Mke wangu ni mkorofi hatari

Good morniiiiiing ...kwa hisani ya Qnet....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vitu vingne vnafurahsha
 
Ushauri mzuri hutolewa baada ya kusikiliza pande mbili.
If possible, mwambie wife naye
aingie Jf aeleze ya moyoni ndiposa upate ushauri mujarabu.
NB;Sometimes,nasi me huwa
tunazingua pia.
 
Heri yako maisha yamekunyokea.lisipo kupata la kwangu litakupata lingine.umekuwa na matusi kama mke ninaye mlalamikia.au mmezaliwa pamoja? Mimi najua humu watu ni werevu na wenye busara kumbe kuna wapuuzi kama wewe!
 
Ashaambiwa atalogwa akithubutu kuna mjomba ao huko mganga we unampa ushaur gan ?
 
Haya Mambo yanwenyewe...
Unaoaje watu wa Musoma...walivyo wanakula bangi na mavi ya MBUZI...eti kuchuri...watani zangu msimind
 
Mpeleke polisi....then mahakamani.

KOSA: Msumbufu, mchawi, anatishia
kujeruhi.

USHAHIDI: Hakuna

HUKUMU 1: Mpe talaka then mgawane mali.

HUKUMU 2: Endeleeni kuishi, na wewe anza usumbufu, anza kumroga, anza kichapo na usirudi tena hapa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Dah!
 
Kwan kabla hujamuoa hau kupitia kwenye kipind cha uchumba ili kuweza kumjua kama ana mdomo muongo nk?
 
Piga mimba huyo kila mwaka awe anateremsha injini
 
mpende,mpende na mpende, muoneshe unampenda waziwazi hasa mbele za watu, siku anayokuuzi zaidi mletee zawadi, mkumbatie na umwambie jinsi gani unampenda mpaka ukamuoa ikifuatiwa na outing, show her etra love hasa nyakati anazokukwaza, love is the best medicine, you'll thank me later
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…