Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba hataki mtoto alimkataaBaba wa mtoto yupo hai'
Pelekeni mtoto kwa baba yake
Ila pesa ya jamaa kuhudumia mtoto wa mwingine anaitaka wakati mwenye mtoto yupo.kati ya vitu nawaombea watoto wangu ni kutokuzaa kabla ya kuolewa. huyo dada yupo sahihi, huwezi kuchukua nafasi ya baba halisi, zaa wa kwako mzee.
Amefanya la maana kumpiga chini mapemaaa ili arudi huko kwa aliyemzalisha, namshauri asiguse tena single mothers ni pasua kichwa.Toa mbegu upate mtoto wa ubini wako. Hilo ndio Jambo la msingi. Huyo mtoto wa kibaka yupo na muache.... Hakuhusu kiasi cha kumbadilisha jina lake la ukoo.
Hon är dumhet jag gör vad som helst för henne och hennes barn,hon är hjär tlösWe m- sverge ikke godt for I gor
Hyo ni dhambi hata kama baba amemtelekeza. Ulipaswa ujadili nae kabla
Umejibu kirahisi Sana. Sasa kama baba yake yupo kwa Nini analipiwa ada, nguo, madaftari, malazi, matibabu n.k na baba wa kambo?Huna mbegu za kumzalisha mtoto wa kumwita ubini wako? Acha ubinafsi uliopindukia.
Piga chini ndio. Mwanamke amefanya maamuzi sahihi kabisa. Wanaume wapo tuu.... Tena wa kutosha kwa wanawake wanaojielewa.
hon är inte alls hjärtlös. du kontrollerarHon är dumhet jag gör vad som helst för henne och hennes barn,hon är hjär tlös
Huu ni ushauri mbovu kabisa ...Mimi Nashauri hivi;
jamaa usimuache mwanamke unaempenda kwasababu ya UBINI wa baba yao.
Kuchana madaftari, hakumaanishi kwamba demu anampenda jamaa aliyezaa nae.
Upendo unanguvu ya kuvuka mipaka ya ukomo mliojiwekea ktk kutoa huduma kwa wanajamii wenu.
Namaanisha, Upendo wako usiwe na mipaka.
Hata ndugu wa huyo mtoto wanaweza kuja kumsalimu kijana wao wakipenda.
Kubadili jina ama ubini wa mtoto kuna taratibu zake, japo si vizuri kubadili ubini wa mtoto kama baba wa kumzaa yupo hai au anajulikana na jamii inayo wazunguka.
Siku moja, atajua kwamba wewe si baba yake mzazi, ataonyeshwa mahali ukoo wake upo,,,,,,, hakika itakusumbua sana.
KIROHO,,,,,,,, ikiwa zitatokea changamoto za kiroho,,,,, mambo ya mizimu na matambiko,,,,,,,,mambo ya kiimani, hakika utapata shida mpaka utakapo mrudisha ktk ukoo wake halisi.
USIMUACHE MDADA,,,,,,,,,, MPENDE NA MUHUDUMIE MWANAE PASIPO KUBADILI JINA LAKE LA UBINI.
Nazidi kukazi Kama anataka mtoto wa kumpa ubini wake , akazane kupiga mashine,kubadili ubini wa mtoto asiye damu yako kwa kigezo Cha kumlipia vijisenti vya Ada Ni upumbavu wa kiwango Cha lami,nampongeza mwanamke kwa kuwa mwelevu.Misaada tunayowapa watu bila masharti ni misaada yenye scenario za kawaida sana, hata mimi hua ninawasaidia sana watu wenye uhitaji tena bila masharti yoyote lakini
Hii issue ya huyu jamaa ni sensitive sana, naona watu wanaongea tu juu juu kurahisisha mambo, kama jamaa yupo tayari kumsomesha mtoto kuna ugumu gani mtoto kutumia jina lake?
Baba mtoto si yupo hai ana umuhimu gani wa mtoto kutumia jina lake ikiwa wajibu wake unatekelezwa na mwanaume mwingine.
Kwa hiyo nyie mnaona ni vigumu mtoto kubadilisha jina kuliko utayari wa jukumu la kumsomesha alilojipa jamaa?
Kama issue ya kupata watoto wake ni suala la muda la jamaa kulitekeleza, ila ni shida hata watoto wengine wakipatikana tayari wakakuta familia ina matabaka, huyu mtoto anatumia ubini huu, wao wanatumia huu, halafu kwa dalili hizo za huyo mama mtu usikute jamaa atakatazwa hata kumcharaza mtoto bakora kisa sio wake.
Mtoa maada, badilisha jina huyo mtoto then msomeshe, kama mama mtu hataki akamwambie mwenye ubini anaoutetea alete ada.
Kwa mama mwenye uelewa na umuhimu wa elimu asingekukatalia ila hadi anakataa usikute bado anampenda baba wa huyo mtoto na pengine bado wanawasiliana na kushauriana namna ya kukuona wewe boya.
Takataka huyo mwanamke hana shukrani! Mkuu nimeona hekima yako ya dhati, Hutakiwi kupepesa macho mpige chini aende kwa huko baba wa mtoto alie hai...Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.
Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.
Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.
Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"
Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu
Vijisenti vya ada? Mbona baba mzazi wa mtoto kashindwa kuvilipia?Nazidi kukazi Kama anataka mtoto wa kumpa ubini wake , akazane kupiga mashine,kubadili ubini wa mtoto asiye damu yako kwa kigezo Cha kumlipia vijisenti vya Ada Ni upumbavu wa kiwango Cha lami,nampongeza mwanamke kwa kuwa mwelevu.
Mimi hapa Hadi napata kazi nimesomeshwa na wasamalia wema kwa asilimia 98 lakini hakuna hata mmoja aliyetaka nibadili ubini wangu eti kisa ananilipia gharama za masomo.
Amwache hivyo hivyo wapo wenye Nia ya kusaidia watu bila mashariti ya ajabu ajabu,nyie ndo huwa mnasaidiwa watu wa jinsia ya kike baadae mnawataka huduma ya ngono!!!Vijisenti vya ada? Mbona baba mzazi wa mtoto kashindwa kuvilipia?
Kalelewa mtoto wake toka ana mwaka 1 mpaka sasa hivi anayo 5
Halafu bado mnasema vijisenti
Jag ska slarva burt mitt lugn,att rensa mitt huvud jäg kanner mig låg tappa kontrollen mitt hjärta är säyin lämnahon är inte alls hjärtlös. du kontrollerar
nyie ndo huwa mnasaidiwa watu wa jinsia ya kike baadae mnawataka huduma ya ngono!!!Amwache hivyo hivyo wapo wenye Nia ya kusaidia watu bila mashariti ya ajabu ajabu,nyie ndo huwa mnasaidiwa watu wa jinsia ya kike baadae mnawataka huduma ya ngono!!!
dah pole sana. Baba ake yupo na huduma anatoaNatarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.
Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.
Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.
Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"
Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu