Mke wangu ni mkorofi hatari

Mke wangu ni mkorofi hatari

Habari wana JF.

Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.

Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.

Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.

NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee
Good morniiiiiing ...kwa hisani ya Qnet....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vitu vingne vnafurahsha
 
Ushauri mzuri hutolewa baada ya kusikiliza pande mbili.
If possible, mwambie wife naye
aingie Jf aeleze ya moyoni ndiposa upate ushauri mujarabu.
NB;Sometimes,nasi me huwa
tunazingua pia.
 
We Jamaa fala sana ...Usilete habari za shetani na Mungu.... Kumtupia Tuu lawama mkeo wakati hujazungumza Shida zako.
Ukute hata Utamu humpi..
Kimoja chali...Tena chenyewe Cha sekunde imeisha unanakoroma Kama Mashini ya kusaga.
Husimami Kama mwanaume kwake Unategemea Nini.
Fala wewe
Kmmmk.

Kumekuwa na wimbi kubwa la wanaume kuwatupia lawama wanawake ati wamebadilika wakati sisi wanaume muda mwingine Tuna Mambo ya ajabu mnooo....
Heri yako maisha yamekunyokea.lisipo kupata la kwangu litakupata lingine.umekuwa na matusi kama mke ninaye mlalamikia.au mmezaliwa pamoja? Mimi najua humu watu ni werevu na wenye busara kumbe kuna wapuuzi kama wewe!
 
Mkuu samahani, kabla ya kufunga nae ndoa hizo tabia alikua nazo? Ushauri wangu mwambie aende kupumzika hme kwanza mpaka atakapoamua yeye mwenyewe kurudi hme nafkiri akirudi atarudi na heshima kaza roho meza fupa kaa mwenyewe hme mpaka atakapojirekebisha.

Wanaume kitu chakwanza kabla ya kuowa tuangalie tabia, kuna wanawake wazuri sana wengi wenye mabody mazuri sura nzuri wameachwa kutokana na tabia kama izo
Ashaambiwa atalogwa akithubutu kuna mjomba ao huko mganga we unampa ushaur gan ?
 
Haya Mambo yanwenyewe...
Unaoaje watu wa Musoma...walivyo wanakula bangi na mavi ya MBUZI...eti kuchuri...watani zangu msimind
 
Mpeleke polisi....then mahakamani.

KOSA: Msumbufu, mchawi, anatishia
kujeruhi.

USHAHIDI: Hakuna

HUKUMU 1: Mpe talaka then mgawane mali.

HUKUMU 2: Endeleeni kuishi, na wewe anza usumbufu, anza kumroga, anza kichapo na usirudi tena hapa.
😂😂😂😂 Dah!
 
Habari wana JF.

Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.

Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.

Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.

NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee
Kwan kabla hujamuoa hau kupitia kwenye kipind cha uchumba ili kuweza kumjua kama ana mdomo muongo nk?
 
Piga mimba huyo kila mwaka awe anateremsha injini
 
Habari wana JF.

Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.

Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.

Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.

NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee
mpende,mpende na mpende, muoneshe unampenda waziwazi hasa mbele za watu, siku anayokuuzi zaidi mletee zawadi, mkumbatie na umwambie jinsi gani unampenda mpaka ukamuoa ikifuatiwa na outing, show her etra love hasa nyakati anazokukwaza, love is the best medicine, you'll thank me later
 
Back
Top Bottom