondoka pale nilijihisi hasira sana kila nikimuangalia wife anavojieleza vitu having mashiko, nikaona Kama nikiendelea kukaa pale kumsikikiza naweza mzaba makofi mbele ya mwenyekiti afu iwe fedhea tena.
Ni Bora niondoke pale kuepusha Shari.

Nikamuaga mwnykiti kua natoka Mara moja,pale nmeacha milango ya Gari wazi kuna documents muhimu ila sikawii Sana, nikaenda kuwasha gar na kuondoka Moja kwa moja mpk dukan kwangu nikaingia stoo nikajifungia na kutuliza KICHWA mpk MDA wa kufunga alipofika.

Jion nmefika nyumbani
Namkuta yule binti na mwanae wakiwa na wife seblen wanaangalia tv. Sikuwasemesha nikapitiliza moja kwa Moja mpk dining kuchukua maji baridi ya kunywa na kumfata shemej yangu jikoni (mdg wake na wife) na kumuuliza khs yule binti na mwanae wamefata Nini hapa.

Akasema
"Ticha kampiga na kumfukuza na begi lake Moja kwa Moja, Na Ndo kaja hapa kwa dada analia, wako seblen wanajadiliana wafanyeje"
nikasema "sawa" nikapitiliza mpk chumban kwangu kulala, nmefumba macho hata usngz hauji maana nna hasira sana na wife afu Nawaza sana ticha ananichukuliaje kwa kuamini familia yangu kuhusika kushiriki kumvunjia ndoa yake.

Haukupita MDA Sana wife nae akaja kulala, Nikamwamsha na kumwambia
"Nakupa siku ya kesho TU,
uyo binti sitaki kumuona hapa,
Fanya arudi kwa mume wake na warudiane haraka sana."

akasema
"Anarudije sasa na mme wake mkorofi kampiga na kumtupia begi lake nje"

Nikamwambia
"Atarudije au watarudianaje Hilo mimi Halinihusu, nnachojua wee Ndo chanzo Cha yote. Ikishindikana wao kurudiana na wewe nikirudi jioni nisikukute, uende kwenu."
Hakujibu chochote, Basi nikalala zangu

Leo alfajir Kama kawaida nmekuja dukan kwangu, kwenye saa 3 nmempigia shemej yangu (mdg wake na wife) kumuuliza Kama binti bado yupo nyumban akanambia kwamba wameondoka na wife kwenda kwenye jumuia kanisani.

Kiukweli hii naiona Kama Ni dharau kubwa sana kwa maelekezo niliyokwishampa tayar khs kumrudisha uyu binti na ndoa yake kwa mumewe.

Nimedhamiria Kama kweli nikirudi jion na kumkuta binti nyumban kwangu, itabidi waondoke wote maana Itakua inaonekana kama nmeoa wake wawili.
MKE wangu ntamrudisha kwao,kama wakiamua wakaishi wote uko kwao na shoga yake sawa TU itakua juu yao.
Siwez beba lawama ya kuvunja ndoa ya watu Kisha MKE wa mtu aliyefukuzwa akaishi kwangu.

Wakuu,
Sijui Kama ntakua nmekosea sana kwa maamuz haya, nmefikira Sana hiki suala na akili yangu imefikia hapo.

Kama Kuna la ziada kunishaur nawakaribishen wakuu[emoji120]
M ninachoshauri kaa na ticha kma m.me mwenzako muelezee uhalisia ulivo amrudishe mke wake
 
Samahanini kwa ushauri mbovu
Ungekuwa na uwezo anza kuchapa marafiki wa mke wako, siku akijua hatorudia kukaribisha mashoga zake hapo nyumbani
Kwakwel ni aibu
 
Wakuu,
Naandikaga Uzi huu nikiwa nmefedheheka Sana, kuna depression naifeel kabisa kufuani mwangu maana hata jamii sasa inanitizama tofauti Sana.

NI HIVI,
Kuna binti mmoja hapa mtaani Ni shoga ake na wife wangu kaolewa mwaka Jana kwa harusi na Jamaa mmoja Ni Ticha wa shule ya sekondari kajenga Hapa Hapa mtaani kwetu.

