Mke wangu mtarajiwa hataki mtoto wake aliyempata kabla hatujakutana atumie ubini wangu

Mke wangu mtarajiwa hataki mtoto wake aliyempata kabla hatujakutana atumie ubini wangu

We unabahati kubwa Sana mshukuru Mungu kakufunua tabia yake mapema kabla ujafunga nae nadhiri, Katu usifanye kosa kuoa mtu mwenye hasira waoane wao wenyewe.Kwa maelezo hayo huyo mke ana mdomo mchafu ndo maana aliemzalisha ajamuoa kwa sababu ya mdomo. Hasara za kuoa mwanamke mwenye hasira
1.Huwa na mdomo mchafu kauli chafu zisizostaha hata mbele za watu.
2.Ni watukanaji hili ndio chanzo cha vifo vyao kwenye ndoa, mwanaume kapandwa hasira baada ya kutukanwa.
3.Wana visiriani
4.Wanafunga riziki Katu huwezi fanikiwa kimaisha , malaika mleta riziki Katu akai nyumba yenye shari vurugu, hata kama ulikuwa na kipato kabla yake ni lazima kiyeyuke.
5.Hawana staha heshima anaweza akakuvua nguo mbele za watu.
6.Wanataka wawe juu yaani kumnyong'eza mwanaume awe chini kwa kuogopa maneno makali
7.Utakufa mapema kwa maradhi ya moyo, pressure, kisukari,kuishiwa nguvu za kiume kupooza nk haya ni maradhi usababishwa na kauli chafu toka kwa mwenza.
8.Chance ya talaka ni kubwa maana utajiona upo jela isiyo kikomo, maana kuishi na mtu mwenye kauli chafu ni ngumu labda uwe na elimu ya kutosha kuhusu Roho ni ngumu Sana kuibadili tabia ya mtu.
9.Utakuwa na watoto wasio na maadili kwa maana ya watukanaji wanaiga kwa mama yao,
10 Utadharauliwa na mke, watoto hadi dada wa kazi
11.Ndugu, marafiki zako kuona kwako kituo cha police sababu ya mke mwenye hasira au mdomo mchafu Hakuna atakae waza au kuja kukutembelea.
11.
12.
13.
Huwezi ishi na mtu mwenye hasira hawa inafaa waishi wenyewe labda kama utaweza kumtoa shetani aliyendani mwake anaye utawala ulimi wake na roho yake, yaani uifunge ile roho ya hasira yaani uitibu roho yake uisafishe iwe safi Ili aweze kufaa kuwa mke yaani ni SAwa na kuformat mfumo wake mzima wa malezi yake kumbuka umekutana nae ukubwani hapa ni lazima uwe na hekima na pia uwe na elimu ya jinsi ya kuisafisha roho na moyo watu mtu.
Hapa ni lazima uwe Guru au Jesus au ufikie level ya Maturity ndo utaweza, maana tabia ni ngozi japo mwanadamu sio static anaweza akibadilika akawa mwema pia.
Kama wewe sio maturity Acha kuoa au kuolewa na mtu mwenye hasira shughuli yake pevu kwenye ndoa, utakufa ukiwa young kwa stress labda tu uwe na filter yaani kizuizi uwezo wa kublock maneno machafu yasiingie kwenye moyo wako, yaani uwezo wa kuyaruhusu yapite na yasihifadhike kwenye memory disc ya brain yako.
 
Utakiwi kumbadilisha mtoto asiwe wako ubini wake, we utabakia kuwa baba mlezi na sio baba mzazi. Labda tu kwa ridhaa ya mama yake na ukidhitisha baba yake hayupo, ajulikani wala familia yake uifahamu.
 
Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.

Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.

Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.

Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"

Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu

MREJESHO
Jana ugomvi ulikuwa mkubwa ila nilitumia busara nilikaa kimya sikusema chochote alienda mbali zaidi akasema tuachane kimoyo moyo nikasema umeisha.

Leo asubuhi amekuja na mama yake mzazi kusuluhisha ugomvi binti amekiri kuwa amekosa zilikuwa ni hasira tu.

Maamuzi niliyochukua sikupepesa macho nilimwambia mama kuwa siwezi kuendelea na binti yako pia mahari niliyoitoa nimesahmee.
Mpaka sasa simu yangu ina missed call 80, sms 30

Piga chini kaka single mother’s always ni wangese sana unaweza kuta lijamaa halihudumii chochote na wanakutana wanapiga show kama kawaida mzee
 
Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.

Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.

Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.

Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"

Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu

MREJESHO
Jana ugomvi ulikuwa mkubwa ila nilitumia busara nilikaa kimya sikusema chochote alienda mbali zaidi akasema tuachane kimoyo moyo nikasema umeisha.

Leo asubuhi amekuja na mama yake mzazi kusuluhisha ugomvi binti amekiri kuwa amekosa zilikuwa ni hasira tu.

Maamuzi niliyochukua sikupepesa macho nilimwambia mama kuwa siwezi kuendelea na binti yako pia mahari niliyoitoa nimesahmee.
Mpaka sasa simu yangu ina missed call 80, sms 30
Aiseee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Embu Wacha nicheke mie brother mahusiano nikama Sheria hukumu ipo katika moyo wako ulijiongeza vyema binafsi imenikuta kama hiyonilivoona mazingira sio nilitulia kuondoka htk mwisho wa picha kajamisha room nzima geto nikaanza upya shukuru pia
Tuanzishie Uzi mkuu
Tujifunze
 
Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.

Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.

Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.

Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"

Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu

MREJESHO
Jana ugomvi ulikuwa mkubwa ila nilitumia busara nilikaa kimya sikusema chochote alienda mbali zaidi akasema tuachane kimoyo moyo nikasema umeisha.

Leo asubuhi amekuja na mama yake mzazi kusuluhisha ugomvi binti amekiri kuwa amekosa zilikuwa ni hasira tu.

Maamuzi niliyochukua sikupepesa macho nilimwambia mama kuwa siwezi kuendelea na binti yako pia mahari niliyoitoa nimesahmee.
Mpaka sasa simu yangu ina missed call 80, sms 30
Mkuu tunaomba mrejesho
 
Sasa ni mtu mzima kwa miaka yangu napaswa kuwa na familia lakini niko mwenyewe sio kwa kupenda la hasha

nilipata familia miaka 6 iliyopita baada ya miez kadhaa ya mtoto kuzaliwa ukweli ukajitokeza kwamba mtoto akiwa damu yangu
Mwanaume nikakaza nikaamua kumlea sikutaka kuipoteza familia nzuri niliyoianzisha

Hii leo tumeachana ,matokeo yake nimekosa kila kila kitu..,
Mtoto niliyempenda kwa dhati nashindwaa hata kusimama kumdai wala kuhusika kwenye maisha yake tena.., sababu ya damu sio yangu

Ushauri kwa mtoa mada kisicho chako usitake kukimiliki utabaki na maumivu makubwa sana

Nawasilisha japo sio mwandish mzuri ila mada imegusa maisha yangu sana
 
Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.

Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.

Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.

Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"

Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu

MREJESHO
Jana ugomvi ulikuwa mkubwa ila nilitumia busara nilikaa kimya sikusema chochote alienda mbali zaidi akasema tuachane kimoyo moyo nikasema umeisha.

Leo asubuhi amekuja na mama yake mzazi kusuluhisha ugomvi binti amekiri kuwa amekosa zilikuwa ni hasira tu.

Maamuzi niliyochukua sikupepesa macho nilimwambia mama kuwa siwezi kuendelea na binti yako pia mahari niliyoitoa nimesahmee.
Mpaka sasa simu yangu ina missed call 80, sms 30
Safi sana yani anakwambia uzae wako kama hudindi vile ***** zake
 
Braza upo vyema kichwani kweli ama ni Afande Swila ndio anaandika hapa? Unampiga chini kisa kakuambia ukweli utachukuaje jina la kwako ukampe mtoto wa mwanaume mwenzio? Ningekuwa mimi ndio ingekuwa fursa ya kuacha mpaka kutoa huduma na kumlipia ada huyo Kelvin. Zaa wa kwako.

Mi namtetea bro, hii ni kumuonesha kuwa hatakiwi kutelekeza kizazi chake, wapo wanaume watacare na pia kujaribu kubadili jina ilikuwa ni kipimo kizuri kabisa kwa huyo single mother kuwa moyo wake upo wapi, imeonesha kabisa moyo wa single maza upo kwa huyo fala aliyemwacha

Wakurya huoa single ,mother na kubadili majina ya watoto, kama hutaki udhaifu watoto wako wasibadilishwe majina na kuhudumiwa na dume lingine inapasa uhudumie na kujali fullstop.
 
