max as well
Senior Member
- Sep 10, 2023
- 141
- 315
- Thread starter
- #41
Watu wanapinga tu ,hizi inbox za simu zinaficha mengi mkuuNakuelewa mdau,
Kunawanawake ukiwaona huku Duniani ni watakatifu kweli zama kwa yaliyo Sirini inbox hutoamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanapinga tu ,hizi inbox za simu zinaficha mengi mkuuNakuelewa mdau,
Itakuwa wewe ni mpagani tuUwo ni uwongo
Yes, kumnyima simu janja haisaidiiInategemea na aina ya mke aliyenaye na eneo wanaloishi.
Mimi siwezi hiyo biashara ya kuleta mambo yangu na mke wangu jfBora hivyo kuliko mtandao
Mkuu jalibu kuzama inbox kwa mtu wako lazima utaleta iz jf unataka kuhinyonga
Kwanini usilete Uzi JF...Mimi siwezi hiyo biashara ya kuleta mambo yangu na mke wangu jf
Kama tumeshindwana tutaenda kwa wazee au viongozi wa dini au washaur wa mambo ya ndoa lakini kamwe siwezi leta nyuzi ya kuhusu ndoa yangu humu JamiiForums abadani.
Tofautisha kuwafata wazee na kiongoz wa dini akiwa pekeakeKwanini usilete Uzi JF...
Hata JF Kuna wazee na viongozi wa dini...
Tena unapata ushauri mzuri...
Watu hata hawakujui...
🔨😁😁😁Pole sana kwa kulinda bahari.
Hahah ukiziba huku, wanavua kule 😂😂😂😂Pole sana kwa kulinda bahari.
You are the nini?, hata kwa kitochi akitaka kuliwa ataliwa tu mkuu 😂😂Am the man
Kwaio shida ni unataka umnase, haya ukishamnasa karibu tena utuombe ushauri, tupo hapa hapa.Aijalishi uyo kumnasa ni rahisi kuliko hawa waliofichwa inbox kwa password ngumu
NAKAZIA HAPA.Suluhisho la yote hayo ni kutooa tu. Simple!
Ile asubuhi unatoka unaenda kazini. Baada ya dk 20, jamaa linaingia kupiga mzigo.Hahah ukiziba huku, wanavua kule 😂😂😂😂
Sio lazima ukiandika uvae uhusika...Tofautisha kuwafata wazee na kiongoz wa dini akiwa pekeake
Na kuposti humu jf Kila mtu aone wahuni,wakurumbembe ,watashkuta, na Kila aina ya watu wataona unachopost kuhsu ndoa yako Sasa hapo utakua umeomba ushauri au utaonekana zuzwa.
Anatakiwa ampe uhuru mwanamke.🔨😁😁😁