Mke wangu sitaki amiliki simu janja kamwe

Mke wangu sitaki amiliki simu janja kamwe

Kwaiyo unaamini mtu wako anatumika na wadau wengne sio
Tatizo nililo nalo kwako ni kuwa Siri ya mwenzako inakuhusu nini wewe?

Pili, Kwa nini umzuie yeye asitumie simu janja ilhali yeye hakuzuii Kutumia simu janja yako?

Simu hazibadilishi Watu. Watu ni wale wale.
Mkeo ni yuleyule bila kujali anasimuau Hana.

Kingine, upendo ni Pamoja na kumuachia mwenzako Uhuru WA kuamua mambo anayoyapenda, kama mambo hayo yanaenda kinyume na wewe muandikie Talaka muachane Kwa Amani.
Na po huo utoto na upumbavu wa kufuatiliana na kumfanya Mkeo Msukule wako.

Yaani Mkeo asitumie Smartphone kisa Wivu na mawazo yako ya kijinga.
Hiyo akili ya wapi Mkuu
 
Mkuu wewe ndo umejumuisha,nakupa taarifa tu iyo simu ya mtu wako inbox zinamajanga mengi ndo mana zinapigwa paswed kama alama za kumsaka mola wa peponi

Tumetoka Huko muda Sana.
Ubaya wa mtu upo moyoni mwake na sio kwenye simu.
Ni Watu wajinga wanaohangaika na kutafuta ubaya WA Wenza wao kwenye simu au material.
Watibeli tunadili na mioyo, hisia na Nafsi.
Simu inaweza kuwa Safi lakini Nafsi ya Mwenza ikawa chafu.

Nenda polepole utakuja kujiua 😂😂
 
Salamu

Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98

Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk

Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu

Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa

Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi

Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox

Nawasilisha
Labda uwe umemuumba wewe[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mkuu kwa uzoefu wangu ayo nayajua sana mkuu
Tumetoka Huko muda Sana.
Ubaya wa mtu upo moyoni mwake na sio kwenye simu.
Ni Watu wajinga wanaohangaika na kutafuta ubaya WA Wenza wao kwenye simu au material.
Watibeli tunadili na mioyo, hisia na Nafsi.
Simu inaweza kuwa Safi lakini Nafsi ya Mwenza ikawa chafu.

Nenda polepole utakuja kujiua 😂😂
 
Salamu

Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98

Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk

Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu

Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa

Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi

Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox

Nawasilisha
Huna hoja za msingi kuwazuia warembo kumiliki smart devices.
Kutongozwa kwa warembo lazima sheikh, labda uumbe wako
 
Back
Top Bottom