Baba sio kumwaga shahawa na Kutelekezaaa ila wanawake mmejaa upumbavu wa kushindwa kuelewa Baba ni majukumu...!! Kitombo yoyote anakupaa ila majukumu na kulea mtoto huyo ndo baba kwa kuwa hamuelewi hilo ndo maana Mwanaume kudate na Single maza ni Upuuzi..Akili zako mbovu sana,kisa tu unatoa huduma ndio uwe kihele hele kutoa jina kwa mtt mwenye baba yake!!!hv we unafaham uzito wa damu ya mtt wa watu???kama ni kumsomesha we somesha kwa mapenz yako tu kwa mama yake lkn siyo kuintroduce huo upuuzi wako..ipo siku baba yake angemfuata na mtalimana mapanga mchana kweupeee.
Nyie ndio mqbongo lala kwa hiyo mnataka jamaa amwage jasho lake kwa mtoto asie wake ili iwaje .....?Bro unatkiwa uwe big thinker usz kumpa jina la ukoo wenu mtoto c wako ! Mama mtu yupo makin sana kwenye kumuoa cio sababu wala kuhudumia mtoto ndo umpe jina la kwenu ii c sawa kaka ! let's say una mtoto mama ake kaolewa afu jina lako kwa mtoto wako limekatwa anaitwa jina la baba mlezi io pain bro ackwmbie mtu !
Namuonea huruma huyo Dada kwa ujinga wake,km kuna walomshauri baasi wamempotosha Mimi I couldn't careless kuhusu ubin ningestick kwenye mapenzi ya dhati ya jamaa ningefanya maamuzi na atachekwa na dunia yote.Mbona hii scenario haihusiani na msaada, on normal perspective huyu jamaa ameonyesha unconditional love kwa mtoto na Mwanamke tena akitaka kabisa ammiliki despite akijua si mwanae biologically who does that ?
Good! Safi Sana huo ndio uanamme hakuna kurudi nyuma. Kama baba yake yupo hai basi mtoto aondolewe akaishi na baba yake.Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.
Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.
Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.
Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"
Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu
MREJESHO
Jana ugomvi ulikuwa mkubwa ila nilitumia busara nilikaa kimya sikusema chochote alienda mbali zaidi akasema tuachane kimoyo moyo nikasema umeisha.
Leo asubuhi amekuja na mama yake mzazi kusuluhisha ugomvi binti amekiri kuwa amekosa zilikuwa ni hasira tu.
Maamuzi niliyochukua sikupepesa macho nilimwambia mama kuwa siwezi kuendelea na binti yako pia mahari niliyoitoa nimesahmee.
Mpaka sasa simu yangu ina missed call 80 ,sms 30
Mkae mjadiri nini.. ..? Mbona kwenye malezi hamkujadiriana.... ? Wanawake wengi mnaharibikiwa na kuonekana hamna maana kisa hiyo mijadara ....angalia wanawake wote wanao penda mijadara hawanaga ndoa cos wanaonekana wajuaji.Dah mwanamke mwenzetu huyo ujue..
Kosa moja na kuachwa juu
Q
Hata kama weee ni single maza mwanaume hana haki ya kubadili jina la mwanao bila kukaa na wewe kwanza na kujadiliana.
Angechukulia tu kibinadam amsamehe kwa kuwa ameomba msamaha kwa majibu mabaya
Bas kumbe una mambo ya kijing HV miaka minne hatak kuzaha eti unamonea hurum dogo Bab yake c yupoSasa mkuu shida ni moja nataka kumpiga chini huyu mwanamke ila kila nikimuangalia huyu mtoto roho inaniuma sana sababu huyu mtoto nimemlea tangu akiwa na mwaka mmoja (1) na anajua kabisa mimi ndio baba yake mzazi.
Mama yake ni kichwa panzi katika kipindi chote iko cha miaka 4 hataki kuzaa mpaka nimuoe.
Dogo upstairs yupo vizuri sana Naona nikimpiga chini mama yake huyu dogo ataharibikiwa sana
Wee unaongea utopolo Gani wew kweli ujapatwa vzrunamhudumia kwani babake hayupo? hata mimi ningekuwa baba nitakubali mwanaume mwingine ahudumie mtoto wangu? upande wangu, enzi hizo niko misri, nilizaaga na mwanamke mmoja hivi nina mtoto naye hadi leo. huwa natuma ada nahudumia kila kitu huko huko, sasa ilifika kipindi kuna shule moja ya wazungu walikuwa wanataka kutoa msaada kusomesha watoto wasio na uwezo, hasa wale wenye wazazi wasiojiweza, ni shule nzuri mno ya english medium mkoa fulani hivi....mwanamke yule akataka kujifanya ati mimi sipo mtoto aingie kwenye kusaidia na wazungu huko ili anipunguzie majukumu. nilikinukisha balaa, mttoto wangu asaidiwe as if mimi sipo? alafu akija kuwa mzima ionekane nilimtelekeza akasomeshwa na wanadamu wengine? sikukubaliana na icho kitu.
