Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana!Wakuu nimiezi mi4 tangu mke wangu abebe ujauzito kitu kinachofanya mke wangu kuwa mgumu Sana pale linapokuja suala la kushiriki tendo la ndoa (minyaduano).
Una mke wewe au unaropoka tuFanya mazoezi acha kuendekeza ujinga ,nenda uwanjan cheza mpira ,kimbia Sana mwili utarudi home umechoka ni kula na kulala usingizi mzitoo
Mi namsihi tu BADILI TABIA [emoji16][emoji16][emoji16]Pole.
Huo ndio ukubwa.
Na uaanaume wako utaonekana hapo sasa
Kipindi cha mpito utashangaa baadae anaweza kukung'ang'ania ukawa unakimbia wewe
Jiandae kupata mtoto wa kike.Mbona mm Wa kwangu kila muda anataka Ni miez minne ujauzito
Ile hali hupotea mtoto anapotoka tuBaada ya kujifungua vipi, kama kawaida ama mood iliisha jumla?
33 mkuu😂😅Dah mi nkajua we bado kigori
Tulijifunza kuchepuka tu mkuu, hiko ndio kipindi ambacho kuchepuka hakuwezi kwepeka mzee! Yani ni wachache wanabahatikaga kupata mapenzi kwa wake zao kipindi cha ujauzito wengi huwa tunachukiwa😅Wakuu nimiezi mi4 tangu mke wangu abebe ujauzito kitu kinachofanya mke wangu kuwa mgumu Sana pale linapokuja suala la kushiriki tendo la ndoa (minyaduano).
Nimetumia njia nyingi Sana za kumshawishi kutengeneza mazingira ya kupata Raha ya penzi lakini wapi hugoma kabsa tuwapo kitandani,nikimuuliza anadai hajiskii kabsa kushiriki nikimgusa hataki hata kufanyiwa romance hataki kabisa nikiendelea huwa ugomvi na huamua kutoka kitandani na kwenda kulala chumba kingne peke yake akidai nimuache hataki.
Hii Hali kiukweli inanipa wakati mgum hisia Kali hunitesa Kama mwanaume kamili dam bado inachemka kukosa kushirik zaidi ya miezi mitatu.
Istoshe katika hiki kipindi Cha ujauzito kazidi kuwa mzuri hatari najikuta naishia kumtamani tu Ila ndo hivyo kuguswa hataki kabisa wakuu.
Namweleza kua hisia zinanizidi nahitaji angalau anipe Mara moja kwa week hanielewi nahofu nakoelekea nisije msaliti wife wangu.
Vipi kwa wale wenzangu ambao mliwahi pitia katika kipindi Kama hiki mwanamke ama mpenzi wako kuwa mjamzito mabadiliko ya mwilli yapelekee kutopenda sex mlifanyaje wakuu?
Wanawake huwa sijui mpoje, mie nilikuwa naonekana kero tu😅 ilibidi niji distance matokeo yake ikawa naonekana simjali tu lawama kibao daily!Mi nilikuwa nafumba mdomo na pua then naachia miguu ili nisitapike lakin bado alikuwa akinikojolea tu lazima nitapike.usiombe mimba isipende harufu ya mwili wa mwanaume...hata aoge vp
Hii kesi ya kunuka ni kisanga😅😅😅 yani we unanukaga tu mdomo! Mara perfume ukipiga ni kosa 😅Daaah wahanga tupo wengi mie nikiingia home tu naambia nanuka hata nioge mara kumi
Nilikuwa sijui kama huwa mnachukia hivi mkiwa kwenye mimba. Nimejionea mwenyewe sasa.Mi nilikuwa nafumba mdomo na pua then naachia miguu ili nisitapike lakin bado alikuwa akinikojolea tu lazima nitapike.usiombe mimba isipende harufu ya mwili wa mwanaume...hata aoge vp
Mimi aliacha kula pamoja na mimi, anagawa chakula changu na chake kwenye vyombo tofauti kisa anasema nanuka[emoji23][emoji23]Daaah wahanga tupo wengi mie nikiingia home tu naambia nanuka hata nioge mara kumi
Wakuu nimiezi mi4 tangu mke wangu abebe ujauzito kitu kinachofanya mke wangu kuwa mgumu Sana pale linapokuja suala la kushiriki tendo la ndoa (minyaduano).
Ningeshangaa usingemshauri hivi.Pole Sana,
Nakushauri Usimng'ang'anize,
Utakuja kuleta migogoro isiyokua na msingi kwny familia yako uharibu ndoa yako kizembe sana
Ushaambiwa muishi nao kwa akili,
Kuchepuka nayo Ni akili kwa mustakabali mzima wa utulivu na kuepusha migogoro isokua na lazma katika familia yako[emoji4]
UNYAMA SANA HAPA [emoji23][emoji23]Pole Sana,
Nakushauri Usimng'ang'anize,
Utakuja kuleta migogoro isiyokua na msingi kwny familia yako uharibu ndoa yako kizembe sana
Ushaambiwa muishi nao kwa akili,
Kuchepuka nayo Ni akili kwa mustakabali mzima wa utulivu na kuepusha migogoro isokua na lazma katika familia yako[emoji4]
mlifanyaje wakuu?
It's ok my dear, usijaliOk sorry