Mke wangu ni msumbufu, mwenye ulimi mkali na mkorofi

Mke wangu ni msumbufu, mwenye ulimi mkali na mkorofi

Habar za saa hizi jameni...

Nimeoa mke miaka 6 iloyopita.. Nilidhani mambo yatabadilika ila Tabia ilizidi kuwa sugu kila kukicha... Tabia yenyewe anaulimi mkali saana. She don't have respect in brief.

Nimejaribu kumsihi ila hamna mabadiliko... Ana dhihirisha hataki tuwe pamoja... Ila nawahurumia watoto wangu 2 they might suffer... Ila nimefikia hatua ya ku surrender kiukweli... Ila nahofia watoto nilimuomba watoto waende kwa bi mkubwa alikataa.

Hayupo supportive kwa kila ninacho fanya.. She hates all my siblings kiukweli nimechoka ila nikiona watoto walelewe bila baba Yao huna Ina ni stress sana nimewekeza mapenzi yangu kwa watoto.

Watoto wana: mmoja Ana 4years. Mwingine 2... Asante!+ na Mungu awabariki[emoji120][emoji120]



=======
Soma zaidi:Mke wangu ni mkorofi hatari
Ndo Uone Maamuzi yako ya Kuoa Mtu ambaye tabia yake mbaya from begging ila hukujali ukaona, Kama unaweza piga chini tu Maana we pia ina haki ya Kufurahi

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Basi huenda mimi ni introvert au naishi mtaa wa mabachela 😁...

Honestly, nimekuwa nikiona kinyume, kwamba wenye kukiona cha moto ni wanawake na si wanaume...
Unajua tofauti huja wapi..!? Wanaume huwa wanakufa kijerumani na tai shingoni hawasemi ng'o, ila trust Me wengi wa wanaume Ndoa zao zimekuwa pain in @**,
 
Mwingine tena!! Hivi mbona mnalalamika sana?
 
Mkiambiwa mtulize akili kwenye kuoa mnaona tunawaonea wivu.. mzee ulifinyiwa kwa ndani kiasi ukaoa mtu ana tabia mbovu kama hizo?
Kwani si huwa mnasema tabia mtatumia zenu!! Ndio tabia zenu hizo zinabackfire.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] tumeshachelewa , Maendeleo pia Yana faiada na hasara zake , imagine hapo ndio watu tumepitia ktk mafundisho ya kiimani ambayo yapo kwaajiki ya kuwaandaa watu kuwa watiiifu na wanyenyekevu lakini balaa lke ndio Kama Hilo unalo liona ndoa zimekua Jela ,,

I think it's better watu waache haya mam o ya kuoana oana Ndio amani itakuepo tuwe tuna zalishana tu then kila mtu aishi kivyake. No stress at all
Unahisi hili ndiyo suluhisho la matatizo rafiki yangu.!?

Umeoa hearly..?
 
Ushauri wangu makofi yatumike pia kumShape, Inawezekana unavyoongea anasikia unaSound kama shosti wake. Hawa viumbe hawa sometimes bila kuApply force hawakuelewi kabisa.
So usimnyime kipigo mkeo☺️
 
Habar za saa hizi jameni...

Nimeoa mke miaka 6 iloyopita.. Nilidhani mambo yatabadilika ila Tabia ilizidi kuwa sugu kila kukicha... Tabia yenyewe anaulimi mkali saana. She don't have respect in brief.

Nimejaribu kumsihi ila hamna mabadiliko... Ana dhihirisha hataki tuwe pamoja... Ila nawahurumia watoto wangu 2 they might suffer... Ila nimefikia hatua ya ku surrender kiukweli... Ila nahofia watoto nilimuomba watoto waende kwa bi mkubwa alikataa.

Hayupo supportive kwa kila ninacho fanya.. She hates all my siblings kiukweli nimechoka ila nikiona watoto walelewe bila baba Yao huna Ina ni stress sana nimewekeza mapenzi yangu kwa watoto.

Watoto wana: mmoja Ana 4years. Mwingine 2... Asante!+ na Mungu awabariki[emoji120][emoji120]



=======
Soma zaidi:Mke wangu ni mkorofi hatari

Nakupa ushauri mgumu sana!

Mwanamke wa namna hii kwanza mpige mkwara kuwa utamchapa makofi akiendelea na tabia zake za mdomo na kukukosea heshima!

Pili mwambie achague moja kuwapenda nduguzo au aondoke!

Tatu hakikisha siku moja umemchapa makofi kweli uone kama ataendelea!

Wanawake hawahitaji wanaume mrenda mrenda bali wanahitaji wanaume katili na mwenye maamuzi ya haraka na papo kwa papo yani akileta dharau unamuonya!

