Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutongozwa ni kawaida kwa wanawakeHuna hoja za msingi kuwazuia warembo kumiliki smart devices.
Kutongozwa kwa warembo lazima sheikh, labda uumbe wako
😅😅😅🤣🤣🤣 ndoa ni utapeli.Mpaka mwaka huu unaisha tutaimba wimbo mmoja wa #KATAANDOA
Mm tena nisielewe, akili ipo mingi, daraja kama daraja[emoji23]Hujaielewa unabet [emoji23][emoji23]
Duu,Salamu
Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98
Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk
Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu
Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa
Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi
Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox
Nawasilisha
jitafakariSalamu
Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98
Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk
Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu
Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa
Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi
Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox
Nawasilisha
Hata akiwa na kitochi, message ya mpesa inatosha sanaSalamu
Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98
Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk
Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu
Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa
Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi
Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox
Nawasilisha
Watu wanajipigia😀😀😀Unajisumbua.
Hapa yupo mdada mke wa mtu ana simu ndogo ila maongezi yake kwenye hiyo cm ni aibu
Mm tena nisielewe, akili ipo mingi, daraja kama daraja[emoji23]
[emoji23][emoji23]Hii naenda kuchekea kwa H H
[emoji23][emoji23]
Lamama[emoji23][emoji6]
Lamama[emoji23]
Kama wa kuliwa ni ataliwa tu, hata umfungie ndani