Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
AsanteJina lako zuri kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteJina lako zuri kweli.
Wifi buana hebu kaa kwa kutulia... Kaka ale raha za dunia.Ila wakati unamuoa ulitushirikisha
Inaonekana hujawai kuwa na mahusiano mazur na familia yako baba yako mama yako dada zako ambao umeish nao nusu ya maisha yako under same roof..umekuja kutana na stranger in a year umeoa sasa unaona ndugu zako si chochote si lolote..Niende kwenye hoja ,kumekuwa na desturi za ndugu na jamaa kuingilia Mambo ya NDOA za watu na kutoa ushauri utadhani wao walisona vyuo vya ndoa.
Ninavyojua Mimi ndoa haiwezi kua na amani maisha yenu yote Kuna siku mnatofautiana
Mtu unamsema mke wa mwenzio vibaya Mara siyo lika ,lako Mara ni mfanyakazi atakunyanyasa ,Mara mchoyo ,Mara hapendi ndugu, Sasa Kama mawifi ni wanafiki asiseme eti kwa sababu kaolewa????
Binafsi sipendagi ujinga Kama huo nikimuacha mke wangu NAOA ndugu Sasa ili tuone hatima yake
Nawasalimu kwa jina la jamhuri..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa limbwata kama hili bonyeza *103*45*8#
Hapo 5 na NB ndo umeuwa sasa,hongeraPale ambapo utamuhusisha sana mkeo na ndugu ndio hupelekea mazoea hayo. Principles zangu,
1. Mke ni wangu na hawezi kuwaridhisha ndugu zangu wote japo hawezi wadharau,
2. Sijazi ndugu nnapoishi na mke wangu, mimi, mke na watoto..kuja kusalimia sawa ila sio kuishi pamoja
3. Nasaidia ndugu wakiwa mbali sio kuchagamana nao,
4. Mambo ya familia/ndugu nawambia wanitafute mimi, kila ndugu yako akiwa na ukaribu na mkeo kwa familia za kiswahili ataambiwa mambo yako mpaka ya utoto, weka mipaka
5. Above all, wazazi wangu ni muhimu kuliko mtu yyte, ninapofanya mambo yawahusuyo inabidi atulie!
N.B mke sio ndugu yako, ni life partner, hivyo basi ishi nae kwa akili usivuruge ndoa kwa ajili ya ndugu zako and virse versa is true!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh huko ujaluoni bana shida yenu moja....nilishakuambia 😂
😄😄😄hahahahaHahaa Mi siku nkipata mtoto ntafanya hivohivo..kuna baadhi ya ndugu NI nuksi maradufu.kuna mwenzangu ye yamemkuta hayo hana hamu.eti Wifi kaja anamuogesha mtoto wake wa miaka 2 akaanza kumzungusha vile yupo uchi eti "ohh huyu mtoto hafanani kabisa na naniliu(kakake)..yaani hawafanani kabisa"
Huu si ushetani lakini?
Kamwe usiruhusu mke wako au ndugu zako kujua msimamo wako maana ndio utakua udhaifu wako, na ndio chanzo kikubwa cha migigoro. We hakikisha unaenda sambamba na yeyote atakaeleta bangi. Mke akijua unamfavour atadharau ndugu zako, vilevile ndugu ukiwafavour watamdharau mke wako.Pale ambapo utamuhusisha sana mkeo na ndugu ndio hupelekea mazoea hayo. Principles zangu,
1. Mke ni wangu na hawezi kuwaridhisha ndugu zangu wote japo hawezi wadharau,
2. Sijazi ndugu nnapoishi na mke wangu, mimi, mke na watoto..kuja kusalimia sawa ila sio kuishi pamoja
[emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka mama mkwe wangu aliwai kuja kusimamia kijana anifukuze eti acha akusanye kila kilichochake, mpishe kwanza....akamchukua wakatoka akijua kijana kanipa muda hatorudi siku iyo analala kwao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jioni mr akarudi Kwake km kawaida na mahaba na kuomba msamaha juu eti ndugu zangu waache ndoa ni mimi na wewe! Mama akagundua kijana hakulala kwao asubui saa 12 kafika eti mumeo yupo nkamwambia yupo akamfuata chumbani bado amelala hana habari nliona mama anatamani kulia
We mpelekee motoMwoe tu ndugu yako, hakuna namna.
Dawa ya moto si maji bali moto, yaani moto kwa moto, ndipo moto huwa moto kweli.
Huyu mama mmhh
Mi kuna kitu sielewi,inkuwaje unakaribishwa kwenye nyumba ya mwingine halafu unaanza kuwapangi a vile unavotaka wewe waishi?
Hata huyu pia hivohivo.mgeni ni Wifi anafokafoka tu hii nyumba mnakula ovyoovyo.kisa ye msabato akiona mtoto kashika soda anampush huko.akiona keki hataki
Ye anataka mpike makande tu na mboga za majani.hataki nyama wala samaki wala dagaa
PoleJamaniiiiiiiii
This is my wifi kabisa
Ila nimemweka mahala pake...ni kumchorea mstari tu ajue mipaka yake
Hakuna stori salamu na kuzungumza mambo ya msingi
Na nilimueleza nanunua vyakula ilj watoto wale.....watu wazima hata wakishinda njaa hainisumbui
UKIONA NDUGU WANAINGILIA NDOA YAKO, TATIZO NI WANA NDOA SIO NDUGU. NDUGU WATAJUAJE YA HUKO KWENU KAMA SIO NINYI MWAPELEKA?? AU NDUGU ZAKO WAMEKUWEKEA CCTV CAMERA HUKO KWENU?Niende kwenye hoja, kumekuwa na desturi za ndugu na jamaa kuingilia mambo ya NDOA za watu na kutoa ushauri utadhani wao walisoma vyuo vya ndoa.
Ninavyojua mimi ndoa haiwezi kua na amani maisha yenu yote kuna siku mnatofautiana.
Mtu unamsema mke wa mwenzio vibaya sara siyo lika lako mara ni mfanyakazi atakunyanyasa, mara mchoyo, mara hapendi ndugu, sasa kama mawifi ni wanafiki asiseme eti kwa sababu kaolewa?
Binafsi sipendagi ujinga kama huo nikimuacha mke wangu NAOA ndugu sasa ili tuone hatima yake.
Nawasalimu kwa jina la jamhuri.