Mke wangu sitaki amiliki simu janja kamwe

Mke wangu sitaki amiliki simu janja kamwe

Huna hoja za msingi kuwazuia warembo kumiliki smart devices.
Kutongozwa kwa warembo lazima sheikh, labda uumbe wako
Kutongozwa ni kawaida kwa wanawake

Ila baada ya mtongozo wa inbox unajua kifuatacho

Ukiskia mambo ya Sirini ndo hayo ya inbox
 
Ni kweli mtoa mada kaongea kishamba kwamba wasipewe simu kubwa ila mimi niko naye bega kwa bega kwa sababu hizi.

1. Hawa wa kutokea kolomije wa darasa la saba sio lazima sana wanavo fika mjini kuwaanzishia simu labda iwe ndogo, kama ni simu kubwa atashika yangu tena kwa muda maalamu mfano kumwangalia dada ake facebook na kuchat whatsup 😅

2.Hawa walio janjaruka hatuwezi kuwazuia ndio wanatoa povu hapa jf saivi, kwanza huwez kuwanyima simu kwani wao ni watambuzi kwa mengi na ni haki yao.

3.Hawa mademu tutawapa au kuwaachia simu kulingana na uelewa wao...

mtoa mada yuko sahihi ana point ila hakuonesha ni mademu wapi wa kutopewa simu....

mademu wa kolomije na namanyere tusiwazoeshe simu jamani wafikapo dar maana wanakuwa washamba na vinyege vyao viko juu kwa hiyo lazima vitongozeke kirahisi nyie hamjui tu online palivo wanavo ingizwa kwenye line.

Mimi demu niliyemkuta hana bikira na sio wa kijijini hata nikikuta akipandwa sionagi wivu, shida ni nimtoe namanyere afu aje atolewe gundi na wala chipsi wa dar au kina mangi wa dar itanichoma kama pasi mazee.

hawa mademu wetu wa kolomije wanakuwaga watamu sana kama samaki ngisi yaani ni watamu hatari sasa huwa simu kubwa zinakuja kuwapoteza wakizijua sana.

hata wa kwangu anatumia kiitel kile cha batani na hakuna kufuta sms wala kutia mipassword yao ya kikolomije pia mlio wa wa simu uwe kwenye general mode 😅😅😅 kubwa nampa acheze game na kuingia facebook mara moja akiwa na mimi, hawa ni wife material lazima tuwaweke wakae sawa ili wawe bora.

wale wa kubandika mikucha na kuvalia suruali nyepesi chupi, bikini inajichora hawa hata simu yao kubwa haitakiwi kushika maana ni sawa na kushika bomu la nyuklia ambalo linakulipukia muda wowote (hapa ndo msemo wa mwana kulifind mwana kuliget unapojidhirisha).

hawa wanakaa mjini kimchongo na wapo kimchongo wala sio wife material 😅😅😅 hawa madem wengi wao ni walia njaa ukikutana nao tu mara ya kwanza wanakua mayatima. Bills zote zinaishaga, utasikia sina bando la mwezi, gas imeisha, nywele zimefumuka baby sina elfu 50 ya saloon, ukikaa vibaya utasikia baby nikwambie kitu, ukisema niambie kitu baby utasikia pale napokaa baby kodi yangu inaisha mwezi huu, mara mjomba kameza shoka 😅🤣🤣🤣 hawa huwaga dawa yao nikupiga mara moja.
 
Hawa viumbe hata umjengee jumba la fensi kali akiamua atacheat tu kuwa mpole , kiufupi kumlinda mtu mwenye meno yake 32 na akili timamu huwezi, jifunze kumwamini kama anavyokuamini ila ukifumania ndio habari nyingine
 
Ukimchukulia mwanamke kama ni kiumbe serious hakuna rangi utaacha kuona , narudia tena hakuna rangi utaacha kuona na hakuna kitu utafanya

Mwanamke mwenye kitochi unampa smart yako anachezea chezea kidogo tuu nijani , alafu unamwambia aifiche aende nayo kwa mumewe ajipige picha hadi zile zingine, siku anaenda sokoni anapitia gheto chapu kwa msela kuangalia picha zake vizuri tuu .


"Elewa hapo kwenye kuangalia picha zake"
 
Salamu

Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98

Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk

Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu

Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa

Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi

Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox

Nawasilisha
Duu,
Dunia inaenda mbele wewe unairudisha nyuma...
Cha kusikitisha kibopa kapigiwa na gym trainer
Inauma sana jamaa kawa mpole..
"KUMCHUNGA NA KUMLINDA MWANAMKE NI SAWA NA KUILINDA BAHARI"
Yaan wewe unalinda kawe beach wenzako wanaogelea coco beach⛱️⛱️⛱️🏖️🏖️
 
Salamu

Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98

Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk

Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu

Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa

Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi

Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox

Nawasilisha
jitafakari
 
Hongera, umegundua kitu utafika mbali. [emoji3][emoji3]
 
Salamu

Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98

Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk

Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu

Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa

Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi

Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox

Nawasilisha
Hata akiwa na kitochi, message ya mpesa inatosha sana
 
Back
Top Bottom