Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Inasemwa hivi hakuna kitu kikubwa katika maisha kama attitude,,ndio maana tembo ni mkubwa kuliko simba na ana nguvu mingi lakini ni chakula ya simba
Simba ana attiude kwamba atamla tembo na ni chakula chake,,haijalishi tembo ni mkubwa kiasi gani
Na wasomi wengi wana skills lkn hawana mtazamo wa mafanikio ndio maana wasio kuwa na elimu wana positive attitude huwaajiri wasomi,,mfano bakharessa na wengineo
So it's all about attitude
Simba ana attiude kwamba atamla tembo na ni chakula chake,,haijalishi tembo ni mkubwa kiasi gani
Na wasomi wengi wana skills lkn hawana mtazamo wa mafanikio ndio maana wasio kuwa na elimu wana positive attitude huwaajiri wasomi,,mfano bakharessa na wengineo
So it's all about attitude