Nguvu zipo za kutosha tu,pesa ipo ..kupata mtoto ni majaliwa ya MunguYaonekana Huna nguvu za kiume na Huna uwezo wa kumpa mimba
Babu umekosea kwa mjomba Hakuna uridhUyo mwanamke Fala sana umezaa na jitu limekutelekeza na mimba pengine limekataa kabisa Mtoto kazaliwa halitunzi na sio uwezo hana la hasha pengine ana kazi nzur kabisa sasa apo mwanamke unakumbuka nin kwa uyo bwana manina....mimi nlimbadilisha ubid Mtoto wa dada angu haiwezekan kila kitu kwetu af jina la mpumbav mmoja hiv [emoji17][emoji17]
Kama ukoo wa baba upo na Mtoto anatambulika na Baba mzazi lazima jina la ukoo liwe la baba mzazi! Kama Mama hamjui Baba aliyempa Mimba inapendeza Mtoto akachua jina la ukoo upande wa Mama yake!!Nyie ndio mqbongo lala kwa hiyo mnataka jamaa amwage jasho lake kwa mtoto asie wake ili iwaje .....?
Kama wwe shida yako ni kubadilishana jina la ukoo na msaada wako,hapo utakua hujaamua kumlea huyo Mtoto kwa mapenzi ya thati! Kesho mkiachana na Mama wa Mtoto je wwe utabaki na huyo mwanawe uliombadilisha jina la ukoo!?Namuonea huruma huyo Dada kwa ujinga wake,km kuna walomshauri baasi wamempotosha Mimi I couldn't careless kuhusu ubin ningestick kwenye mapenzi ya dhati ya jamaa ningefanya maamuzi na atachekwa na dunia yote.
Wakaka mnaomtetea mkamuoe sasa au nyie wadada mnaotetea mkampe kaka zenu wamuoe
Nimesoma komenti chache huko mwanzo, wadau wamekupa muongozo.Nguvu zipo za kutosha tu,pesa ipo ..kupata mtoto ni majaliwa ya Mungu
Babu umekosea kwa mjomba Hakuna uridh
Mm yalinikuta tukanyanganyana mtoto wakanishinda nikawaachia nikata kbsa bill zote uko wakaniambi hata jina watalitoa kule bas nikakubali mpk leo mtot anatumia jina langu na mm nillishakubali kuwa wabadili jina langu asilitumie lkn wamegoma
Kama ukoo wa baba upo na Mtoto anatambulika na Baba mzazi lazima jina la ukoo liwe la baba mzazi! Kama Mama hamjui Baba aliyempa Mimba inapendeza Mtoto akachua jina la ukoo upande wa Mama yake!!
Mpaka mwanamke kufikia hatua ya kuzuia huyo mtoto asitumie ubini wa baba wa kambo tafsiri yake,baba mzazi wa huyo mtoto hajamtelekeza au kumkana,angekuwa amemtelekeza au kumkana,huyo mama ndo angekuwa wa kwanza kuhitaji huyo mtoto wake atumie ubini wa baba yake wa kambo.Hivi unajua wewe hekaheka za kulea Mtoto???gharama unazijua wewe??Sadaka sio hiyooo ndugu.yaani njemba litulize mbupu zake,mwenzie amleleee.weweeeeee,fukuzia mbaliii
Uko Nyumba ya KupangaNatarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.
Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.
Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.
Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"
Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu
MREJESHO
Jana ugomvi ulikuwa mkubwa ila nilitumia busara nilikaa kimya sikusema chochote alienda mbali zaidi akasema tuachane kimoyo moyo nikasema umeisha.
Leo asubuhi amekuja na mama yake mzazi kusuluhisha ugomvi binti amekiri kuwa amekosa zilikuwa ni hasira tu.
Maamuzi niliyochukua sikupepesa macho nilimwambia mama kuwa siwezi kuendelea na binti yako pia mahari niliyoitoa nimesahmee.
Mpaka sasa simu yangu ina missed call 80, sms 30
Amleeje Yatima wakat babake nipo haiWewe na singo maza wako wote mmekosea.
Tukianza na wewe ni kweli unahudumia mtoto, ila hukupaswa kubadilisha ubini bila kukaa na mwenzio mkakubaliana. ULIKOSEA KUFANYA MAAMUZI PEKE YAKO.
Tuje kwa singo maza wako, HAJIHESHIMU NA HAKUHESHIMU, ni kweli ulimkwaza na kumkosea ila ilitakiwa akwambie bila kutumia maneno makali kama "zaa wa kwako"
Kumuacha inawezekana ni sahihi au sio sahihi, hayo majibu yake yanatia mashaka.
Kusomesha mtoto na kufanya kila kitu, FANYA KAMA UNAMLEA YATIMA NA USITARAJIE LOLOTE, UKISHINDWA KUFANYA HIVYO NI BORA UACHE KABISA MAANA UTAUMIA ZAIDI YA HAPO.
Ni mimi singo maza mstaafu.