Mke wangu ni mchoyo

Mke wangu ni mchoyo

Duuu unanitisha sasa

Sio kukutisha hivi unategemea huyo anaweza kutoa hata sadaka?
Anasidia masikini?
Kama wewe anakufanyia hivyo je kukuwekea sumu atashindwa?

Lingine ukiwa unakula mpe mgongo maana akiona unakula nyama anaweza kukuangalia kwa jicho la HUSDA ukanigwa ukafa [emoji23][emoji12]

Kama natania vile ila kuwa uyaone mimi mzee nimeyaona na kuyasikia
Usipuuze
 
Huo muda unautoa wapi.......hapo mwendo unashindlia hotelin unawaletea watt vyakula vizuri hafu unamwacha yeye ale nyama zake peke yake.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
Sio mchoyo tu bali ni mroho pia

Watu wa hivyo kuuwa ili waachiwe manyama hayo na kupunguza mtu kwenye share ya familia ni rahisi sana

Ana chembechembe za uchawi huyo
Ataangamiza familia siku moja
Mrudishe kwao mchawi huyo [emoji23][emoji23]
Kabisa ni mroho na mlafi....nakazia hapo kwenye uchawi...amuangalie vizuri soon atakua mchawi
 
Sio kukutisha hivi unategemea huyo anaweza kutoa hata sadaka?
Anasidia masikini?
Kama wewe anakufanyia hivyo je kukuwekea sumu atashindwa?

Lingine ukiwa unakula mpe mgongo maana akiona unakula nyama anaweza kukuangalia kwa jicho la HUSDA ukanigwa ukafa [emoji23][emoji12]

Kama natania vile ila kuwa uyaone mimi mzee nimeyaona na kuyasikia
Usipuuze
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]da inachekesha lkn Kama Kuna kaukweli hv
 
Nasoma huku NACHEKA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama namuona vile akiwa kajigubika na kufura wakati wa kula hizo finyango zake 5
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 shida sana kwa kweli yaani kuna binadamu wa ajabu sana huku duniani.
 
Hawa viumbe acha tu. Kila mtu na kilio chake. Sasa hapo ukitembelewa na wageni inakuwaje?
Yaani mke wangu ni mchoyo na ananifanyia uchoyo Hadi Mimi mtafutaji. Muda wa kula anataka kila mtu ale kivyake kama mboga ni nyama basi kwenye sahani atajiwekea finyango 3 au 4 mimi na watoto anatuwekea moja moja.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] shida sana kwa kweli yaani kuna binadamu wa ajabu sana huku duniani.
Mungu tu ndio anatujua viumbe vyake tulivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukioa mwanamke alietokea kwenye familia duni...familia yenye dhiki,..unakuta kuna familia nyama wanakula sikukuu hadi sikukuu..mwanamke wa aina ya familia hii lazima mchoyo kwa sababu kwake kila kitu ni kigeni yaani hajazoea....mfano ukiowa mwanamke wa kirangi..warangi kule dodoma kwao kuna njaa sana..
 
Haao ni type ya wale watu wanaokula chakula cha mgonjwa,,,,Yaani habembelezi mgonjwa..akiongea mara moja akagoma anakula yeye akidai mgonjwa hajisikii kula.

Imagine hapo wewe ndio mtafutaji,,, Basi siku ukiyumba tu kidogo utalala njaa..

Kuna mstari mwembamba sana unaotofautisha Uchoyo na Uchawi,, kuwa makini
 
Habari ndugu zangu mimi kwakweli nakrekwa na tabia ya mke WANGU.

Yaani mke wangu ni mchoyo na ananifanyia uchoyo Hadi Mimi mtafutaji. Muda wa kula anataka kila mtu ale kivyake kama mboga ni nyama basi kwenye sahani atajiwekea finyango 3 au 4 mimi na watoto anatuwekea moja moja.

Nikimwambia tule pamoja hataki. Jamani huyu mi simuelewi ndio maana ananenepa yeye mi kila siku nazidi kuwa kimbaumbau.

Hebu nishaurini.


Hivi mwanamke uliyemuoa anaweza kukufanyia hivi maana hizi ni dharau za kiwango cha juu sana! Yani umeshindwa kunyoosha huyu mwanamke unamchekea tuu? Kinachofata ni wewe kunyimwa chakula!

Mwanamke kama ni mchoyo lazima kuna vitu uliviona toka mwanzo kabisa na vilikuwshiria kuwa huu ni uchoyo na pengine ulijipa moyo kuwa atabadilika jambo ambalo haliwezekani!

Mwanamke mchoyo hukausha nyumba na ni chanzo cha umaskini! Hivi kama wewe unafanyiwa hivi kweli kuna ndugu au mgeni huwa anagusa kwenu kweli? Aisee inasikitisha sana.....

Ukitaka abadilike anza ku act kidikteta nyumbani uanze kumpanga mapema aendane na muziki wako kinyume na hapo jiandae wewe kunyimwa chakula!

Na ni wazi huyu mwanamke anakupelekesha sana na amekupanda sana kichwani kabisa!

Kumtofautisha mwanamke mchawi na mchoyo ni kazi kubwa sana!
 
Back
Top Bottom