Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Sijui niandike vipi aisee!
Wanawake hakika wana upeo kutushinda wanaume, na kila atakayemsikiliza mke wake atafika mbali.
Kuna jambo nilikusudia kufanya nikawa na pesa pungufu, nikataka nifanye kwa uchache wife akasema usifanye hivyo hebu tulia tunza fedha ulifanye hili jambo kwa ukubwa na kwa ubora. Ndani ya muda mfupi nikafanikiwa kulifanya kwa ubora. Bila wife kunishauri nilidhamiria kulipua chap nimalize.
Nyumba hii tunayoishi imegharimu kama millioni 20, kwa mwanamke ambaye amekulia Kijijini angeona ni smart house lakini wife anaamini ni nyumba ya kupita tu na tutahama huu mtaa twende kwenye nyumba nyingine nzuri.
Kuna biashara ya duka tuliifanya mtaa fulani hapa Dar alinishauri jambo nikapuuza nikafanya kwa ubabe duka likafa.
Wife hajasoma, kaishia la saba lakini anawadharau mpaka wale wanaosimama nyuma ya Rais , anawaona ni wajinga sana, wanafanya kazi ya utumwa. Kumbe unaweza kuwa huna pesa lakini huna mind ya kitumwa. Wife nilimuuliza ulipwe sh. ngapi utakubali body guard wa Rais akajibu hawezi kufanya kazi ya kusimama huku anayemlinda amekaa.
Mtoto wetu wa kwanza alikuwa anaimba kuhusu jeshi. Yaani anapenda kazi ya jeshi mno. Wife anamkataza kila akitamka neno jeshi . Anamwambia kazi gani ya kuwa mtii mda wote kana kwamba mtumwa.
Kumbe utumwa uko kwenye fikra, na hauwezi kuondoka kwa kusoma.
Ndio maana mtu ana PhD lakini bado ni mtumwa wa Wazungu, anaamini bila wao nothing impossible.
Umeandika kitumwa....yahn hata kama mtumwa ila kwa vile nalipwa vizuri sawa sishangai wengi tupo hili kundi.Waliokupa hongera ni wajinga wenzako,
1. Yaani mke wako hajui wale wanalipwa hawafanyi kazi bure, umeona mpambe wa raisi kapandishwa cheo, unadhani atalipwa tena milioni 2 na marupurupu?
Sasahivi ata pata zaidi ya milioni 4 kwa mwezi. Na ana uhakika wa Bima ya maisha yake yote, na gari nzuri ya zaidi ya milioni 200 akistaafu, mazishi yatayosimamiwa vizuri. Connection na heshima nzuri. Hvo ndio vitu tunahitaji.
Sasa akae na wewe mpumbavu unayempa moyo eti hujasoma tunaishi nyumba ya 20 ml, tulifunga kiduka tutajenga nyingine hii tunapita. Fakn.
2. Katika familia yenu kama kweli mko sawa, acheni kufatilia watu wengine rizika na mlichonacho pambanieni furaha yenu, inshort, mkijifananisha na watu wengine yaani nyie ni mbwa tu. 20ml house, owning a retail shop, fkn zenu tena. Tafuteni maisha. Hamtaki utumwa ila nyie ni maskini. Kwa mnaojiringanisha. Kingine hujatuambia kazi yako, ww ni mtumwa au mtuma?
3. Nikurekebishe, kazi ya jeshi na polisi si kazi za kuamriwa, kula kitu kinafanywa katika muda wake, muda wa kazi ni kutimiza majukumu, kama majukumu yako wewe. Ya duka, familia na kijumba chako cha milioni 20.
Correct me if i am wrong.
Wivu kwa mtoa mada😂Ushalogwa wewe...😜
Comments reservedSijui niandike vipi aisee!
Wanawake hakika wana upeo kutushinda wanaume, na kila atakayemsikiliza mke wake atafika mbali.
Kuna jambo nilikusudia kufanya nikawa na pesa pungufu, nikataka nifanye kwa uchache wife akasema usifanye hivyo hebu tulia tunza fedha ulifanye hili jambo kwa ukubwa na kwa ubora. Ndani ya muda mfupi nikafanikiwa kulifanya kwa ubora. Bila wife kunishauri nilidhamiria kulipua chap nimalize.
