Mke wangu ni mama wa nyumbani, darasa la 7 lakini ana maono, yuko smart na anaona mbali kuliko mimi

Mke wangu ni mama wa nyumbani, darasa la 7 lakini ana maono, yuko smart na anaona mbali kuliko mimi

Kwahiyo smartness ni kudharau kazi halali za wengine?
Anataka watu wote tufanane tusiajiriwe.
Hao walio ajiriwa ndio wanasababisha yeye apate nafasi ya kufanya biashara kwa amani ktk mazingira sahihi kibiashara.
Kukiwa na vita hizo biashara atafanya?
Kusipokuwa na askari muda wowote mnavamiwa mnaibiwa mali zenu.
 
Sijui niandike vipi aisee!
Wanawake hakika wana upeo kutushinda wanaume, na kila atakayemsikiliza mke wake atafika mbali.

Kuna jambo nilikusudia kufanya nikawa na pesa pungufu, nikataka nifanye kwa uchache wife akasema usifanye hivyo hebu tulia tunza fedha ulifanye hili jambo kwa ukubwa na kwa ubora. Ndani ya muda mfupi nikafanikiwa kulifanya kwa ubora. Bila wife kunishauri nilidhamiria kulipua chap nimalize.

Nyumba hii tunayoishi imegharimu kama millioni 20, kwa mwanamke ambaye amekulia Kijijini angeona ni smart house lakini wife anaamini ni nyumba ya kupita tu na tutahama huu mtaa twende kwenye nyumba nyingine nzuri.

Kuna biashara ya duka tuliifanya mtaa fulani hapa Dar alinishauri jambo nikapuuza nikafanya kwa ubabe duka likafa.

Wife hajasoma, kaishia la saba lakini anawadharau mpaka wale wanaosimama nyuma ya Rais, anawaona ni wajinga sana, wanafanya kazi ya utumwa. Kumbe unaweza kuwa huna pesa lakini huna mind ya kitumwa.

Wife nilimuuliza ulipwe sh. ngapi utakubali body guard wa Rais akajibu hawezi kufanya kazi ya kusimama huku anayemlinda amekaa.

Mtoto wetu wa kwanza alikuwa anaimba kuhusu jeshi. Yaani anapenda kazi ya jeshi mno. Wife anamkataza kila akitamka neno Jeshi . Anamwambia kazi gani ya kuwa mtii muda wote kana kwamba mtumwa.

Kumbe utumwa uko kwenye fikra, na hauwezi kuondoka kwa kusoma.
Ndio maana mtu ana PhD lakini bado ni mtumwa wa Wazungu, anaamini bila wao nothing impossible.
Wengine walikosa fursa ya kwenda shuleni tu kutokana na changamoto na mapito mbali mbali ktk maisha.

Kosa tunalofanya ni kuamini kuwa kila ambaye hajasoma hana akili.

Kuna wengine ni vile tu baba zao walikuwa na hela z akuwapeleka shuleni lakino akili hawana
 
Sijui niandike vipi aisee!
Wanawake hakika wana upeo kutushinda wanaume, na kila atakayemsikiliza mke wake atafika mbali.

Kuna jambo nilikusudia kufanya nikawa na pesa pungufu, nikataka nifanye kwa uchache wife akasema usifanye hivyo hebu tulia tunza fedha ulifanye hili jambo kwa ukubwa na kwa ubora. Ndani ya muda mfupi nikafanikiwa kulifanya kwa ubora. Bila wife kunishauri nilidhamiria kulipua chap nimalize.

Nyumba hii tunayoishi imegharimu kama millioni 20, kwa mwanamke ambaye amekulia Kijijini angeona ni smart house lakini wife anaamini ni nyumba ya kupita tu na tutahama huu mtaa twende kwenye nyumba nyingine nzuri.

Kuna biashara ya duka tuliifanya mtaa fulani hapa Dar alinishauri jambo nikapuuza nikafanya kwa ubabe duka likafa.

Wife hajasoma, kaishia la saba lakini anawadharau mpaka wale wanaosimama nyuma ya Rais, anawaona ni wajinga sana, wanafanya kazi ya utumwa. Kumbe unaweza kuwa huna pesa lakini huna mind ya kitumwa.

Wife nilimuuliza ulipwe sh. ngapi utakubali body guard wa Rais akajibu hawezi kufanya kazi ya kusimama huku anayemlinda amekaa.

Mtoto wetu wa kwanza alikuwa anaimba kuhusu jeshi. Yaani anapenda kazi ya jeshi mno. Wife anamkataza kila akitamka neno Jeshi . Anamwambia kazi gani ya kuwa mtii muda wote kana kwamba mtumwa.