Kabla ya kuolewa na ticha,
Huyu binti Alishazalishwa mtoto mmoja wa kike na jamaa mmoja asiyejulikana,
binti anasema jamaa alkua Ni mchaga.

Kwa maelezo ya binti,
Ni kwamba uyo baba wa mtoto wake alienda South Africa kutafta maisha tangu 2015 alimuacha akiwa na mimba ya miez 8 na hajawai kurudi kabisa Wala Hawana mawasiliano yoyote na uyo mzazi mwenzie.

Na kweli Miaka yote 6 binti yupo Hapa mtaani anaishi TU kwa kujitegemea kwa deiwaka za kupika kwenye saiti mbalimbali za ujenzi,Yaan pakiwa mahali ujenzi unaendelea, ataomba kazi ya upishi kwa mafundi na kulipwa kwa kila sahani ya chakula.

Asipofanya huo upishi,
Basi atapiga vibarua vingine vya saidia fundi, kulima bustani, kukata majani ya ng'ombe, na shughuli nyngn Ndogo ndog za kuunga unga ili kupata kula.

Sometimes akikosa kabisa atakuja kwa wife amsaidie kazi mbili tatu ili mradi apate hata chakula Chake na mwanae na maisha yanasonga.

Akipata kazi za mbali,
atamuacha binti yake kwa wife siku mbili tatu ataenda mbali uko kufanya vibarua vyake ,akirud anamchukua binti Yake na kuendelea na maisha yake.

Hata uyu mme aliemuoa bila shaka walikutana kwenye hivo vibarua maana hata nyumba ya uyo ticha alojenga, yule binti kawapikia sana mafundi wake. Kuna kipindi Nilikua namkuta sana pale anapika maana ticha aliniungisha Sana material za ujenzi kipind chote mpaka anamaliza nyumba yake. Nilikua nafanya delivery.

Sijui nn kiliendelea hapo katikati,
Ila nakumbuka mwaka jana binti alituletea kadi ya mwaliko wa harusi, Na Kwasababu ya ukaribu wangu na uyo ticha, afu ukaribu wa wife na uyo binti. Tulishauriana tuwasapoti vizur.

Mimi na wife Tulichangia kadi ya kamati kabisa, na wife Aliparticipate Sana kwenye kamati mpk harusi nzima inaisha. Mi nilikua bize sana, sema nilihudhuria TU siku ya harusi Kama wengine.

Na ticha rasmi akamhamishia binti kwenye nyumba yake mpya na wakaanza kuishi Kama MKE na mme.
Nasisi tukawa Kama family frendi na majiran zao wa karibu sana.

Sasa Always simu ya wife wangu huwa iko under my surveillance 24/7.
Sio kwenye calls,sms hadi WhatsApp. (Hapa Msinipopoe kwann namspy wife, Kila abiria achunge mzigo wake [emoji4])

sasa Hivi karibuni
Nilikuja gundua Simu ya wife wangu karibu wiki nzima Kuna namba ngeni huwa Anaongea nayo Sana,Tena mDA ambao ndo nakua nmeenda kazini (saa 2asbh- saa 5 asbh).

Wikend ilopita asbh
wife katoka church Ikabd kumuuliza
"Huwa Ni Nani uyu naba Yake inaishia na 23 mnawasiliana sana nnapokua nmeenda kazin na dkk zote hizi mnakuaga mnaongea nn"

Wife Akanambia sio yeye anayepiga Hii namba, Ni shoga ake mama D ndo huwa anaazima Simu Yake kuwasiliana, Nikaomba namba Yake mama D na kumpgia kua aje nyumban kwangu mara Moja namhitaji. Kweli akaja.

Nikamuita pemben na kumuuliza khs Iyo namba, Akanambia uyo Ni mzazi mwenzie yaan baba D. Nikamuuliza una uhakika? akasema ndio.
Nikamwambia Piga Hapa Hapa kwa simu ya wife muongee kdg nimskie, kweli akampigia jamaa ikiwa loudspika wakaongea mawili matatu ikawa imeisha hivyo, nikamruhusu aondoke.