Nyumba hii tunayoishi imegharimu kama millioni 20, kwa mwanamke ambaye amekulia Kijijini angeona ni smart house lakini wife anaamini ni nyumba ya kupita tu na tutahama huu mtaa twende kwenye nyumba nyingine nzuri.
Kuna biashara ya duka tuliifanya mtaa fulani hapa Dar alinishauri jambo nikapuuza nikafanya kwa ubabe duka likafa.
Wife hajasoma, kaishia la saba lakini anawadharau mpaka wale wanaosimama nyuma ya Rais , anawaona ni wajinga sana, wanafanya kazi ya utumwa. Kumbe unaweza kuwa huna pesa lakini huna mind ya kitumwa. Wife nilimuuliza ulipwe sh. ngapi utakubali body guard wa Rais akajibu hawezi kufanya kazi ya kusimama huku anayemlinda amekaa.
Mtoto wetu wa kwanza alikuwa anaimba kuhusu jeshi. Yaani anapenda kazi ya jeshi mno. Wife anamkataza kila akitamka neno jeshi . Anamwambia kazi gani ya kuwa mtii mda wote kana kwamba mtumwa.
Kumbe utumwa uko kwenye fikra, na hauwezi kuondoka kwa kusoma.
Ndio maana mtu ana PhD lakini bado ni mtumwa wa Wazungu, anaamini bila wao nothing impossible.
Umeniquote nini sasa hapo sijakuelewa bado mzee. Ulichoandika.Umeandika kitumwa....yahn hata kama mtumwa ila kwa vile nalipwa vizuri sawa sishangai wengi tupo hili kundi.
Kabla sijamaliza kusoma bandiko lako rekebisha kwanza hii kauli yako sema "mwanamke hakika ana upeo kunishinda mimi.." usitujumuishe wanaume wote isee.Wanawake hakika wana upeo kutushinda wanaume,
Kwani nini maana ya utumwa?Umeandika kitumwa....yahn hata kama mtumwa ila kwa vile nalipwa vizuri sawa sishangai wengi tupo hili kundi.
Mbona kawaida, maana wengi mama zetu hawakusoma vidato, waliishia STD 7 lak I wana akili na maono kuliko vibinti vyenye Master's na Degree 😢Sijui niandike vipi aisee!
Wanawake hakika wana upeo kutushinda wanaume, na kila atakayemsikiliza mke wake atafika mbali.
Kuna jambo nilikusudia kufanya nikawa na pesa pungufu, nikataka nifanye kwa uchache wife akasema usifanye hivyo hebu tulia tunza fedha ulifanye hili jambo kwa ukubwa na kwa ubora. Ndani ya muda mfupi nikafanikiwa kulifanya kwa ubora. Bila wife kunishauri nilidhamiria kulipua chap nimalize.
Nyumba hii tunayoishi imegharimu kama millioni 20, kwa mwanamke ambaye amekulia Kijijini angeona ni smart house lakini wife anaamini ni nyumba ya kupita tu na tutahama huu mtaa twende kwenye nyumba nyingine nzuri.
Kuna biashara ya duka tuliifanya mtaa fulani hapa Dar alinishauri jambo nikapuuza nikafanya kwa ubabe duka likafa.
Wife hajasoma, kaishia la saba lakini anawadharau mpaka wale wanaosimama nyuma ya Rais , anawaona ni wajinga sana, wanafanya kazi ya utumwa. Kumbe unaweza kuwa huna pesa lakini huna mind ya kitumwa. Wife nilimuuliza ulipwe sh. ngapi utakubali body guard wa Rais akajibu hawezi kufanya kazi ya kusimama huku anayemlinda amekaa.
Mtoto wetu wa kwanza alikuwa anaimba kuhusu jeshi. Yaani anapenda kazi ya jeshi mno. Wife anamkataza kila akitamka neno jeshi . Anamwambia kazi gani ya kuwa mtii mda wote kana kwamba mtumwa.
Kumbe utumwa uko kwenye fikra, na hauwezi kuondoka kwa kusoma.