Wanawake wanahitaji mwanaume yule anachimba beat kiasi kwamba anajua siku akipigwa basi hato amka tena!

Huyo ameshakuona wewe ni mjinga!
 
Nakupa ushauri mgumu sana!

Mwanamke wa namna hii kwanza mpige mkwara kuwa utamchapa makofi akiendelea na tabia zake za mdomo na kukukosea heshima!

Pili mwambie achague moja kuwapenda nduguzo au aondoke!

Tatu hakikisha siku moja umemchapa makofi kweli uone kama ataendelea!

Wanawake hawahitaji wanaume mrenda mrenda bali wanahitaji wanaume katili na mwenye maamuzi ya haraka na papo kwa papo yani akileta dharau unamuonya!

Wanawake wanahitaji mwanaume yule anachimba beat kiasi kwamba anajua siku akipigwa basi hato amka tena!

Huyo ameshakuona wewe ni mjinga!
Nilimtembezea kipigo previously.. Ila nikagundua nitakuja kukosa uhuru wa kupaona nje(prison) mana sheria za huku ni balaa
 
Weka gubu la watts 5000 panasonic...
Ukiingiaa ndani ukitoka anapumua..hata ukiona inzi unaulizia huyu ni uzao gani?
Hata yeye mwenyewe ukiona unywele wake unaweza anzisha mjadalaa ambao mpaka mshipa unawatoka wote.

Bampa kwa bampa fanya hivyo miezi mitatu.
Ongea kama Chiriku mzee na maneno makali zaidi yake...kuwa na roho hata Shetani na Malaika wakikaa waulizane kwamba huyu kiumbe ameumbwa na Mungu wetu au kuna pahala katokea..

Legeza uone uone moto wale..la sivyo achia Nyumba.
 
Thread 'Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo' Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo

It seems you are a good and loving man.

Kosa lako lilikuwa kumuonyesha huyo mwanamke kwamba unampenda sana. Atakuwa ameshakutikisa mara nyingi sana kukupima mapenzi yako na mara zote alijiridhisha hufurukuti kwake.

Cha kufanya mpe adabu kali sana ya kiume.

Si anataka kuondoka, muache aondoke. Si anataka kuondoka na watoto? Muache aondoke nao. The minute she sets foot then usipokee simu wala kujibu message zake.Cheza na timing ya kazini kama umeajiriwa. Chukua likizo ondoka kwenye nyumba yenu and if possible hama.

Atakuonyesha drama hujawahi kuona, atatafuta watu atumie simu zao kuongea nao, ataenda kwa wakwe atatafuta viongozi wa dini we kausha wewe just be patient na ujikaze. It is what it shall take to save your family.

Wewe ni mwanamme bana. Watoto wanakua hao. Wanaona unavyonyanyasika kisa mama yao. Unadhani watakuonaje?

Unadhani watakuwa watu aina gani?

Atarudi tu na atarudi na adabu zote na mdomo utatokomea kabisa.
 
Thread 'Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo' Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo

It seems you are a good and loving man.

Kosa lako lilikuwa kumuonyesha huyo mwanamke kwamba unampenda sana. Atakuwa ameshakutikisa mara nyingi sana kukupima mapenzi yako na mara zote alijiridhisha hufurukuti kwake.

Cha kufanya mpe adabu kali sana ya kiume.

Si anataka kuondoka, muache aondoke. Si anataka kuondoka na watoto? Muache aondoke nao. The minute she sets foot then usipokee simu wala kujibu message zake.Cheza na timing ya kazini kama umeajiriwa. Chukua likizo ondoka kwenye nyumba yenu and if possible hama.

Atakuonyesha drama hujawahi kuona, atatafuta watu atumie simu zao kuongea nao, ataenda kwa wakwe atatafuta viongozi wa dini we kausha wewe just be patient na ujikaze. It is what it shall take to save your family.

Wewe ni mwanamme bana. Watoto wanakua hao. Wanaona unavyonyanyasika kisa mama yao. Unadhani watakuonaje?

Unadhani watakuwa watu aina gani?

Atarudi tu na atarudi na adabu zote na mdomo utatokomea kabisa.
Unapotowa malalamiko Mara kwa Mara utaitwa mlalamikaji... Watu wapo bize na Yao si sana ku kujali wala kuingilia mambo yako..... MUNGU akubariki sana kwa ushauri wako.... Nilikua na hofu ya Bure tuu kuhs watoto ila nikiwaza naona pia nikiendelea Hali hii itawagusa watoto pia.... Be blessed my sister for ur advice [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom