Mke wangu ni mchawi ama mama ndio mchawi?

Man, this shit is correct. Mummy appears to be the problem and the wife appears to be the solution. I mean huyo mama is a witch and the wife is a witchdoctor. One has to neutralise the other
 
MAMA AKO NA MKEO WOTE NI WACHAWI, WAN WALIKUWA WANAJUANA KAMA NI WACHAWI ILA KUNA MAMBO WAMETOFAUTIANA TU NDIO MAANA WANA MWAGIANA SIRI ADHALANI, NA WEWE FANYA JUU CHINI UINGIE KWENYE MAMBO AYO ILI MUWE WATATU
Home Win & Both Team To Score [emoji2]
 
Kwa jins Mungu alivyoniumba ningewaita wote home na mzee na kama wazee wawili. Naweka kabisa bastola mezan. Kitakachofuata mzee kila mtu ataimba pambio aisee
 
Sawa mkuu nimekupata vyema saana..sehemu panapo nipa utata kama bi mkubwa ni mchawi why nae anipe dawa ya kumuona mke wangu?..anajiamini nini kuwa nitamuona mke wangu?
 
Okey mkuu nimekuelewa,je hawa wanao nifuata inbox ni waganga au watu wa maombi?..ningependa zaidi wangejipambanua maana hata mie nina hofu nikienda kiuganga nitaweza kupotea zaidi
 
Wachawi huwa na Undugu kuliko Undugu wa Kuzaliwa, kuliko Bond ya Mama na mtoto....!
 
Wote wanga sema wamezidiana kila mmoja anakuja pambana na mwenzake so dawa ya yeyote utakayotumia utamuona mwenzake...
 
Mkuu ukishindwa kulipatia hili ufumbuzi jiandae wewe kufa. Binafsi kwangu kauli ya Mama ni Final sinaga maswali mengi zaidi ya kutii
 
Naona Wachawi wawili wakipishana masrahi kama fisiemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…