Mke wangu ni mama wa nyumbani, darasa la 7 lakini ana maono, yuko smart na anaona mbali kuliko mimi

Mke wangu ni mama wa nyumbani, darasa la 7 lakini ana maono, yuko smart na anaona mbali kuliko mimi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Sijui niandike vipi aisee!
Wanawake hakika wana upeo kutushinda wanaume, na kila atakayemsikiliza mke wake atafika mbali.

Kuna jambo nilikusudia kufanya nikawa na pesa pungufu, nikataka nifanye kwa uchache wife akasema usifanye hivyo hebu tulia tunza fedha ulifanye hili jambo kwa ukubwa na kwa ubora. Ndani ya muda mfupi nikafanikiwa kulifanya kwa ubora. Bila wife kunishauri nilidhamiria kulipua chap nimalize.

Nyumba hii tunayoishi imegharimu kama millioni 20, kwa mwanamke ambaye amekulia Kijijini angeona ni smart house lakini wife anaamini ni nyumba ya kupita tu na tutahama huu mtaa twende kwenye nyumba nyingine nzuri.

Kuna biashara ya duka tuliifanya mtaa fulani hapa Dar alinishauri jambo nikapuuza nikafanya kwa ubabe duka likafa.

Wife hajasoma, kaishia la saba lakini anawadharau mpaka wale wanaosimama nyuma ya Rais, anawaona ni wajinga sana, wanafanya kazi ya utumwa. Kumbe unaweza kuwa huna pesa lakini huna mind ya kitumwa.

Wife nilimuuliza ulipwe sh. ngapi utakubali body guard wa Rais akajibu hawezi kufanya kazi ya kusimama huku anayemlinda amekaa.

Mtoto wetu wa kwanza alikuwa anaimba kuhusu jeshi. Yaani anapenda kazi ya jeshi mno. Wife anamkataza kila akitamka neno Jeshi . Anamwambia kazi gani ya kuwa mtii muda wote kana kwamba mtumwa.

Kumbe utumwa uko kwenye fikra, na hauwezi kuondoka kwa kusoma.
Ndio maana mtu ana PhD lakini bado ni mtumwa wa Wazungu, anaamini bila wao nothing impossible.
 
Hongera kwako pia unayesikiliza ushauri wa mkeo.
 
Sijui niandike vipi aisee!
Wanawake hakika wana upeo kutushinda wanaume, na kila atakayemsikiliza mke wake atafika mbali.
Kuna jambo nilikusudia kufanya nikawa na pesa pungufu, nikataka nifanye kwa uchache wife akasema usifanye hivyo hebu tulia tunza fedha uliranye hili jambo kwa ukubwa na kwa ubora. Ndani ya muda mfupi nikafanikiwa kulifanya kwa ubora. Bila wife kunishauri nilidhamiria kulipua chap nimalize.
Nyumba hii tunayoishi imegharimu kama millioni 20, kwa mwanamke ambaye amekulia Kijijini angeoina smart lakini wife anaamini ni nyumba ya kupita tu na tutahama huu mtaa twende kwenye nyumba nyingine nzuri.
Kuna biashara ya duka tuliifanya mtaa fulani hapa Dar alinishauri jambo nikapuuza nikafanya kwa ubabe duka likafa.
Wife hajasoma, kaishia lasaba lakini anawadharau mpaka wale wanaosimama nyuma ya Rais , anawaona ni wajinga sana, wanafanya kazi ya utumwa. Kumbe unaweza kuwa huna pesa lakini huna mind ya kitumwa.
Mtoto wetu wa kwanza alikuwa anaimba kuhusu jeshi. Yaani anapenda kazi ya jeshi mno. Wife anamkataza kila akitamka neno jeshi . Anamwambia kazi gani ya kuwa mtii mda wote kana kwamba mtumwa.
Kumbe utumwa uko kwenye fikra, na hauwezi kuondoka kwa kusoma.
Ndio maana mtu ana PhD lakini bado ni mtumwa wa Wazungu, anaamini bila wao nothing impossible.


Kuwa visionary is about God given

Universe ilivyo imeweka balance ya kila MTU kufanikiwa pasipokuzingatia vigezo Kama Elimu , sura wala mwonekano.


Elimu ni elimu tu hata darasa 7 ni elimu .

ni kweli wapo watu wamebarikiwa kuwa na AKILI na maono ukimpata MTU wa hivyo kufanikiwa MAISHA sio jambo la kuuliza.
 
Naskia Dr. Mwakikuma ametoa maoni yake ambayo anaona kama yatamkwamisha mama kwenye uchaguzi ujao...☹️
 
Namuhurumia huyo mama, yasije yakamkuta kama Penina wa Goba mshangazi nginjanginja komasava, alivyokula hela ya msukuma hadi akageuzwa bucha..🤣
 
Mungu akubariki sana. Mshukuru sana Mungu na umuombee sana mkeo. Malango ya uchumi kuna nyumba yako kwa mwanamke na kuna nyumba yako kwa mwanaume.
Ibilisi akifanikiwa kukudanganya unaweza jikuta unambania mkeo kwa hisia za kusema "asije akanizidi na akaja nidharau" usijue kuwa kwa kutenda hilo ,ndio unajichirea mstari na kujifungia milangi ya mafanikio.

Mungu azidi kuwatunza. Ndio maana ya kusema, "Mungu atakupa wa kufanana nae"
 
Akili maana yake ni kuondoa yale yote uliyofundishwa darasani kinachobaki ndo akili
 
Waliokupa hongera ni wajinga wenzako,
1. Yaani mke wako hajui wale wanalipwa hawafanyi kazi bure, umeona mpambe wa raisi kapandishwa cheo, unadhani atalipwa tena milioni 2 na marupurupu?
Sasahivi ata pata zaidi ya milioni 4 kwa mwezi. Na ana uhakika wa Bima ya maisha yake yote, na gari nzuri ya zaidi ya milioni 200 akistaafu, mazishi yatayosimamiwa vizuri. Connection na heshima nzuri. Hvo ndio vitu tunahitaji.
Sasa akae na wewe mpumbavu unayempa moyo eti hujasoma tunaishi nyumba ya 20 ml, tulifunga kiduka tutajenga nyingine hii tunapita. Fakn.

2. Katika familia yenu kama kweli mko sawa, acheni kufatilia watu wengine rizika na mlichonacho pambanieni furaha yenu, inshort, mkijifananisha na watu wengine yaani nyie ni mbwa tu. 20ml house, owning a retail shop, fkn zenu tena. Tafuteni maisha. Hamtaki utumwa ila nyie ni maskini. Kwa mnaojiringanisha. Kingine hujatuambia kazi yako, ww ni mtumwa au mtuma?

3. Nikurekebishe, kazi ya jeshi na polisi si kazi za kuamriwa, kula kitu kinafanywa katika muda wake, muda wa kazi ni kutimiza majukumu, kama majukumu yako wewe. Ya duka, familia na kijumba chako cha milioni 20.
Correct me if i am wrong.
 
Back
Top Bottom