Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hivyo vyote haviwezi kuathiri msimamo wangu. Labda nilogwe tu.Haha..!
Huwezi kukubali?? Umewahi kupenda na ukafinyiwa kwa ndani kweli mdogo wangu.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo vyote haviwezi kuathiri msimamo wangu. Labda nilogwe tu.Haha..!
Huwezi kukubali?? Umewahi kupenda na ukafinyiwa kwa ndani kweli mdogo wangu.?
Unakuta mtu kaoza kafa alafu mwanamke mwenyewe ndo ivo tunaishia jf tuuuu.Wanaume,
Angalieni ni wapi mlipojikwaa mkaanguka..!
Ngoja nivute kiti nikae na juice baariidi, wenzio walianza kama wewe kujikuta mabandidu, sahii washainua mikono juu mwendo wa mateka, anyway ukileta sredi usije na I'd mpya tafadhali..!Hivyo vyote haviwezi kuathiri msimamo wangu. Labda nilogwe tu.
Shida inaanzia hapa, mlionesha kujilegeza kwa wanawake, sisi ni viumbe complicated sana, tuko wired tofauti mno na ninyi.!Unakuta mtu kaoza kafa alafu mwanamke mwenyewe ndo ivo tunaishia jf tuuuu.
Mimi sijifanyi bandidu. Kwa akili yangu ilivyo siwezi kupelekeshwa kiwaki asee. Ndio maana nikasema labda nilogwe. Otherwise hakuna kiumbe kitaweza kuniambia kitu.Ngoja nivute kiti nikae na juice baariidi, wenzio walianza kama wewe kujikuta mabandidu, sahii washainua mikono juu mwendo wa mateka, anyway ukileta sredi usije na I'd mpya tafadhali..!
Wewe kama haupo Africa hiyo goma huiwezi kuicheza, wewe endelea kulinda haki za wanao tu......na huku unalia kimya kimya tu.Wapo africa misipo Africa ... Mi kitambo sipo Africa nadhani hi ndo changamoto kubwa sana inasabisha mana a naona Sina pakuchomokea.... Mana huku loss dogo umenyanganywa kila kitu aisee!!! Hata watoto unaweza kupigwa ban nao..... Niki plan nimuachie watoto naona wata sumbuka saana.... Nilimwambia turudi nyumbani hataki... Yeye yende hataki.... Ni mtihani kiukweli....
Tatizo linaanzia hapo Mkuu...Ndio ameajiriwa!
Ndio ameajiriwa!
We phaller,Mimi sijifanyi bandidu. Kwa akili yangu ilivyo siwezi kupelekeshwa kiwaki asee. Ndio maana nikasema labda nilogwe. Otherwise hakuna kiumbe kitaweza kuniambia kitu.
Ukinizingua unapita alolo chap kwa haraka..
Hayo ndo dezaini ya wake tunao oa, miezi miwili tu anataka maendeleo haraka, ulifuata nini kwenye ndoa kama hukua tayari kumvumilia mwenzioNatamani mume wangu angeona coment yako nipo kwenye hali hii ila caseetu tofauti kidogo hafanyi maendeleo yoyote nyumbani na hela anapata nimesisitiza nijishuhulishe amegoma pia baada ya kuongea kwa zaidi ya miaka 3 kuomba na kubembeleza kugombana kununa anashangaa nipo kimya siulizi chochote zaidi ya hela ya matumizi ya kawaida hajui sina miezi miwili hapa kwake na namchekea mbaya kuna kazi nimefatiliia bado kidogo naondoka abaki na pesa zake atashangaa tu siku anarudi nyumbai sipo
Mhhhhh Haya bwanaShida inaanzia hapa, mlionesha kujilegeza kwa wanawake, sisi ni viumbe complicated sana, tuko wired tofauti mno na ninyi.!
Huwa tunaanza kuwagusa kidogo kupima kina cha maji, ukilia lia tunazamisha miguu yote tunatembea, shauri yenu.!
Amini kwamba.We phaller,
Usinifanye nicheke kwa machungu hebu niache bhaana..! Watu ambao huwa mnaongea sana ndiyo ninyi behind the keyboard hamnaga ujanja..!
Tatixo sio pesa hata wanawake wenye kipato sufuri ni wajeuri tu. Ndoa ni mtihani mkubwa sanaaFinancial freedom kwa baadhi ya wanawake imekuwa mwiba mkali sana kwa wanaume...
Una mke anatengeneza 2m kwa mwezi, wewe unatengeneza 800k kuna mambo mawili hapo; either inferiority complex itakumaliza, or else mke asione kama hela ina thamani zaidi ya mahusiano na ndoa yake.
Yani ujeuri wa mwanamke Na mdomo ni wote wanao lakini Je anao kwa kiasi gani??? Je unaweza kumvumiliaaa...Tatixo sio pesa hata wanawake wenye kipato sufuri ni wajeuri tu. Ndoa ni mtihani mkubwa sanaa
Wee Ni kabila gani dad unaongea upuu HV et naondoka atanikuta sipo wew umefata nn apoNatamani mume wangu angeona coment yako nipo kwenye hali hii ila caseetu tofauti kidogo hafanyi maendeleo yoyote nyumbani na hela anapata nimesisitiza nijishuhulishe amegoma pia baada ya kuongea kwa zaidi ya miaka 3 kuomba na kubembeleza kugombana kununa anashangaa nipo kimya siulizi chochote zaidi ya hela ya matumizi ya kawaida hajui sina miezi miwili hapa kwake na namchekea mbaya kuna kazi nimefatiliia bado kidogo naondoka abaki na pesa zake atashangaa tu siku anarudi nyumbai sipo
Mkuu shida ndo zinazo tufanya ku wavumilia ila mdomo na ujeuri wa mwana mke una kera, unakosa na hamu ya chakula kwasbb yakeYani ujeuri wa mwanamke Na mdomo ni wote wanao lakini Je anao kwa kiasi gani??? Je unaweza kumvumiliaaa...
Lakini tunayaona mtaani mengi sana Watu8 ya jamvini ni replica tu ya kinachoendelea mitaani..!
Haha..!
Huwezi kukubali?? Umewahi kupenda na ukafinyiwa kwa ndani kweli mdogo wangu.?