CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
We wasema,hiyo kitu uspime ni full mautam.😝Hahaaa mbususu ni kiungo cha mwili kama viungo vingine mkuu😂 ni kama mikono, miguu, why usisimkwe na mbususu tu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We wasema,hiyo kitu uspime ni full mautam.😝Hahaaa mbususu ni kiungo cha mwili kama viungo vingine mkuu😂 ni kama mikono, miguu, why usisimkwe na mbususu tu😂
[emoji848][emoji849][emoji119]Wangu alifanya kama wako, nikaenda nje nako nikapata mtoto, leo mwaka wa 2 sijagusa kitu yake
[emoji848][emoji849][emoji87]ila wanawake Mungu anatuonaAh.. sasa we miezi minne tu unalia lia.. mi mwenzio mwezi wa nane huu unaenda, sio simba wala sio yanga alioona lango la mwenzie.
Kama sio michepuko mi ningekua nimeshakufa
Jmn kwani kuna nn mbona hii ss imekuwa shida kubwa?Hii changamoto nimekutana nayo hapa nimebaki tu namwangàlia tu yani anakuwa mkali balaa
Mimi nimeshabadilishiwa perfume, nimebadilishiwa sabuni za kuoga, nikajiongeza tu mwenyewe siku izi nageukia zangu ukutani nalala ukingoni kabisa mwa kitanda 🙁Jmn kwani kuna nn mbona hii ss imekuwa shida kubwa?
Aisee,what s going on?[emoji848]Mimi nimeshabadilishiwa perfume, nimebadilishiwa sabuni za kuoga, nikajiongeza tu mwenyewe siku izi nageukia zangu ukutani nalala ukingoni kabisa mwa kitanda [emoji853]
Hahahahaa, umenifanya nicheke katikati ya waheshimiwa wa kijiji nikaonekana nimedharau mkutano aiseee jf inaweza kukukosesha heshimaNani kaka sasa? Nina mbususu mimi afu siye niliyeanzisha uzi sorry🤔
Mzee mambo!Kama umepanga Hama Apo nenda kapange room moja mbanane humo humo mbona mbunye atatoa.
Hyo option ya kwenda kulala chumba kingine atakua Hana
Shauri yako mkuu, utatengwa na jamii😀Hahahahaa, umenifanya nicheke katikati ya waheshimiwa wa kijiji nikaonekana nimedharau mkutano aiseee jf inaweza kukukosesha heshima
Eti naambiwa lotion nayopaka siku izi ina haruf mbaya, mara perfume zina harufu mbaya... kweli 1 million, curve, armani code eti zina harufu mbaya? Mbona zamani kabla ya ujauzito alikua anazipenda balaa..? Au ni mbinu zake tu za kuninyima..🙄Aisee,what s going on?[emoji848]
Mungu nisaidie nikiwa Kwenye hiyo hali nipende dudu tu kwakweli hakuna namna
Ila kwa habari ya mimba naelewa! Mimba inachagua mkuu! Vumilia tu ni suala la muda tuEti naambiwa lotion nayopaka siku izi ina haruf mbaya, mara perfume zina harufu mbaya... kweli 1 million, curve, armani code eti zina harufu mbaya? Mbona zamani kabla ya ujauzito alikua anazipenda balaa..? Au ni mbinu zake tu za kuninyima..[emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dawa ya Nyege ni kuvumilia siku hizi?
Huo sio ushauri mzuri mkuu.Jamaa anakupoteza mazima Mungu haiendi uzinifu na isitoshe kuna magonjwa...Uvumilivu ndo siri na endelea kubembeleza ...tafuta hata watu wa huduma za kiroho watakuwa jinsi ya kumshauri ili awe anakupaAsante mkui
Acha kupotosha maandiko na kumpotosha ..kuishi na akili siko huko.Ushauri mzuri ni kumtafuta hata mshauri wa kiroho wa kike atakuwa jinsi ya kuweka sawa.Kuna magonjwa siku hizi na pia hata Mungu haridhii mambo hayo ya michepuko.Muwe mnatanguliza Mungu kabla ya kutoa ushauri.Usije kupoteza watuPole Sana,
Nakushauri Usimng'ang'anize,
Utakuja kuleta migogoro isiyokua na msingi kwny familia yako uharibu ndoa yako kizembe sana
Ushaambiwa muishi nao kwa akili,
Kuchepuka nayo Ni akili kwa mustakabali mzima wa utulivu na kuepusha migogoro isokua na lazma katika familia yako[emoji4]
Acha ujinga labda kama hujakamilika hivyo vyote haviondoi hamu ya tendo la ndoa unless unaupungufu wa nguvu za kiumeFanya mazoezi acha kuendekeza ujinga ,nenda uwanjan cheza mpira ,kimbia Sana mwili utarudi home umechoka ni kula na kulala usingizi mzitoo