Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Beijing ndio chanzo cha yote haya. Kutaka haki sawa, wanawake mnatupanda sana kichwani. Ila mimi siwezi kukubali huo ujinga.Poleni sana wanaume..!
Ni nini kinaendelea mbona malalamiko ya wanaume na mahusiano yao yamekuwa mengi mno MMU kuliko wanawake.!?
What's going on exactly...!??
Mbona umesema kwamba ulijua,ila ulidhani atabadilika?Mnapo kuwa kwenye uchumba in general wanawake mnaficha mengi....
Poleni sana wanaume..!
Ni nini kinaendelea mbona malalamiko ya wanaume na mahusiano yao yamekuwa mengi mno MMU kuliko wanawake.!?
What's going on exactly...!??
Pole sana mkuu, binafsi nimeshindwana na hao watu na nimeamua kulea watoto wangu 3 peke yangu sema wangu ni wakubwa.Habar za saa hizi jameni...
Nimeoa mke miaka 6 iloyopita.. Nilidhani mambo yatabadilika ila Tabia ilizidi kuwa sugu kila kukicha... Tabia yenyewe anaulimi mkali saana... She don't have respect in brief.
Hakuna furaha yoyote ni purukushani kila kukicha utafikiri mmerogwaKwa mambo kama haya yatafanya wengi waogope kuingia kwenye ndoa.
MnazinguaPoleni sana wanaume..!
Ni nini kinaendelea mbona malalamiko ya wanaume na mahusiano yao yamekuwa mengi mno MMU kuliko wanawake.!?
What's going on exactly...!??
Kwenye uchumba mambo yalikua tofauti sana kila mtuu alinipongeza kwa kweli hata wazazi pia... Mambo yali badilika alipofika ndani... Hapo ndipo nikaona nisicukuwi uamuzi haraka nikizani atabadilika..Mbona umesema kwamba ulijua,ila ulidhani atabadilika?
We are real doomed..!!Program ya 50/50 ndo chanzo
Ni ngumu sana hakika, Nini kinapaswa kifanyike sasa kaka mkubwa maana hali inazidi kuwa mbaya kila uchwao..!Financial freedom kwa baadhi ya wanawake imekuwa mwiba mkali sana kwa wanaume...
Una mke anatengeneza 2m kwa mwezi, wewe unatengeneza 800k kuna mambo mawili hapo; either inferiority complex itakumaliza, or else mke asione kama hela ina thamani zaidi ya mahusiano na ndoa yake.
Haha..!Beijing ndio chanzo cha yote haya. Kutaka haki sawa, wanawake mnatupanda sana kichwani. Ila mimi siwezi kukubali huo ujinga.
DuuuhYani mambo ya mapenzi, maisha ya ndoa yanahitaji mtu awe na roho ngumu sana....Pole jikaze watoto wakue kidg.....muda huo tafuta mchepuko Safi.........ukiamka fanya mambo yako nenda kazini......akigoma kufua chukua nguo peleka dry cleaners... weekend nenda kwa mchepuko....... yani fanya kama unaish ndani na watoto tu yeye hayupo......usiangalie Fulani atakuonaje....angalia tu wanao watasomaje wataish vip miaka miwili mitatu ijayo!
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Wanaume,Mnazingua