Mke wangu ni mchawi ama mama ndio mchawi?

MAMA AKO NA MKEO WOTE NI WACHAWI, WAN WALIKUWA WANAJUANA KAMA NI WACHAWI ILA KUNA MAMBO WAMETOFAUTIANA TU NDIO MAANA WANA MWAGIANA SIRI ADHALANI, NA WEWE FANYA JUU CHINI UINGIE KWENYE MAMBO AYO ILI MUWE WATATU
Ahahaaaaa....! Aingie wawe watatu. Na akiingia afanye juhudi awazidi nguvu upande huo
 
Kama nimekuelewa hivi.
 
Tayari ameingia anga
 
yni uyo jini wa mkeo kwanza kaleta uchonganishi kukwambia mama ako ni mchawi ndo yalivo ayo majini kazi yao ni kufitinisha wala usiwaamini
Umegeuka tena?. Au ndio msaada uliosema?.

Mbona alivyofika tu kwa mama,tofauti na siku zingine,leo alimkumbatia kabisa,akamwambia mkeo mchawi na mengine mengine. Kwa tabia aliyoionyesha mama,yeye ndio mwanga
 
Umewaza kama mimi nilivyokuwa nawaza
 
Hao wana misunderstanding zao binafsi, wametumia neno uchawi kama njia ya ku articulate feelings zao.

Ningekuwa ni mimi, hapo uliposema unapata upepo ndio ningeitumia kuwa alika kila mmoja bila wao kujua kua watakutana halafu wanatoa dukuduku zao na ku press reset button kumaliza fitna zao

Hakuna uchawi
 
Mwanaume hutakiwi kukimbia changamoto, hilo.ni jambo dogo sana jamaa akituliza akili vizuri kila kitu kinakaa sawa.
Ningekuwa mimi ningekata mawasiliano nao na kwenda kuishi mbali kabisa wasinijue.
Siwezi nikakaa chini kangaika na maujinga yao
 
Umegeuka tena?. Au ndio msaada uliosema?.

Mbona alivyofika tu kwa mama,tofauti na siku zingine,leo alimkumbatia kabisa,akamwambia mkeo mchawi na mengine mengine. Kwa tabia aliyoionyesha mama,yeye ndio mwanga
Sipendi kulumbana kwaio kma hujaelewa bora uniulize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…