Sasa mkuu shida ni moja nataka kumpiga chini huyu mwanamke ila kila nikimuangalia huyu mtoto roho inaniuma sana sababu huyu mtoto nimemlea tangu akiwa na mwaka mmoja (1) na anajua kabisa mimi ndio baba yake mzazi.
Mama yake ni kichwa panzi katika kipindi chote iko cha miaka 4 hataki kuzaa mpaka nimuoe.
Dogo upstairs yupo vizuri sana Naona nikimpiga chini mama yake huyu dogo ataharibikiwa sana
Mzee unastahili kabisa kuchukua ubini wa huyo mtoto pasi na shaka hasa kama umetoka nae mbali kiasi hicho yaani toka akiwa na mwaka mmoja, huyo angekuwa na mapenzi na wewe na kwa care unayompa mtoto wake angekuwa keshakuzalia siku nyingi na maisha yanakwenda

Kuwa makini na hiyo familia usije kuta unatumika kutimiza malengo yao na badae unamaliza nguvu zako kuhudumia watu wasio na faida kwako, kuwa makini sana tena chukua maamuzi magumu.
 
Sasa ni mtu mzima kwa miaka yangu napaswa kuwa na familia lakini niko mwenyewe sio kwa kupenda la hasha

nilipata familia miaka 6 iliyopita baada ya miez kadhaa ya mtoto kuzaliwa ukweli ukajitokeza kwamba mtoto akiwa damu yangu
Mwanaume nikakaza nikaamua kumlea sikutaka kuipoteza familia nzuri niliyoianzisha

Hii leo tumeachana ,matokeo yake nimekosa kila kila kitu..,
Mtoto niliyempenda kwa dhati nashindwaa hata kusimama kumdai wala kuhusika kwenye maisha yake tena.., sababu ya damu sio yangu

Ushauri kwa mtoa mada kisicho chako usitake kukimiliki utabaki na maumivu makubwa sana

Nawasilisha japo sio mwandish mzuri ila mada imegusa maisha yangu sana
Duh
 
Hata ningekuwa mimi hakika ningemwacha, sio kwa sababu amesema mtoto atumie jina la ubini wake, ila kwa reaction ya kupayuka na kutamka maneno kama "zaa wako" aisee, nisingerudi nyuma!

Niliwahi kuwa na mchumba, nimemlipia mahari na karibu kila ndugu yake alikuwa ananifahamu (in short ilikuwa imebaki ndoa tu)

Siku moja alipata safari ya kikazi, akapitia kwa "rafiki" yake wa kiume bila kunipa taarifa, akakaa huko siku mbili, nilipompigia simu akaniambia yupo njiani anarudi, lakini sauti ilionyesha yupo ndani (mwangwi wa lodge) nikamuuliza mbona unanidanganya?

Majibu yake sasa: "Mbona unanichunga chunga ilhali hata haujanioa, usinichunge chunge hivyo, ukinioa bhana" akakata simu, aisee baada ya pale sikumtafuta tena, aliporudi Dar sikumuuliza uko wapi wala kwenda kwake!
Alipokuja kwangu nilimwambia "Usitie mguu hapa mpaka nitakapokuoa, na ufunguo nikamnyang'anya!

Aliniomba msamaha kwa kupiga simu, kuandika msg, na hata kutumia rafiki/ndugu zangu na wake, but kwa aina ile ya majibu niliona kabisa naenda kuvaa Bomu, sikurudi nyuma wala mahari sikudai!

Mpaka leo yupo tu anatoa pongezi status kila wenzake wanapoolewa!
Duh[emoji119]
Haya mambo haya
Btw,hongera kwa maamuzi
 
Sasa mkuu shida ni moja nataka kumpiga chini huyu mwanamke ila kila nikimuangalia huyu mtoto roho inaniuma sana sababu huyu mtoto nimemlea tangu akiwa na mwaka mmoja (1) na anajua kabisa mimi ndio baba yake mzazi.
Mama yake ni kichwa panzi katika kipindi chote iko cha miaka 4 hataki kuzaa mpaka nimuoe.
Dogo upstairs yupo vizuri sana Naona nikimpiga chini mama yake huyu dogo ataharibikiwa sana
Hawezi haribikiwa
Hutujui vzr wanawake!

Itaku-cost hapo mbele....
 
Back
Top Bottom