Ila Sasa baada ya kuondoka nikabaki najiuliza maswali,
-kwann atumie Simu ya wife na wkt Simu yake anayo?
-kama Ni kuishiwa vocha labda siku Moja, kwann Ni wiki nzima mfulurizo?
-kuna Nini anaficha mpk aongee na mzazi mwenzie kwa Siri namna Hii?
-usikute anamcheat ticha kwa mzazi mwenzie afu dalali mkuu Ni wife wangu?
-hivi ticha akija kujua Hii kitu atanichukuliaje Mimi na familia yangu?

Anyway,
Ikabd Kumuita Tena binti
na kweli akarudi na Nikamuuliza maswali yote Hapo juu.

Akajitetea kwamba
" Baba D mwezi wa 6 alnipigia anasema namba yangu kaipata facebook na ndo amerud toka South Africa anataka tuoane ili tushirikiane kumlea D. nikamwambia nishaolewa tayar akaelewa. Baadae mme wangu akagundua tunawasiliana wakajibizana Sana kwenye Simu na kunambia niifute namba yake na kuiblock kabisa.

"Kwaiyo Ndo nikawa nawasiliana nae kutumia Simu ya mamaG, ila ni kuhusu maendeleo ya mtoto wetu na sio mambo ya mapenzi na nilifanya ivo ili nisimkwaze mme wangu. Nisamehe sana Kama nmekukosea baba G"

Nikamwambia,
"Hujanikosea Mimi Bali umemkosea uyo mmeo, Hiki unachofanya Ni uhuni na utovu wa nidham kwa mmeo. Heshimu kauli ya mmeo. Kama jamaa anataka kumuona au kuongea na mwanae, mpeleke mtoto kwa Bibi yake jamaa akaongee nae uko uko na sio hiki unachokifanya kupitia mgongo wa mke wangu"
Akasema sawa kanielewa, tukaagana na akaondoka.

Nikarud kwa wife na kumwambia
"Iwe mwanzo na mwisho kurudia hiki ulichokifanya, sitaki familia yangu iwe chanzo Cha migogoro kwenye ndoa za Watu."
Wife Akasema "sawa nmekuelewa" ikaisha hivyo.

Sasa Jana asbh nikiwa kazini nikapigiwa simu na wife niende nyumban Kuna Tatizo, nikamwambia ntakuja. Sijakaa sawa mwenyekiti wa mtaa nae ananipigia niende nyumban Kuna matatzo, nikajua this is serious.
Nikaweka mambo yangu sawa, nikaenda.

Nmefka home nakuta watu hawapo, naambiwa wako kwa mwenyekiti,
Sio mbali Sana, nikaenda tu kwa mguu.
Nmefika kwa mwenyekiti namkuta wife, binti, yule ticha na jamaa mmoja na mwanamke mmoja wako wanaendelea kutoa maelezo mmoja baada ya mwingine.nami nikaketi nikasikiliza.

Kwa maelezo ya pale,
Inaonekana Binti alikwenda kukutana na mzazi mwenzie mazingira ya nyumban kwangu kwa ajili ya maongezi na kumuona mtoto.
Na iyo jana ilkua Ni Mara yao ya 3 jamaa anafika pale wanakutana na kuongea.

But this time
Mchaga alikuja na dada yake lengo Ni kumshawishi binti warudiane wakaishi wote, iliposhindikana baada ya binti kumueleza kwamba keshaolewa na hawezi kumuacha mme wake(ticha).
Basi mchaga na dada yake yake wakawa wanalazimisha waondoke na mtoto wao, na hapo hapo ndipo mzozo zaidi ukaibuka na kupelekea binti na dada yake mchaga wakaanza rushiana Maneno, matusi Kisha kupigana na kujaza watu.
Mchaga, wife na baadhi ya waliofika wakawa wanaamulia ugomvi ule.

Sasa Mzozo ulivokua mkali zaidi,
ticha kapigiwa Simu na majiran na kufika pale. katika majibizano ya hapa na pale. Ticha na Mchaga nao wakaanza kupigana ngumi na kupelekea kujaza watu zaidi Hadi mwenyekiti wa mtaa kuitwa na kufika pale,kisha kuwaamulia na kanipigia Simu Mimi niende kwake.

