Mke wangu sitaki amiliki simu janja kamwe

Mke wangu sitaki amiliki simu janja kamwe

Wewe ni mpumba.vu
Ndo mnatuzalia mizigo
Tena nenda hospital kakate hayo mapuumbuu yako usizae Tena
Usiongeze ujinga kwenye taifa hili
Na nakublock mxiuuu
 
Salamu

Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98

Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk

Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu

Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa

Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi

Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox

Nawasilisha
Sio wote mkuu siungi mkono hoja
 
Back
Top Bottom