Ndio maana mtu ana PhD lakini bado ni mtumwa wa Wazungu, anaamini bila wao nothing impossible.
Hivyo ni gharama ya vyumba viwili. Usidharau shule kama vilaza akina Mbunge MsukumaSijui niandike vipi aisee!
Wanawake hakika wana upeo kutushinda wanaume, na kila atakayemsikiliza mke wake atafika mbali.
Kuna jambo nilikusudia kufanya nikawa na pesa pungufu, nikataka nifanye kwa uchache wife akasema usifanye hivyo hebu tulia tunza fedha ulifanye hili jambo kwa ukubwa na kwa ubora. Ndani ya muda mfupi nikafanikiwa kulifanya kwa ubora. Bila wife kunishauri nilidhamiria kulipua chap nimalize.
Nyumba hii tunayoishi imegharimu kama millioni 20, kwa mwanamke ambaye amekulia Kijijini angeona ni smart house lakini wife anaamini ni nyumba ya kupita tu na tutahama huu mtaa twende kwenye nyumba nyingine nzuri.
Kuna biashara ya duka tuliifanya mtaa fulani hapa Dar alinishauri jambo nikapuuza nikafanya kwa ubabe duka likafa.
Wife hajasoma, kaishia la saba lakini anawadharau mpaka wale wanaosimama nyuma ya Rais, anawaona ni wajinga sana, wanafanya kazi ya utumwa. Kumbe unaweza kuwa huna pesa lakini huna mind ya kitumwa.
Wife nilimuuliza ulipwe sh. ngapi utakubali body guard wa Rais akajibu hawezi kufanya kazi ya kusimama huku anayemlinda amekaa.
Mtoto wetu wa kwanza alikuwa anaimba kuhusu jeshi. Yaani anapenda kazi ya jeshi mno. Wife anamkataza kila akitamka neno Jeshi . Anamwambia kazi gani ya kuwa mtii muda wote kana kwamba mtumwa.
Kumbe utumwa uko kwenye fikra, na hauwezi kuondoka kwa kusoma.
Ndio maana mtu ana PhD lakini bado ni mtumwa wa Wazungu, anaamini bila wao nothing impossible.
Nilikuwa natafuta comment kama ii ili nisirudie kuandika safi, mke mwenye maono mngekuwa na mali nyingi uo ni ushubwada anamiliki motivation speakerWaliokupa hongera ni wajinga wenzako,
1. Yaani mke wako hajui wale wanalipwa hawafanyi kazi bure, umeona mpambe wa raisi kapandishwa cheo, unadhani atalipwa tena milioni 2 na marupurupu?
Sasahivi ata pata zaidi ya milioni 4 kwa mwezi. Na ana uhakika wa Bima ya maisha yake yote, na gari nzuri ya zaidi ya milioni 200 akistaafu, mazishi yatayosimamiwa vizuri. Connection na heshima nzuri. Hvo ndio vitu tunahitaji.
Sasa akae na wewe mpumbavu unayempa moyo eti hujasoma tunaishi nyumba ya 20 ml, tulifunga kiduka tutajenga nyingine hii tunapita. Fakn.
2. Katika familia yenu kama kweli mko sawa, acheni kufatilia watu wengine rizika na mlichonacho pambanieni furaha yenu, inshort, mkijifananisha na watu wengine yaani nyie ni mbwa tu. 20ml house, owning a retail shop, fkn zenu tena. Tafuteni maisha. Hamtaki utumwa ila nyie ni maskini. Kwa mnaojiringanisha. Kingine hujatuambia kazi yako, ww ni mtumwa au mtuma?
3. Nikurekebishe, kazi ya jeshi na polisi si kazi za kuamriwa, kula kitu kinafanywa katika muda wake, muda wa kazi ni kutimiza majukumu, kama majukumu yako wewe. Ya duka, familia na kijumba chako cha milioni 20.
Correct me if i am wrong.
Huyu Chance ndoto kamaliza kila kitu. Ni aibu kwa mwanaume kusema mkewe ana maono makubwa kuliko yeye.Nilikuwa natafuta comment kama ii ili nisirudie kuandika safi, mke mwenye maono mngekuwa na mali nyingi uo ni ushubwada anamiliki motivation speaker