Kwa maelezo ya ticha,
Ni kwamba lawama zote anazielekeza kwa MKE wangu maana ndio kiunganishi kikuu na chanzo Cha ugomvi wote Ni yeye kua daraja la kuwakutanisha na wale jamaa.
Ticha Anasema kuna siku alisikia kwamba Huwa wanakutana pale kwangu na kumfata kumuuliza MKE wangu UKWELI wa habari hizo, ila MKE wang alikana kata kata hizo habari, nae kwa kumuheshimu akapotezea.
Leo mchaga anasema mwenyewe mara ya 3 wanakutania pale kwangu. Ameumia na Amejiskia vibaya Sana.

Ticha akahitimisha kwa kusema kua alishamuonya Sana MKE wake ila amekaidi uku akiendelea na nyendo zake za Siri na mzazi mwenzie.
Ni wazi kabisa MKE wake bado ana mapenz na mzazi mwenzie, hivyo hawez lazimisha kua nae tena na amemuachia rasmi mchaga wakaishi wote, mchaga akakubali ila binti kakataa uku akilia na kusema bado anamhitaji mme wake. Ticha akaondoka.

Kiukweli ticha baada ya kuondoka pale nilijihisi hasira sana kila nikimuangalia wife anavojieleza vitu having mashiko, nikaona Kama nikiendelea kukaa pale kumsikikiza naweza mzaba makofi mbele ya mwenyekiti afu iwe fedhea tena.
Ni Bora niondoke pale kuepusha Shari.

Nikamuaga mwnykiti kua natoka Mara moja,pale nmeacha milango ya Gari wazi kuna documents muhimu ila sikawii Sana, nikaenda kuwasha gar na kuondoka Moja kwa moja mpk dukan kwangu nikaingia stoo nikajifungia na kutuliza KICHWA mpk MDA wa kufunga alipofika.

Jion nmefika nyumbani
Namkuta yule binti na mwanae wakiwa na wife seblen wanaangalia tv. Sikuwasemesha nikapitiliza moja kwa Moja mpk dining kuchukua maji baridi ya kunywa na kumfata shemej yangu jikoni (mdg wake na wife) na kumuuliza khs yule binti na mwanae wamefata Nini hapa.

Akasema
"Ticha kampiga na kumfukuza na begi lake Moja kwa Moja, Na Ndo kaja hapa kwa dada analia, wako seblen wanajadiliana wafanyeje"
nikasema "sawa" nikapitiliza mpk chumban kwangu kulala, nmefumba macho hata usngz hauji maana nna hasira sana na wife afu Nawaza sana ticha ananichukuliaje kwa kuamini familia yangu kuhusika kushiriki kumvunjia ndoa yake.

Haukupita MDA Sana wife nae akaja kulala, Nikamwamsha na kumwambia
"Nakupa siku ya kesho TU,
uyo binti sitaki kumuona hapa,
Fanya arudi kwa mume wake na warudiane haraka sana."

akasema
"Anarudije sasa na mme wake mkorofi kampiga na kumtupia begi lake nje"

Nikamwambia
"Atarudije au watarudianaje Hilo mimi Halinihusu, nnachojua wee Ndo chanzo Cha yote. Ikishindikana wao kurudiana na wewe nikirudi jioni nisikukute, uende kwenu."
Hakujibu chochote, Basi nikalala zangu

Leo alfajir Kama kawaida nmekuja dukan kwangu, kwenye saa 3 nmempigia shemej yangu (mdg wake na wife) kumuuliza Kama binti bado yupo nyumban akanambia kwamba wameondoka na wife kwenda kwenye jumuia kanisani.

Kiukweli hii naiona Kama Ni dharau kubwa sana kwa maelekezo niliyokwishampa tayar khs kumrudisha uyu binti na ndoa yake kwa mumewe.

Nimedhamiria Kama kweli nikirudi jion na kumkuta binti nyumban kwangu, itabidi waondoke wote maana Itakua inaonekana kama nmeoa wake wawili.
MKE wangu ntamrudisha kwao,kama wakiamua wakaishi wote uko kwao na shoga yake sawa TU itakua juu yao.
Siwez beba lawama ya kuvunja ndoa ya watu Kisha MKE wa mtu aliyefukuzwa akaishi kwangu.

