Mke wangu sitaki amiliki simu janja kamwe

Mke wangu sitaki amiliki simu janja kamwe

Salamu

Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98

Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk

Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu

Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa

Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi

Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox

Nawasilisha
Ya mkeo tu labdaaaa mkuuu
 
Bora hivyo kuliko mtandao
Yanaliwa hadi majini yasiyo na smartphone ndio mkeo asiliwe ?

Kama ni kuliwa ataliwa tu awe na smartphone ama kitochi ataliwa tu 😂

Acha kumfanyia mtoto wawatu hivo
Na kama umemchooka tuachie sisi tumnunulie iPhone 15 pro max
Mkuu jalibu kuzama inbox kwa mtu wako lazima utaleta iz jf unataka kuhinyonga
 
Kama huamini Mungu wanaomwamini wengine hulazimishwi...

Ila usimtukane...

Wala usitumie nguvu kubwa kulazimisha kuwa huyo sio Mungu..
Wwe ndio umemtukana kwamba nisimfananishe yesu na vitu vya kijinga , alafu kama nyie mna haki ya kuhubiri uwepo wake na sie tuna haki ya kuhubiri kutokuwepo kwake.
 
Salamu

Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98

Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk

Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu

Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa

Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi

Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox

Nawasilisha
Umsakini na ushamba unakusumbua mkeo analiwa hadi na mateja
 
Back
Top Bottom