Mke wangu mtarajiwa hataki mtoto wake aliyempata kabla hatujakutana atumie ubini wangu

Kuchna daftar yamaanisha ataki kuona jina lako kwenye jina la huyo mtoto wake.that means anampenda huyo jamaa kuliko ww ndio maana bado anataka asisahau hata jina lake.achana na uyo mwanamke ataja kukuumiza
 
Wamemkataa Mwanamke sio mtoto.
Kuna sababu nyingi zinafanya uzae na Mwanamke lakini usimuoe, kama vile mimba za utotoni, tamaduni za koo na makabila, kutokuelewana kati ya wazazi kutokuwepo kwa upendo wa kweli n.k.
Kwa hiyo kumkataa Mama sio kumkataa mtoto na mtoto anapokuwa katika umri mdogo anabaki chini ya malezi ya Mama, Baba unapeleka matunzo, Mara nyingi wakina mama wanapokea matunzo lakini hawasemi hii ni changamoto.
 
Inasikitisha sana kama mpaka umri huo hata wanyama wanakuzidi akili.

Hivi unaelewa utaratibu wa adaption? Hebu nenda tu kwa vituo vya watoto yatima utake kumchukuwa mtoto umfanye mwanao ndio utajiwa huna akili na huyo mchumba sijui mkeo anakuzidi akili kwa mbali sana.
 
Hiyo angekushinda huko mbeleni Kama anapata ujasiri wa kuchana na daftari huyo Ni zwa Moto,tatizo wanawake Ni viumbe wa ajabu sana
 
Hivi na wewe na pumbu zako unawezaje kumpa ubini wako mtoto asiye wako bila hata kuongea na mama yake mkakubaliana,kiherehere chako cha kujilipisha ada ndo umnyang'anye mtoto haki zake
Kiufupi hata kama huyo mwanamke unamuona cheap kiasi hiko lakini na wewe ni mjinga mmoja tu
Na sioni haja ya kusitisha huo uhusiano otherwise utoto unakusumbua
 
Ni kweli hukupaswa kumuandikisha jina lako.
Ana baba yake.
Ana cheti cha kuzaliwa.

Ila mamake nae mwehu, ndo achane daftari na kukwambia zaa wako?

Hata mi ningemwacha.
 
Huyo mtoto analipiwa kila kitu na baba yake mzazi, huyo mwanamke alikuwa anakupiga.
Umefanya vyema kutaka kubadili ubini(japo umeujua ukweli) otherwise ungejutia baadae. Hapo lala mbele akitaka tia mimba leo mtoto lakini sio kuoa
 
Wewe ndo mwenye matatizo utampaje jina mtoto asiye wako kama vile sperm zako haziwezi totolesha
Hata ningekuwa mimi hakika ningemwacha, sio kwa sababu amesema mtoto atumie jina la ubini wake, ila kwa reaction ya kupayuka na kutamka maneno kama "zaa wako" aisee, nisingerudi nyuma!

Niliwahi kuwa na mchumba, nimemlipia mahari na karibu kila ndugu yake alikuwa ananifahamu (in short ilikuwa imebaki ndoa tu)

Siku moja alipata safari ya kikazi, akapitia kwa "rafiki" yake wa kiume bila kunipa taarifa, akakaa huko siku mbili, nilipompigia simu akaniambia yupo njiani anarudi, lakini sauti ilionyesha yupo ndani (mwangwi wa lodge) nikamuuliza mbona unanidanganya?

Majibu yake sasa: "Mbona unanichunga chunga ilhali hata haujanioa, usinichunge chunge hivyo, ukinioa bhana" akakata simu, aisee baada ya pale sikumtafuta tena, aliporudi Dar sikumuuliza uko wapi wala kwenda kwake!
Alipokuja kwangu nilimwambia "Usitie mguu hapa mpaka nitakapokuoa, na ufunguo nikamnyang'anya!

Aliniomba msamaha kwa kupiga simu, kuandika msg, na hata kutumia rafiki/ndugu zangu na wake, but kwa aina ile ya majibu niliona kabisa naenda kuvaa Bomu, sikurudi nyuma wala mahari sikudai!

Mpaka leo yupo tu anatoa pongezi status kila wenzake wanapoolewa!
 
I like you manhood[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kwani mtoto ni wako? Mbona kawaida tuu
 
Zaa wako,
Si umekubali kusaidia huduma,
Ubin atumie wa baba yake Tu,
Sioni Cha kujadili
 
Kumbe JF bado nzuri hivi.Naipenda J F.
 
Ulikuwa unatafuta sababu ya kumwacha tu.
Ashakum si matusi. Yaani katika watu maboya wewe unaongoza. Unajua wazi kuwa mtoto syo wako na unakiri umemkuta, Sasa unamwandikisha kwa jina la kwenu ili iweje? Halafu hata huyo mama yake hukumshirikisha usikie atasema nini.
Hata kama ingekuwa baba mzazi wa mtoto hamhudumii bado huna uhalali wa kumwita ubin wa kwenu.
Fanya bidii umpate wako Kama alivyokushauri mama mwenye mtoto/mkeo
 
Usimlipie ada
Akikuita baba mwambie Mimi sio baba yako
Usimpe zawadi
Mtie mimba,mama yake
Sentensi ya mwisho ndiyo ushauri mzuri. Hizo nyingine ni uzoba na ulofa na kukosa hekima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…