Wakuu,
Sijui Kama ntakua nmekosea sana kwa maamuz haya, nmefikira Sana hiki suala na akili yangu imefikia hapo.

Kama Kuna la ziada kunishaur nawakaribishen wakuu[emoji120]
Kuna post niliwahi sema humu, ukioa single mother hakikisha UMEONA MAITI ya baba wa mtoto, vinginevyo utakuja kutia.

Kosa lako mkuu ni hili: kwa nini uliruhusu mkeo awe kuwadi wa mke wa Mwalimu? Hakuchukua hatua za kutosha kuzuia upumbavu huu, ndio maana waliendelea. Sasa ukweli uko hivi, huyo mwanamke ni msiri wa mkeo, hivyo hata kama kuna njemba watamtaka mkeo tayari kuna njia ya kupita kiurahisi sana tu. Ni muhimu kuchagua marafiki wa mkeo, hilo ni muhimu kabisa, acha unyonge.
 
Itakuwa baba D amekuwa akimrushia vihela mama D, vya kumfumbaaa

** sio mahusiano yote mwenza wako akikwambia yameisha kila mtu kivyake ni kweli waalahi vileee siku ya siku wanabanduana tuuu

*kuendelea kuwasiliana na mwenza/mpenzi wako wa zamani ni sawa na kutembelea kipisi cha mua kama mkongojo jangwani saa na muda wowote unatafunaa hamna pingamizi
Usemalo Ni kweli kabisa mkuu,
Sema binti alitakiwa kujua Yuko kwenye mahusiano mengine kabisa.

Tena mahusiano serious na official kabisa
Hakupaswa ku-entertain upuuzi wa namna hiyo kwa jamaa
 
Kuna post niliwahi sema humu, ukioa single mother hakikisha UMEONA MAITI ya baba wa mtoto, vinginevyo utakuja kutia.

Kosa lako mkuu ni hili: kwa nini uliruhusu mkeo awe kuwadi wa mke wa Mwalimu?
Niliruhusu vip wkt matukio yote yanatokea nilikua Sijui,
Mkuu, mi sio mtu wa kushinda nyumbani

Nikiondoka asbh, kurudi ni saa 5 au 6 usiku
 
Safi sana. Kuna siku niliandika nikasema kuna maroho mwanaume au mwanamke anaechepuka anaweza kuyaleta nyumbani. Sasa mkeo yumkin ndo maroho yashaanza kumvaa..au yashamvaa tayari. Nakumbuka ulisemaga ana hofu ua Mungu...is this hofu ya Mungu uliokua unaiongelea.

Ukitaka kujua akili zetu sisi viumbe kaangalieni page ya lamata leah kwa kisa kinachoendelea kwenye tamthilia ya juakali..kule kuna mwanamke alitendwa na mwanaume msomi wa nchi za nje. Akahangaika mpk akapata ukichaa. Akaja kupona.

Akapata mpenzi mwngne. Tena jamaa kampenda sana yule dada. Dada akapata safar ya South. Kwenda kule kakutana na jamaa wa mwanzo. Dada kamuacha bwana dereva wa magari chumbani. Akamdanganya anaenda kwenye party ya ofisi. Kumbe kaenda kidate.

Akaliwa...mengne kama uko interested utaenda kusoma. Sasa kasome comments kule. Ndo utaelewa point ninayotaka kusema. Aisee kule wadad weng wamemsupport yule dada kurudiana na bwana wa mwanzo aka ex.

Wanaume mnaweza imagine. Wanawake wengi wamesupport yule dada kurudiana na ex wake. Eti wanasema ni handsome, wengne wanasema anajielewa..huyu kapuku achana nae. Sasa imagine ndo umeoa mwanamke wa dizain hii. Na mnawapenda maana wana vyura hatari. Kumbe mnavamia mitumbwi ya vibwengo. Mkisoma comments kule mtasikitika sana.

Janga la watu kurudiana na maex naona linazidi kukuwa. Very sad na aibu...
 
Back
Top Bottom