Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Beijing ndio chanzo cha yote haya. Kutaka haki sawa, wanawake mnatupanda sana kichwani. Ila mimi siwezi kukubali huo ujinga.Poleni sana wanaume..!
Ni nini kinaendelea mbona malalamiko ya wanaume na mahusiano yao yamekuwa mengi mno MMU kuliko wanawake.!?
What's going on exactly...!??