Kumbe utumwa uko kwenye fikra, na hauwezi kuondoka kwa kusoma.
Ndio maana mtu ana PhD lakini bado ni mtumwa wa Wazungu, anaamini bila wao nothing impossible.
Wee bila wadhungu kuna kitu mwafrika anaweza fanya ukiondoa kumtesa mwafrica mwenzi na kufurahia
 
Sijui niandike vipi aisee!
Wanawake hakika wana upeo kutushinda wanaume, na kila atakayemsikiliza mke wake atafika mbali.

Kuna jambo nilikusudia kufanya nikawa na pesa pungufu, nikataka nifanye kwa uchache wife akasema usifanye hivyo hebu tulia tunza fedha ulifanye hili jambo kwa ukubwa na kwa ubora. Ndani ya muda mfupi nikafanikiwa kulifanya kwa ubora. Bila wife kunishauri nilidhamiria kulipua chap nimalize.

Nyumba hii tunayoishi imegharimu kama millioni 20, kwa mwanamke ambaye amekulia Kijijini angeona ni smart house lakini wife anaamini ni nyumba ya kupita tu na tutahama huu mtaa twende kwenye nyumba nyingine nzuri.

Kuna biashara ya duka tuliifanya mtaa fulani hapa Dar alinishauri jambo nikapuuza nikafanya kwa ubabe duka likafa.

Wife hajasoma, kaishia la saba lakini anawadharau mpaka wale wanaosimama nyuma ya Rais, anawaona ni wajinga sana, wanafanya kazi ya utumwa. Kumbe unaweza kuwa huna pesa lakini huna mind ya kitumwa.

Wife nilimuuliza ulipwe sh. ngapi utakubali body guard wa Rais akajibu hawezi kufanya kazi ya kusimama huku anayemlinda amekaa.

Mtoto wetu wa kwanza alikuwa anaimba kuhusu jeshi. Yaani anapenda kazi ya jeshi mno. Wife anamkataza kila akitamka neno Jeshi . Anamwambia kazi gani ya kuwa mtii muda wote kana kwamba mtumwa.

Kumbe utumwa uko kwenye fikra, na hauwezi kuondoka kwa kusoma.
Ndio maana mtu ana PhD lakini bado ni mtumwa wa Wazungu, anaamini bila wao nothing impossible.
Kuhusu upeo na akili huwa Ni nature Ila ELIMU ni Kama POLISH

Mkeo mwambie apunguze ujivuni ATAKUA AMEKULA NA ANASHIBA VIZURI HAPO KWAKO natania...

Nikiwa mdogo mdogo niliwai kuigiza Kama bodyguard wa dogo mmoja ivi (yeye president Mimi bodyguard wake) motivation behind kuangalia muvi za kivita back in time television 📺 zimeanza anza mzee alipo kua anapita akanikuta nimeshika bunduki yangu namlinda president mzee akani mind Sana why nime opt kua MLINZI (Mzee alipenda Sana watoto wake tuwe watu wa maana shout out kwake)

Wasalaam
 
Wewe na huyo mke wako ni wajinga wawili mlio kwenye penzi zito. Wote ni vipofu. Kimsingi huyo mkeo hana akili yoyote zaidi ya kuwa na inferiority complex kama vilaza wengine ambao hawakwenda shule. Kudharau kazi ya ADC wa Rais ni upumbavu usioelezeka. Nyumba ya 20m kwa Dar ni nyumba ya kimaskini. Na usikute hapo mlidunduliza na kujenga taratibu. Kumkataza mtoto kufanya anachopenda ni upuuzi mwingine. Mwanaume unatakiwa uwe miles nyingi sana kifikra kwa mkeo. Yeye akiwaza leo wewe uwe unawaza mwakani. Vinginevyo ataishia kukuvuruga. Usipojirekebisha utakuja na uzi mwingine wa kumlalamikia.
Mzee punguza ukali...umemfokea Sanaa 😊😊 jamaaa
 
Anataka watu wote tufanane tusiajiriwe.
Hao walio ajiriwa ndio wanasababisha yeye apate nafasi ya kufanya biashara kwa amani ktk mazingira sahihi kibiashara.
Kukiwa na vita hizo biashara atafanya?
Kusipokuwa na askari muda wowote mnavamiwa mnaibiwa mali zenu.
Wamekutana pipa na mfuniko.
 
Kila mtu akiwa na akili za mkeo nani atalinda nchi? Halafu ishi na mwanamke kwa akili mno boss.
 
Kwa lugha rahisi unataka kutuambia umekubali kuolewa coz kila kitu anapanga yeye sahv na wewe bila kupepesa ubongo unatii tuu....ukiendelea hivyo soon utaandika uzi mwingine
 
Back
Top Bottom