Mke wangu ndiye ukoo wangu, ndugu huna nyongeza yoyote

Inaonekana hujawai kuwa na mahusiano mazur na familia yako baba yako mama yako dada zako ambao umeish nao nusu ya maisha yako under same roof..umekuja kutana na stranger in a year umeoa sasa unaona ndugu zako si chochote si lolote..

Kwel mbuny.e ni silaha hatar zaid ya WMDs.

Mwanaume hajawai shinda kihistoria tangu ulimwengu huu uanze...
 
Hapo 5 na NB ndo umeuwa sasa,hongera

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mmh huko ujaluoni bana shida yenu moja....nilishakuambia 😂
😄😄😄hahahaha
 
Kamwe usiruhusu mke wako au ndugu zako kujua msimamo wako maana ndio utakua udhaifu wako, na ndio chanzo kikubwa cha migigoro. We hakikisha unaenda sambamba na yeyote atakaeleta bangi. Mke akijua unamfavour atadharau ndugu zako, vilevile ndugu ukiwafavour watamdharau mke wako.

Hata hivyo mimi sijaoa najua nini[emoji28][emoji28].
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wamama wa mjini wa shida sana!

Sie wengine mama zetu wapo zao kijijini huko tumewawekea tu mazingira mazuri tunatuma vihela vya chumvi na kuweka vibarua shambani, ukimpigia simu utasikia msalimie sana mama (yani mke wangu).
Habri za mnaishije kamwe huwezi kuzisikia.
 
Kila mmoja anahaki juu yako, usiache mke sababu ya ndugu na usimuache ndugu yako sababu ya mke wako.

Jipe muda kutafakari bila ushauri wa mkeo wala ushauri wa nduguyo, kisha weka kila kimoja mahala pake.

Unaweza ku guarantee uhusiano wako na ndugu yako kuwa hautoweza kuvunjika mpaka kifo ila huwezi ku guarantee uhusiano wako na mkeo kuwa hautoweza kuvunjika mpaka kifo hatakama utakuwa mwema kwake kwa maisha yako yote.

Mkeo akiwa bora kwako huwa bora kuliko hata ndugu yako, ila haiondoi ubora wa ndugu yako kwako.
Kila mmoja anaumuhimu wake.

Mke ni ndugu yako ikiwa atavumila kuwa na wewe katika hali za aina mbili: wakati wa matatizo kama kesi, kuyumba ki uchumi, ajali au maradhi. Pili ni kukuvumilia katika umri wa uzee wako maana uzee huja na mengi.
Katika maeneo mawili hayo wengi wametengwa na ndugu.

Ila unapokuwa kijana unaafya, pesa na nguvu ya ushawishi mke kwako ni rafiki mwema, muhimu ni kuishi nae kwa wema.
 
Jamaniiiiiiiii

This is my wifi kabisa

Ila nimemweka mahala pake...ni kumchorea mstari tu ajue mipaka yake

Hakuna stori salamu na kuzungumza mambo ya msingi

Na nilimueleza nanunua vyakula ilj watoto wale.....watu wazima hata wakishinda njaa hainisumbui
 
Pole
Kikubwa asikukontrol uende vile anavyotaka.
Ukiingia nyumbani ya watu ishi kwa utaratibu uliokuta.huwezi ondoka
 
UKIONA NDUGU WANAINGILIA NDOA YAKO, TATIZO NI WANA NDOA SIO NDUGU. NDUGU WATAJUAJE YA HUKO KWENU KAMA SIO NINYI MWAPELEKA?? AU NDUGU ZAKO WAMEKUWEKEA CCTV CAMERA HUKO KWENU?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…