Kwani mkuu kitugani kilikufanya ubebe majukumu ya mtu mwingine wakati huyo mtu yupo? Na siyo ndugu yako wala siyo husikubal kubebesha zigo la mtu huyo mtoto lazima atakuwa na Baba zake wadogo na wakubwa na shangaz zakekwanini wao wasibebe mzigo wao?Acha niendelee na mambo yangu ya kitoto,ada ya shule na vitu vyote vya msingi alipie baba yake mzazi
Nimeshatoa maamuzi kwa mwenzenu amebaki analilia na kuomba msamahaWewe bado mtoto mdogo Sana kifikira, narudia Tena zaa mtoto wako umpe ubini wako sio kung'ang'ana na sperm za wanaume wenzako
Wewe huyo mtoto akuusu kabisa we Fanya yanayo kuusu kujenga familia yako kuusu maitaji ya mtoto wausika watawajibika waoKama angekuwa anajielewa angetulia asingezaa na vibaka wanaoshindwa kuhudumia watoto,
Tayari zigo nimeshalitua ndugu yangu ,nilimuonea huruma baada ya mzazi mwenzake na ndugu wa jamaa kukataa mimbaKwani mkuu kitugani kilikufanya ubebe majukumu ya mtu mwingine wakati huyo mtu yupo? Na siyo ndugu yako wala siyo husikubal kubebesha zigo la mtu huyo mtoto lazima atakuwa na Baba zake wadogo na wakubwa na shangaz zakekwanini wao wasibebe mzigo wao?
Na unawezaje kumuudumia mtoto wa mwanaume mwenzako na yeye yupo wazaz wake wapo ndugu zake wapo?Mnasema tu sababu hayajawakuta,hivi unawezaje kuishi na mtoto ambaye unatumia jina la mwingine huku wewe ukimuhudumia kila kitu??
Tayari biashara imeishaWewe huyo mtoto akuusu kabisa we Fanya yanayo kuusu kujenga familia yako kuusu maitaji ya mtoto wausika watawajibika wao
Safi Sana, mtu single mother umepata mtu wa kukuinua then unaleta za kuleta! Blood fucking ass. Sasa arudi tu kwa huyo aliyemzalisha.Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.
Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.
Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.
Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"
Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu
MREJESHO
Jana ugomvi ulikuwa mkubwa ila nilitumia busara nilikaa kimya sikusema chochote alienda mbali zaidi akasema tuachane kimoyo moyo nikasema umeisha.
Leo asubuhi amekuja na mama yake mzazi kusuluhisha ugomvi binti amekiri kuwa amekosa zilikuwa ni hasira tu.
Maamuzi niliyochukua sikupepesa macho nilimwambia mama kuwa siwezi kuendelea na binti yako pia mahari niliyoitoa nimesahmee.
Mpaka sasa simu yangu ina missed call 80 ,sms 30
Nakuambia huna uwezo wa kumiliki mke na familia wewe,wewe ni mtu mwenye maamuzi ya kukurupuka Sana,na hili litakugalimu Sana katika maisha yako,unaonekana kupenda kufikia hitimisho bila kufikirisha ubongo wako,kwanza umekurupuka kwenda kubadili ubini wa mtoto bila idhini ya mwenzako,na bado umekurupuka kumuhukumu mwenzako kwa mawazo ya mitandaoni.Nimeshatoa maamuzi kwa mwenzenu amebaki analilia na kuomba msamaha
Maamuzi ndio yameshatoka na uwa sifanyi maamuzi kwa kufata ushauri wa mtu nashirikisha ubongo wangu, mwanamke hawezi kunipanda kichwani hata siku moja kwangu utaishi kwa sheria na taratibu..unasema Hasara katika taifa wakati nimeajiri watu zaidi ya 200,Nakuambia huna uwezo wa kumiliki mke na familia wewe,wewe ni mtu mwenye maamuzi ya kukurupuka Sana,na hili litakugalimu Sana katika maisha yako,unaonekana kupenda kufikia hitimisho bila kufikirisha ubongo wako,kwanza umekurupuka kwenda kubadili ubini wa mtoto bila idhini ya mwenzako,na bado umekurupuka kumuhukumu mwenzako kwa mawazo ya mitandaoni.
Wewe ni hasara Sana katika taifa hili
Jamaa ni fwala sanaaa so ndo hapo sasa!!Wewe ndo mwenye matatizo utampaje jina mtoto asiye wako kama vile sperm zako haziwezi totolesha
Maamuzi gani na bado unaishi nae??[emoji3][emoji3][emoji3]Tayari biashara imeisha
Ukigeuka nyuma jua umeumiaaa...!!! Msimamo huo huo akatafute baba ake amlelee maana hawezi leta maneno ya dharau hivyo na unamsaidiaMREJESHO
Jana ugomvi ulikuwa mkubwa ila nilitumia busara nilikaa kimya sikusema chochote alienda mbali zaidi akasema tuachane kimoyo moyo nikasema umeisha.
Leo asubuhi amekuja na mama yake mzazi kusuluhisha ugomvi binti amekiri kuwa amekosa zilikuwa ni hasira tu.
Maamuzi niliyochukua sikupepesa macho nilimwambia mama kuwa siwezi kuendelea na binti yako pia mahari niliyoitoa nimesahmee.
Mpaka sasa simu yangu ina missed call 80 ,sms 30
Apo ndo kitaumanaLet say unaitwa Ngwengwe, Mme mwenzio ...maana mkeo ana mitala ....anaitwa Sida.
Mtoto anaitwa Jane.
Shuleni ni "Jane Sida". Siku ukienda shuleni kwa mtoto lazima uitwe jina LA Mme mwenzio.
" Hello Mr sida ,mzazi wa Jane" utasalimiwa hivo kumbe wewe ni Ngwengwe.
Huyo dem hakupendi, kwa ulivyoeleza ni dhahili ata ukiwa nae hatokudhamini, wanawake ni wajanja sana na wanajua wanachofata kwa mwanaume, ukichunguza kwa kina ana mabwana wanaompiga sana tuMtoto alimkataa amekata huduma tangu akiwa na mwaka 1 ,huo uchungu hautoe wapi?
Atakama Baba mtoto kafa jina halifi linabakia Tu vizaz na vizazHauwezi kumpa jina mtoto wa mtu.
Kwani baba yake kafa?